FCC wanaweza kupokea malalamiko yangu kuhusu tangazo la uongo la Tigo?

FCC wanaweza kupokea malalamiko yangu kuhusu tangazo la uongo la Tigo?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Nisaidieni ndugu zangu nikashtaki wapi hawa jamaa wa Tigo, FCC au mahakamani? Wana tangazo lao la kina Mkude Simba kwamba wameongeza mzigo kiasi kwamba mtu anakaribishwa pilau ila anasema subiri kwanza namaliza kuangalia movie maana Tigo wameongeza mzigo wa dakika na mb's

Kwa nini tunafanyana wajinga sana nchi hii? Matangazo mengi yana mislead.. Huu ujinga hadi lini?
 
Back
Top Bottom