Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?

Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?

Tukumbuke kwamba eo ni tarehe 16/02/2024 lakini cha kushangaza watendaji wa shirika hilo leo tarehe 16/02/2024 wamekata umeme nachojiuliza je matamshi waliyotoa kupitia vyombo vya habari ilikuwa NI janjajanja ya kuwalaghai wananchi?

Mbona Zama hizi matamko ni mengi kuliko vitendo?

SGR Kuanza January 2024 imepita na safari za kutoka morogoro hadi dares salaam hamna. TANESCO kama kawaida mgao unaendelea walichowaambia wananchi ni kiini macho cha kitapeli.

Mama hawa watu unawalea lakini wanaliangamiza taifa punguza ziara pambana na hawa watu ambao NI wazembe kazini.
 
Kwanza ulirudi usiku wa saa nane kasoro, leo mapema tu saa kumi na mbili wamepita nao hapa ni makelele tu ya majenereta.

TANESCO ni shirika la hovyo kabisa.
 
JamiiForums555154368.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukumbuke kwamba Leo ni tarehe 16/02/2024 lakini cha kushangaza watendaji wa shirika hilo Leo tarehe 16/02/2024 wamekata umeme nachojiuliza je matamshi waliyotoa kupitia vyombo vya habari ilikuwa NI janjajanja ya kuwalaghai wananchi?
Mbona Zama hizi matamko NI mengi kuliko vitendo ?
SGR Kuanza January 2024 imepita na safari za kutoka morogoro hadi dares salaam hamna
TANESCO kama kawaida mgao unaendelea walichowaambia wananchi NI kiini macho cha kitapeli.

Mama hawa watu unawalea lakini wanaliangamiza taifa punguza ziara pambana na hawa watu ambao NI wazembe kazini.
Muendelee kutuvumilia,bado kidogo tunaweka mitambo sawa...
 
Saizi asubuhi wamesepa nao.

Hivi mama yenu ndo walisema mgao mwisho leo.
 
Hao TANESCO watakoma na ahadi zao za kusadikika.
Sio TANESCO tuu, sijawahi kumuona kiongozi muadilifu nchi hiii. Kila mtu hapa TZ. ni muongo. Kwa hiyo hawa TANESCO wanatembelea tabia za waliowaajiri. Ingekuwa serikali iko serious wasingethubutu kudanganya. Maana wanajua kingewawakia. Ila wana nguvu ya kudanganya wananchi kwani wanajua hawatafanywa lolote
 
Sio TANESCO tuu, sijawahi kumuona kiongozi muadilifu nchi hiii. Kila mtu hapa TZ. ni muongo. Kwa hiyo hawa TANESCO wanatembelea tabia za waliowaajiri. Ingekuwa serikali iko serious wasingethubutu kudanganya. Maana wanajua kingewawakia. Ila wana nguvu ya kudanganya wananchi kwani wanajua hawatafanywa lolote
Very shameful.
 
Back
Top Bottom