Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Shadow..
Messi kama kawaida namshangilia ila kwenye hii fainali nimejitosa Man Utd! Litakalo kuwa na liwe tu. wewe sijui utashabikia timu gani J5?
...BJ wewe ni Man U damu damu, hata ukimsahngilia Messi pekee. Hta ingekuwa Arsenal inacheza na Barca, ningeendelea kuwashabikia Arsenal pamoja na kwamba namshangilia Thierry! 😀
Lete utabiri wako basi, J'5 mtashinda ngapi mamie?