Wenye Mabasi na Malori wanasemaje kwani ??!Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Acha mbwembwe rhetoric zisizo na mashiko tuambieni SGR inaanza kazi lini, SGR sio kwa ajili ya kusafirisha mchele na maparachichi tu, hata abiria tutapanda na hii ni sehemu ya matumizi ya kiuchumi.Pamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Tope la mvua litaichafua treni mpya. Treni yenu ipo. Mtaanza kuitumia kipindi cha kiangazi.Hawatakosa sababu watakuambia wanafanya tathimini ya mvua na mafuriko ndio treni iruhusiwe ku operate.
Imeshakuwa Historia hata hivyo. Hujaona kwenye TV kuwa kuna mpaka nyumba zimezingirwa na maji ya mvua?Mwaka 1995 ccm walihaidi ikifika mwaka 2000 shida ya maji nchini itakuwa ni historia
Ni lini walishakuwa wakweli?[emoji23]Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Ni lini walishakuwa wakweli?[emoji23]View attachment 2890418Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Mshanajr kuna mda huwa nafurahi sana... Kila nnapoyakumbuka maneno ya kujisifu na kusifia ya hawa viongozi. Ni waongo hata shetani mwenyewe anaogopa.. Hawaoni hata aibu???? Wanadanganya watu wazima na midevu na mvi zote hizi kama watoto??? Huwa napata raha sana badala ya huzuni
Hiki chama cha Mbogamboga....kutawala WaTanzania ndo wa kulaumiwa....Tukapimwe vichwa huenda Taifa lina shida kubwa sana.Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Hiki chama cha Mbogamboga....kutawala WaTanzania ndo wa kulaumiwa....Tukapimwe vichwa huenda Taifa lina shida kubwa sana.Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Tope ??!! 🙄 !Tope la mvua litaichafua treni mpya. Treni yenu ipo. Mtaanza kuitumia kipindi cha kiangazi.
Rais alishaweka sawa kwamba Sgr Dar-Dom ianze kabla ya July,achana na hao wanaojisemesha semesha.Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Bashite anayejinadi ndie anayeitafutia ccm kura anasemaje ktk hili?Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Vijana wetu Hadi Leo wamekua majobless Ajira zilisitishwa hili pesa ikatumike kwenye huo mradi.Pamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Chama cha MahayawaniLeo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Wewe unajua kwanini mkuu wa majeshi kamuonya rais majuzi ...Rostam azizi ni mmojawapo ya waundaji wa genge la Raia feki wanao miliki serikali na ccm wamepandikiza watu wao kuanzia bungeni hadi serikalini ....adui yao mkubwa ni uzalendo na wananchi ni kikundi hatari kipo juu ya sheria yoyote na juu ya haki pia .Rostam azizi siyo mfanya biasahara kama watu wanavyo dhani yeye anachota tu pesa ya serikali hatakavyo hizo biashara zinazo daiwa zake zote ni pesa ya serikali kwa asilimia 100 .....baada ya baadhi yetu wenye akili tulipo piga kelele kuhusu hicho kikundi kiovu cha Raia feki chenye ajenda chafu ndipo walipo fanya kikao cha siri na kuamua wasijitokeze sana adharani maana watu wameanza kuwasema vibaya kwa kugundua na kutambua mienendo yao hivyo ndiyo maana unaona sikuizi Rostam na genge lake wamekuwa awaonekani wala kusikika wakitoa kauli yoyote wala kuonekana wakiandamana na samia wala kusahini mikataba ya nchi kama miaka miwili ya mwanzo ya samia wao ndio walikuwa mbele .....SAMIA NAE NI MIONGONI MWA RAIA FEKI NA ONYO LA MKUU WA MAJESHI LILIKUWA DHAHILI KUMWONYA RAIS JUU YA MWENENDO WAO MUOVU DHIDI YA NCHI YETU.Una maanisha kuwa Rostam Aziz ni mkubwa zaidi ya serikali ya chama chake na mwenyekiti wa chama cha CCM?