Februari 1, 2024, ahadi ya SGR kuanza safari yayeyuka. CCM waongo sugu

Februari 1, 2024, ahadi ya SGR kuanza safari yayeyuka. CCM waongo sugu

Mwenyekiti wao ni Dalali. Kuna shida gani kua waongo.wanajua kua watanganyika ni WA ndio mzee wee-wee
 
Wewe unajua kwanini mkuu wa majeshi kamuonya rais majuzi ...Rostam azizi ni mmojawapo ya waundaji wa genge la Raia feki wanao miliki serikali na ccm wamepandikiza watu wao kuanzia bungeni hadi serikalini ....adui yao mkubwa ni uzalendo na wananchi ni kikundi hatari kipo juu ya sheria yoyote na juu ya haki pia .Rostam azizi siyo mfanya biasahara kama watu wanavyo dhani yeye anachota tu pesa ya serikali hatakavyo hizo biashara zinazo daiwa zake zote ni pesa ya serikali kwa asilimia 100 .....baada ya baadhi yetu wenye akili tulipo piga kelele kuhusu hicho kikundi kiovu cha Raia feki chenye ajenda chafu ndipo walipo fanya kikao cha siri na kuamua wasijitokeze sana adharani maana watu wameanza kuwasema vibaya kwa kugundua na kutambua mienendo yao hivyo ndiyo maana unaona sikuizi Rostam na genge lake wamekuwa awaonekani wala kusikika wakitoa kauli yoyote wala kuonekana wakiandamana na samia wala kusahini mikataba ya nchi kama miaka miwili ya mwanzo ya samia wao ndio walikuwa mbele .....SAMIA NAE NI MIONGONI MWA RAIA FEKI NA ONYO LA MKUU WA MAJESHI LILIKUWA DHAHILI KUMWONYA RAIS JUU YA MWENENDO WAO MUOVU DHIDI YA NCHI YETU.
Mkuu,
Samahani!
Kipindi kile inasikika sana radio FISADI PAPA na baadae FISADI NYANGUMI ulikuwa na umri gani?

Haya unayoyasema hapa mimi niliyafahamu kipindi cha JK na na hii ilikuwa ni baada ya speech ya R Mengi kumhusu Rostam Aziz na tokea hapo Rostam akaanzisha program ya kuhakikisha kuwa Mengi anapotea na amefanikiwa kupitia binti wa Kitusi.
Kifo cha Mengi ni mipango ya huyu jamaa sasa yawezekana huyu binti ali ahidiwa kupata msaada wa kisheria kutoka kwa Rostam ili apate ushindi kipindi cha pili pia ili amiliki mali zote kama anavyodai mahakamani kila uchwao,ila kwa Rostam deal done.

Nirudi kwa CCM na Rostam wao,hawa hawawezi kuepukana hata siku moja.
Huyu ni mdhamini namba moja wa CCM na km ni kweli kifo cha MEKO kina mkono wa mtu basi mtu huyo ni huyu jamaa.

Ndiye aliye ratibu mipango yooote tangia kwenye uzinduzi wa TAIFA GAS,kurejea kwa Sumaye,EL na wengineo ndani ya CCM ilikuwa ni sehemu ya mikakati iliyopangwa kwa umakini mkubwa na huyu mwamba.

Najua kuwa kauli ya CDF ni maelekezo ya Kizimukazi sanaa Group kutokana na hofu ya kupata upinzani kwenye tukio muhimu lijalo mwakani.
Lengo la tamko hilo ni kutengeneza dhana masikioni mwa wanyonge ili ndiyo iwe siraha yao na lisiwe neno geni masikioni mwao wakati ukifika.

Wanyonge watakuwa wanaambizana wenyewe kwa wenyewe tu kwamba mpaka mkuu wa majeshi alishasema kuwa huyu ni mkimbizi,tusimpe na hivyo kutengeneza uoga wa kutoa maamzi sahihi miongoni mwao na kizimkazi sanaa group kuwa kundi bora.

Ukitaka ujue hiyo kauli ya cdf haina dhamira ndani yake subiri km utaona km watachukuliwa hatua hao wanaotajwa kuwa ni wageni na uchaguzi ukiisha tu hautasikia tena kauli km hizo kutoka kwa kiongozi yeyote wa serikali.

Ongeza na za kwako mkuu,ngoja nimalizie robo ya mwisho hapa dimbani maana sijakamilisha malengo ya kupiga goli katika hii robo.
 
Mkuu,
Samahani!
Kipindi kile inasikika sana radio FISADI PAPA na baadae FISADI NYANGUMI ulikuwa na umri gani?

Haya unayoyasema hapa mimi niliyafahamu kipindi cha JK na na hii ilikuwa ni baada ya speech ya R Mengi kumhusu Rostam Aziz na tokea hapo Rostam akaanzisha program ya kuhakikisha kuwa Mengi anapotea na amefanikiwa kupitia binti wa Kitusi.
Kifo cha Mengi ni mipango ya huyu jamaa sasa yawezekana huyu binti ali ahidiwa kupata msaada wa kisheria kutoka kwa Rostam ili apate ushindi kipindi cha pili pia ili amiliki mali zote kama anavyodai mahakamani kila uchwao,ila kwa Rostam deal done.

Nirudi kwa CCM na Rostam wao,hawa hawawezi kuepukana hata siku moja.
Huyu ni mdhamini namba moja wa CCM na km ni kweli kifo cha MEKO kina mkono wa mtu basi mtu huyo ni huyu jamaa.

Ndiye aliye ratibu mipango yooote tangia kwenye uzinduzi wa TAIFA GAS,kurejea kwa Sumaye,EL na wengineo ndani ya CCM ilikuwa ni sehemu ya mikakati iliyopangwa kwa umakini mkubwa na huyu mwamba.

Najua kuwa kauli ya CDF ni maelekezo ya Kizimukazi sanaa Group kutokana na hofu ya kupata upinzani kwenye tukio muhimu lijalo mwakani.
Lengo la tamko hilo ni kutengeneza dhana masikioni mwa wanyonge ili ndiyo iwe siraha yao na lisiwe neno geni masikioni mwao wakati ukifika.

Wanyonge watakuwa wanaambizana wenyewe kwa wenyewe tu kwamba mpaka mkuu wa majeshi alishasema kuwa huyu ni mkimbizi,tusimpe na hivyo kutengeneza uoga wa kutoa maamzi sahihi miongoni mwao na kizimkazi sanaa group kuwa kundi bora.

Ukitaka ujue hiyo kauli ya cdf haina dhamira ndani yake subiri km utaona km watachukuliwa hatua hao wanaotajwa kuwa ni wageni na uchaguzi ukiisha tu hautasikia tena kauli km hizo kutoka kwa kiongozi yeyote wa serikali.

Ongeza na za kwako mkuu,ngoja nimalizie robo ya mwisho hapa dimbani maana sijakamilisha malengo ya kupiga goli katika hii robo.
Kuhusu kumzimisha Meko, ile hafla ya uzinduzi wa kiwanda cha ngozi Morogoro ndipo walipopata chance ya kufikia pacemaker bila kuwa detected na wakatemper nacho ndo safari ya Meko ukaanza kwenda anticlockwise countdown timer kufikia 0
 
Back
Top Bottom