Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Nilisema swala la raia feki miaka sasa hadi yule ajuza FaizaFoxy aliniponda majuzi siku kama 30 nyuma kabla mkuu wa majeshi naye kusema nilicho sema ... tena mkuu wa majeshi kaficha tu mambo ukweli ni mkubwa sana na rais kesha pokea waraka wa kijeshi kama onyo kutokana na mwenendo wa hao Raia feki ambao wamekamata dola na ccmUkisikia dalili za mtu kujifungua kabla ya wakati ndo kama hii.