Mzalendo07
Member
- Feb 24, 2014
- 71
- 120
Nchi inaingozwa na kauli za uwongo bila kuhusisha wataalamu moja kwa moja kila kitu ni siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimaanisha febuali 2050Nchi inaingozwa na kauli za uwongo bila kuhusisha wataalamu moja kwa moja kila kitu ni siasa
Usipende sana kuwasikiliza au kuwaamini wanasiasa. Tangu umeambiwa mitambo ya umeme Rufiji itaanza kuwashwa January 2024, Treni za SGR itaanza safari zake January, 2024 na kila siku unaambiwa kuna meli zinashusha tani za sukari bandarini lakini ukija huku mtaani ndio kwanza sukari inazidi kupanda bei hadi 6,500 kwa kilo moja na bado haipatikani kirahisi hata kwa hiyo bei. Bado tu unaamini maneno ya wanasiasa? Au ni mpaka damu zitoke masikioni kama Kenge ndio uache kuawaamini wanasiasa?Ulipo umeme upo? alisema leo ndo mwisho wa mgawo nchini
Kimara hapa muda huu umeme umekatika kuna mtu kanambia na ubungo haupo
Nimeskia na mbezi beach wamekata
Ulipo umeme upo?