Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?

Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?

IMG_8696.jpg
 
Nchi ina viongozi waongo waongo tu. Kuna mmoja alidanganya wananchi msikitini kuwa bwana yule ni mzima na wananchi waendelee kuchapa kazi kumbe ni uongo bwana yule alikuwa ashatangulia.

Cha ajabu mpaka leo hajawahi hata kiomba radhi.

Kama kiongozi anaweza kudanganya suala kama hilo sembuse kuhusu kukata umeme au SGR?
 
Mwenezi wao alitushauri tusiamini hata mahakama zao sasa unadhani kuna wakumuamini kwenye serikali 🤔🤔
 
Nilikuwa na subiri mdaa sahihi wa ku comment kwenye hii thread hatimae umefika baada ya Tanesco kukata umeme kama kawaida yao.
 
Mkileta mdomo mdomo mwingi wanafinya tena 😁😁 vijana wa mjini wanasema hapo bado mpaka mseme 😁😁
 

Attachments

  • Screenshot_20240216-110545_1.jpg
    Screenshot_20240216-110545_1.jpg
    473.3 KB · Views: 1
Kuuliza sio ujinga:

1. Je Tanesco ndio wanao itapeli serikali au ni serikali inaotapeli Tanesco?

2. Je CCM inaotapeli serikali au ni Serikali inaitapeli CCM?
 
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha.

"Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili, tunawapongeza sana na mmerejesha mpaka mwezi wa tatu kwa hizo mashine zote kukamilika, Bunge linawapa mpaka mwezi wa sita ili bunge linapokuwa hapa mgao uwe umeisha, tunawapongeza sana kwa kazi nzuri," - Spika wa Bunge

Pia soma:
- Naibu Waziri wa Nishati: Mgawo wa umeme nchini utaisha mwezi wa tatu
 
Nchi inaingozwa na kauli za uwongo bila kuhusisha wataalamu moja kwa moja kila kitu ni siasa

View attachment 2905577
kukariri si jambo zuri sana hasa linalopangwa na kusimamiwa na mwanadamu.🐒

Lolote laweza kutokea. hapo katikati lilio nje ya uwezo wake likakwamisha jambo hilo 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha.

"Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili, tunawapongeza sana na mmerejesha mpaka mwezi wa tatu kwa hizo mashine zote kukamilika, Bunge linawapa mpaka mwezi wa sita ili bunge linapokuwa hapa mgao uwe umeisha, tunawapongeza sana kwa kazi nzuri," - Spika wa Bunge

Pia soma:
- Naibu Waziri wa Nishati: Mgawo wa umeme nchini utaisha mwezi wa tatu
Takataka nyingine zipo mjengoni hapo kichwani zimejazaa matope.
 
Bunge limeipa serikali mpaka june mgao wa umeme uishe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom