Narudia tena kusema kama ROSTAM AZIZI ATAACHWA HAI BASI HAKUNA JAMBO LOLOTE LITAKALO FANIKIWA SERIKALI...HATA HIYO SGR ITAUJUMIWA ILI WAPEWE WAO KUIMILIKI KWA KISINGIZIO CHA SERIKALI KUSHINDWA KUIENDESHA ...NA BWAWA LA UMEME NI HIVYO HIVYO ROSTAM AZIZI NDIYE ANAYE KWAMISHA NA GENGE LAKE HADI LENGO LAO LA WAO KUPEWA KULIMILIKI WAO HILO BWAWA KWA KISINGIZIO KILE KILE CHA SERIKALI KUSHINDWA KULIENDESHALeo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Una maanisha kuwa Rostam Aziz ni mkubwa zaidi ya serikali ya chama chake na mwenyekiti wa chama cha CCM?Narudia tena kusema kama ROSTAM AZIZI ATAACHWA HAI BASI HAKUNA JAMBO LOLOTE LITAKALO FANIKIWA SERIKALI...HATA HIYO SGR ITAUJUMIWA ILI WAPEWE WAO KUIMILIKI KWA KISINGIZIO CHA SERIKALI KUSHINDWA KUIENDESHA ...NA BWAWA LA UMEME NI HIVYO HIVYO ROSTAM AZIZI NDIYE ANAYE KWAMISHA NA GENGE LAKE HADI LENGO LAO LA WAO KUPEWA KULIMILIKI WAO HILO BWAWA KWA KISINGIZIO KILE KILE CHA SERIKALI KUSHINDWA KULIENDESHA
Huyo mpuuzi huyo aketuzunguka tayari amenunua coastal aviation subiri tuu....atapewa ATCL aendesge ni suala la muda tu....yuko Abdul eti ndio best friends khsss nalua mimi na TISS wetu na serikali yoote....tunachezewaa...Narudia tena kusema kama ROSTAM AZIZI ATAACHWA HAI BASI HAKUNA JAMBO LOLOTE LITAKALO FANIKIWA SERIKALI...HATA HIYO SGR ITAUJUMIWA ILI WAPEWE WAO KUIMILIKI KWA KISINGIZIO CHA SERIKALI KUSHINDWA KUIENDESHA ...NA BWAWA LA UMEME NI HIVYO HIVYO ROSTAM AZIZI NDIYE ANAYE KWAMISHA NA GENGE LAKE HADI LENGO LAO LA WAO KUPEWA KULIMILIKI WAO HILO BWAWA KWA KISINGIZIO KILE KILE CHA SERIKALI KUSHINDWA KULIENDESHA
Ukisikia dalili za mtu kujifungua kabla ya wakati ndo kama hii.Narudia tena kusema kama ROSTAM AZIZI ATAACHWA HAI BASI HAKUNA JAMBO LOLOTE LITAKALO FANIKIWA SERIKALI...HATA HIYO SGR ITAUJUMIWA ILI WAPEWE WAO KUIMILIKI KWA KISINGIZIO CHA SERIKALI KUSHINDWA KUIENDESHA ...NA BWAWA LA UMEME NI HIVYO HIVYO ROSTAM AZIZI NDIYE ANAYE KWAMISHA NA GENGE LAKE HADI LENGO LAO LA WAO KUPEWA KULIMILIKI WAO HILO BWAWA KWA KISINGIZIO KILE KILE CHA SERIKALI KUSHINDWA KULIENDESHA
CCM wanasema 2025 twendeni na mama.Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Ww jamaa nadhani kuna shimo mwilini mwako halipo sawaPamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Chama Cha Hovyo Sana Halafu Viongozi Hawaoni AibuChukua Chako Mapema ukipata nafasi..
upepo unakubaka kila mda nazaniPamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
taarifa rasmi itatolewa punde mskue na wasi, subra kidogo tu yahitajikaLeo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame