Nilisema swala la raia feki miaka sasa hadi yule ajuza FaizaFoxy aliniponda majuzi siku kama 30 nyuma kabla mkuu wa majeshi naye kusema nilicho sema ... tena mkuu wa majeshi kaficha tu mambo ukweli ni mkubwa sana na rais kesha pokea waraka wa kijeshi kama onyo kutokana na mwenendo wa hao Raia feki ambao wamekamata dola na ccmUkisikia dalili za mtu kujifungua kabla ya wakati ndo kama hii.
Ndo maana hawana uchungu na nchi.Wewe unajua kwanini mkuu wa majeshi kamuonya rais majuzi ...Rostam azizi ni mmojawapo ya waundaji wa genge la Raia feki wanao miliki serikali na ccm wamepandikiza watu wao kuanzia bungeni hadi serikalini ....adui yao mkubwa ni uzalendo na wananchi ni kikundi hatari kipo juu ya sheria yoyote na juu ya haki pia .Rostam azizi siyo mfanya biasahara kama watu wanavyo dhani yeye anachota tu pesa ya serikali hatakavyo hizo biashara zinazo daiwa zake zote ni pesa ya serikali kwa asilimia 100 .....baada ya baadhi yetu wenye akili tulipo piga kelele kuhusu hicho kikundi kiovu cha Raia feki chenye ajenda chafu ndipo walipo fanya kikao cha siri na kuamua wasijitokeze sana adharani maana watu wameanza kuwasema vibaya kwa kugundua na kutambua mienendo yao hivyo ndiyo maana unaona sikuizi Rostam na genge lake wamekuwa awaonekani wala kusikika wakitoa kauli yoyote wala kuonekana wakiandamana na samia wala kusahini mikataba ya nchi kama miaka miwili ya mwanzo ya samia wao ndio walikuwa mbele .....SAMIA NAE NI MIONGONI MWA RAIA FEKI NA ONYO LA MKUU WA MAJESHI LILIKUWA DHAHILI KUMWONYA RAIS JUU YA MWENENDO WAO MUOVU DHIDI YA NCHI YETU.
Nimeweka quote ya Mbarawa na genge lake.
Nawe tuwekee hiyo kauli ya rais. Punguza kuhalalisha ujinga
Wewe nae unao hata ndugu kweli?Pamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Mbona TBC huwa wanaonesha treni ya SGR inakata mbuga wao wameiona wapi!Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Mara nyingi tu mkuu!
Umeniharibia siku! Kfupi nimekasrika...NIMEKUMBUKA UPIGAJI WOTE WA ROSTAM TANGU ENZI YA KIKWETENarudia tena kusema kama ROSTAM AZIZI ATAACHWA HAI BASI HAKUNA JAMBO LOLOTE LITAKALO FANIKIWA SERIKALI...HATA HIYO SGR ITAUJUMIWA ILI WAPEWE WAO KUIMILIKI KWA KISINGIZIO CHA SERIKALI KUSHINDWA KUIENDESHA ...NA BWAWA LA UMEME NI HIVYO HIVYO ROSTAM AZIZI NDIYE ANAYE KWAMISHA NA GENGE LAKE HADI LENGO LAO LA WAO KUPEWA KULIMILIKI WAO HILO BWAWA KWA KISINGIZIO KILE KILE CHA SERIKALI KUSHINDWA KULIENDESHA
Pamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Chiembe,hivyo kama Hana asidai Kuna Kodi yake pale! Anataka asafiri haraka wkt wa likizo.Pamoja na kuililia SGR kwa kilio kikuu na kugalagala, umejiandaaje kuitumia kiuchumi? Unalima mpunga kwamba unahitaji behewa kadhaa usafirishe? Unalima kilimo cha matunda kwamba unahitaji behewa kumi wewe peke yako ili ziende kwa haraka? Unalima pamba/tumbaku? Unasafirisha mifugo kwenda nje ya nchi.......
Au unataka uione tu, halafu urudi nyumbani kunywa uji na magimbi?!
Hongera👏👏👏Kuna kitu kinaitwa multiplier effect, sio lazima yeye kama yeye awe na mzigo fulani, lakini faida za jumla kwa nchi.
Vijana wetu Hadi Leo wamekua majobless Ajira zilisitishwa hili pesa ikatumike kwenye huo mradi.
Sasa ni faraja wakiona kilichowanyima ajira kikiingiza chochote kitu kwa taifa lao.
Makamba namba ngapi kweli?Katika mawaziri mzigo nadhani Mbarawa anashika namba mbili. Namba moja Ni Mwigulu.
Tafuta hela uwe unakwea mwewe mzeeLeo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame
Wananchi wanaonekana mabwegeLeo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
View attachment 2890364
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto wanazopitia wananchi.
Shame