Februari 1, 2024, ahadi ya SGR kuanza safari yayeyuka. CCM waongo sugu

Februari 1, 2024, ahadi ya SGR kuanza safari yayeyuka. CCM waongo sugu

Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....

View attachment 2890364

Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?

Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.

Shame
Wenye Mabasi na Malori wanasemaje kwani ??!
Labda biashara zao zitapooza !!
 
Pamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Acha mbwembwe rhetoric zisizo na mashiko tuambieni SGR inaanza kazi lini, SGR sio kwa ajili ya kusafirisha mchele na maparachichi tu, hata abiria tutapanda na hii ni sehemu ya matumizi ya kiuchumi.
 
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....

View attachment 2890364

Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?

Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.

Shame
Ni lini walishakuwa wakweli?[emoji23]
IMG-20240130-WA0143.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....

View attachment 2890364

Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?

Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.

Shame
Hiki chama cha Mbogamboga....kutawala WaTanzania ndo wa kulaumiwa....Tukapimwe vichwa huenda Taifa lina shida kubwa sana.
 
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....

View attachment 2890364

Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?

Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.

Shame
Hiki chama cha Mbogamboga....kutawala WaTanzania ndo wa kulaumiwa....Tukapimwe vichwa huenda Taifa lina shida kubwa sana.
 
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....

View attachment 2890364

Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?

Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.

Shame
Rais alishaweka sawa kwamba Sgr Dar-Dom ianze kabla ya July,achana na hao wanaojisemesha semesha.
 
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....

View attachment 2890364

Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?

Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.

Shame
Bashite anayejinadi ndie anayeitafutia ccm kura anasemaje ktk hili?
 
Mwanasiasa wa ccm akikuambia "usiku mwema" toka nje kwanza ukajihakikishie kama ni usiku kweli ndio urudi ndani kuitikia salaam yake!
 
Pamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Vijana wetu Hadi Leo wamekua majobless Ajira zilisitishwa hili pesa ikatumike kwenye huo mradi.
Sasa ni faraja wakiona kilichowanyima ajira kikiingiza chochote kitu kwa taifa lao.
 
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....

View attachment 2890364

Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?

Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.

Shame
Chama cha Mahayawani
 
Una maanisha kuwa Rostam Aziz ni mkubwa zaidi ya serikali ya chama chake na mwenyekiti wa chama cha CCM?
Wewe unajua kwanini mkuu wa majeshi kamuonya rais majuzi ...Rostam azizi ni mmojawapo ya waundaji wa genge la Raia feki wanao miliki serikali na ccm wamepandikiza watu wao kuanzia bungeni hadi serikalini ....adui yao mkubwa ni uzalendo na wananchi ni kikundi hatari kipo juu ya sheria yoyote na juu ya haki pia .Rostam azizi siyo mfanya biasahara kama watu wanavyo dhani yeye anachota tu pesa ya serikali hatakavyo hizo biashara zinazo daiwa zake zote ni pesa ya serikali kwa asilimia 100 .....baada ya baadhi yetu wenye akili tulipo piga kelele kuhusu hicho kikundi kiovu cha Raia feki chenye ajenda chafu ndipo walipo fanya kikao cha siri na kuamua wasijitokeze sana adharani maana watu wameanza kuwasema vibaya kwa kugundua na kutambua mienendo yao hivyo ndiyo maana unaona sikuizi Rostam na genge lake wamekuwa awaonekani wala kusikika wakitoa kauli yoyote wala kuonekana wakiandamana na samia wala kusahini mikataba ya nchi kama miaka miwili ya mwanzo ya samia wao ndio walikuwa mbele .....SAMIA NAE NI MIONGONI MWA RAIA FEKI NA ONYO LA MKUU WA MAJESHI LILIKUWA DHAHILI KUMWONYA RAIS JUU YA MWENENDO WAO MUOVU DHIDI YA NCHI YETU.
 
Back
Top Bottom