Fedha na Mungu ndiyo mtetezi wako, jitahidi utafute kwa bidii hivyo vitu viwili

Fedha na Mungu ndiyo mtetezi wako, jitahidi utafute kwa bidii hivyo vitu viwili

Mungu hayupo.

Pesa sio kila kitu.

Tajiri mwenye kansa ya ini aliye karibu kufa pesa zake haziwezi kumsaidia chochote.

Mungu anaye pigiwa kelele kila siku na wagonjwa wakisali na kufunga kumwomba Mungu huyo awaponye Lakini Nothing happens, Wana ishia kufa tu.

Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Mungu hayupo.

Pesa sio kila kitu.

Tajiri mwenye kansa ya ini aliye karibu kufa pesa zake haziwezi kumsaidia chochote.

Mungu anaye pigiwa kelele kila siku na wagonjwa wakisali na kufunga kumwomba Mungu huyo awaponye Lakini Nothing happens, Wana ishia kufa tu.

Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Sasa ipo mbioni tekinolojia ya kutumia seli zako za mwili kuweza kutengeneza organic yoyote kasoro mfumo wa fahamu.

Bila pesa huwezi kupata aina hii ya utaalamu wala tekinolojia.

Mungu hayupo ila pesa ndio kitu chenye nguvu duniani
 
Umenena vyema!

Naongezea!

Acha kupoteza muda na jumuia za mtaani kwako za wakatoriki au walutheri wao wanawinda hela yako! Hata kanisani wanawinda hela yako. Siku usipopeleka sadaka ndo utawatambua!
Kumbe
Kwenye jumuiya ninayosali sijawahi kuona ujinga kama huo.
 
Sasa ipo mbioni tekinolojia ya kutumia seli zako za mwili kuweza kutengeneza organic yoyote kasoro mfumo wa fahamu.

Bila pesa huwezi kupata aina hii ya utaalamu wala tekinolojia.

Mungu hayupo ila pesa ndio kitu chenye nguvu duniani
Mkuu pesa sio kila kitu na si kwamba pesa ina nguvu kwenye kila kitu.

Pesa haiwezi kuzuia majanga ya asili kama radi, vimbunga, mafuriko, matetemeko ya ardhi yasilete maafa kwa binadamu.

Hata Sayansi na teknolojia bado inashindwa kudhibiti majanga haya.

Majanga haya yameongoza kuua maelfu ya watu mpaka karne hii.
 
Mungu huyo hana thamani yoyote ile.
Mkuu , Yuko Mungu Mkuu kuliko miungu yote, ishi maisha matakatifu, mtafute anapatikana. Mazingira yetu yanaonyesha yuko Designer aliyeunda, motion ya sperm, orgasm ni uthibitisho mkubwa wa kuwepo kwa Mungu.
 
Huyo mungu Hadi tumtafute kwanini asitutafute yeye!


Yani sadaka tumpe na kumsaka tumsake
Kwani ukitaka maarifa humtafuti mwenye maarifa?
Ukiwa unaumwa humtafuti daktari?
Ukitaka kuwa na mahusiano humtafuti mwanamke/ mwanaume?
Kwanini usimtafute Mungu ?
 
Kwani ukitaka maarifa humtafuti mwenye maarifa?
Ukiwa unaumwa humtafuti daktari?
Ukitaka kuwa na mahusiano humtafuti mwanamke?
Kwanini usimtafute Mungu ?
Mungu huyo anatafutwa kwani amepotea?

Mungu huyo anacho jifichia ni nini hadi atafutwe?

Mungu huyo akijulikana na kujidhihirisha yupo, itabadilisha nini yeye kuwa Mungu?

Kwa nini ajifiche huko?
 
Mungu huyo anatafutwa kwani amepotea?

Mungu huyo anacho jifichia ni nini hadi atafutwe?

Mungu huyo akijulikana na kujidhihirisha yupo, itabadilisha nini yeye kuwa Mungu?

Kwa nini ajifiche huko?
Hajajificha mkuu, amejionyesha kupitia nature aliyoiumba, cosmos na pia kwa kuleta viumbe hai duniani.
Na mwisho wa siku amejitambulisha kupitia kwa Yesu Kristo aliyeyatoa maisha yake kwa ajili yako. Yesu yupo na ameandikwa kwenye vitabu vya kihistoria.
 
Mkuu , Yuko Mungu Mkuu kuliko miungu yote, ishi maisha matakatifu, mtafute anapatikana. Mazingira yetu yanaonyesha yuko Designer aliyeunda, motion ya sperm, orgasm ni uthibitisho mkubwa wa kuwepo kwa Mungu.
Designer huyo ali umbwa na nani?

Kuna ulazima gani wa kwamba mazingira yetu yalikuwa Designed na designer?

Kama ulazima huo upo, Je designer huyo alikuwa designed na nani?

Kabda ya designer huyo ku design mazingira yetu alikuwa wapi na alikuwa anafanya nini huko alikokuwa?

Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
 
Designer huyo ali umbwa na nani?

Kuna ulazima gani wa kwamba mazingira yetu yalikuwa Designed na designer?

Kama ulazima huo upo, Je designer huyo alikuwa designed na nani?

Kabda ya designer huyo ku design mazingira yetu alikuwa wapi na alikuwa anafanya nini huko alikokuwa?

Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
Mtafute designer atakuambia kila kitu, majibu ya maswali yako anayo designer.
 
Hajajificha mkuu, amejionyesha kupitia nature aliyoiumba, cosmos na pia kwa kuleta viumbe hai duniani.
Na mwisho wa siku amejitambulisha kupitia kwa Yesu Kristo aliyeyatoa maisha yake kwa ajili yako. Yesu yupo na ameandikwa kwenye vitabu vya kihistoria.
Kabla ya kuumba Nature, Muumba huyo alikuwa wapi?

Na huko alikokuwa, kulitoka wapi?
 
Back
Top Bottom