KERO Fedha za nauli ya likizo kwa waalimu inalipwa lini Magu DC?

KERO Fedha za nauli ya likizo kwa waalimu inalipwa lini Magu DC?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Ezekiel Njalla

New Member
Joined
Jun 3, 2024
Posts
4
Reaction score
3
Shule za serikali zimefungwa tangu mwishoni wa wiki iliyopita tarehe 31/5/2024.

Waalimu tulijaza Ankara za fedha za nauli ya likizo hii mapema sana na kuziwasilisha kwa wahusika ofisi Halmashauri ya Wilaya ya Magu kabla shule hazijafungwa; tukitarajia kwamba malipo yangefanyika mapema au mara baada ya shule kufungwa ili waalimu waweze kusafiri kwa wakati ndani ya siku za likizo.

Mpaka Juni 03; 2024 fedha ya likizo ilikuwa haijalipwa kwa wahusika; tatizo liko wapi?
Au mnataka kutulipa likizo ikikaribia kwisha kama mlivyofanya likizo iliyopita?

Mkurugenzi tusaidie tupate fedha zetu za nauli ili twende safari zetu ndani ya siku za likizo ambazo zinayoyoma.

Mwishowe zitaanza hadithi za mfumo umegoma, mtaanza kusema fedha hazishuki kwa sababu mfumo umefungwa kuelekea mwaka mpya wa fedha unaoanza tarehe 01/7/2024.

Wako katika ujenzi wa Taifa;
Mwalimu EZEKIEL NJALLA.
 
Shule za serikali zimefungwa tangu mwishoni wa wiki iliyopita tarehe 31/5/2024.

Waalimu tulijaza Ankara za fedha za nauli ya likizo hii mapema sana na kuziwasilisha kwa wahusika ofisi Halmashauri ya Wilaya ya Magu kabla shule hazijafungwa; tukitarajia kwamba malipo yangefanyika mapema au mara baada ya shule kufungwa ili waalimu waweze kusafiri kwa wakati ndani ya siku za likizo.

Mpaka Juni 03; 2024 fedha ya likizo ilikuwa haijalipwa kwa wahusika; tatizo liko wapi?
Au mnataka kutulipa likizo ikikaribia kwisha kama mlivyofanya likizo iliyopita?

Mkurugenzi tusaidie tupate fedha zetu za nauli ili twende safari zetu ndani ya siku za likizo ambazo zinayoyoma.

Mwishowe zitaanza hadithi za mfumo umegoma, mtaanza kusema fedha hazishuki kwa sababu mfumo umefungwa kuelekea mwaka mpya wa fedha unaoanza tarehe 01/7/2024.

Wako katika ujenzi wa Taifa;
Mwalimu EZEKIEL NJALLA.
Utegemee kweli pesa ya serikali ndipo usafiri
 
Kidudu-mtu anayesababisha malipo yao kuchelewa ni Afisa Vifaa na Takwimu (SLO) Msingi hapo ofisi ya Idara ya Elimu Magu DC Mr. Buhatwa!!
Huyo Afisa anapenda rushwa kila anaposhughulikia maslahi ya waalimu.
Huyo SLO Buhatwa ni mtu wa kula mulungula kwa kila malipo ya waalimu yanayopita mkononi mwake; iwe hundi ya mzabuni au capitation.
Anavuruga ikama za waalimu kwa makusudi ili kutengeneza mianya ya uhamisho ili apige hela kwa kugawiwa pesa za uhamisho anazolipwa Mwalimu anayekubaliana naye. Ni mwiba uliosalia hapo Idara ya Elimu Magu DC baada ya Nyagabona kuhamishiwa Misungwi DC.
 
Huyo SLO Buhatwa ni mtu wa kula mulungula kwa kila malipo ya waalimu yanayopita mkononi mwake; iwe hundi ya mzabuni au capitation...
Buhatwa ni mwiba hapo Idara ya Elimu Magu DC kwa sababu siyo muadilifu hata kama elimu yake kitaaluma inakidhi matakwa ya ajira ya nafasi anayoisimamia kwa sasa.

Buhatwa ni Afisa asiyekuwa na maadili, na kama ataendelea kuwa SLO Magu DC bila kujirekebisha; ipo siku atasabanisha balaa kwenye idara hiyo na atamwathiri Mkuu wa Idara ambapo yeye binafsi anajitahidi sana kusimamia vema Idara hiyo, licha ya maofisa vichomi waliosalia hapo kama Johari na Buhatwa baada ya Nyagabona kuhama Magu.

Buhatwa kwa kushirikiana na Afisa huyo aliyehamishiwa Misungwi (Bwana Nyagabona); wamefanya mambo mengi sana ya hovyo kwenye idara ya Elimu wilayani Magu, ikiwemo kuhamisha waalimu wenye sifa za kukaa vituoni, lakini kwa sababu ya kupenda rushwa maafisa hao hudiriki kuvuruga ikama ya waalimu ili wapate nafasi ya kufanya mabadiliko ya waalimu wakuu vituoni kama walivyomtoa Mwalimu Mkuu MTIGANDI(MWENYE UTAALAMU WA ELIMU MAALUM) ALIYEKUWA MWL. MKUU SHULE MAALUMU ITUMBILI; WAKAMTOA NA KUMHAMISHA, KISHA WAKAMPA NAFASI HIYO MWALIMU ASIYEKUWA NA SIFA ILI KUONGOZA SHULE HIYO KWA SABABU ALIWAPA RUSHWA.

Mwalimu huyo wa kike aliyepewa nafasi hiyo ya Mwalimu Mkuu ITUMBILI SHULE YA MSINGI alihamishiwa hapo kutoka shule nyingine ya Msingi ambako ALIPIGANA NA MWALIMU MWEZAKE WA KIKE.

Hata sasa baada ya kuwa amehamishiwa Shule ya Msingi ITUMBILI kama Mwalimu Mkuu; AMEPIGANA TENA na Mwalimu mwenzake wa kike akiwa shuleni hapo.

Kufuatia tukio hilo, viongozi mbalimbali wa Ofisi ya Elimu Wilayani, walikwenda shuleni hapo kufuatilia tukio hilo baya; lakini bado Mwalimu huyo bado ni Mwalimu Mkuu wa ITUMBILI SHULE YA MSINGI, kana kwamba jambo alilofanya la kupigana kazini ni jambo la kawaida.

Wapi DEO Msingi Magu? Wapi TSC Wilayani Magu? Yetu macho🙄🙄
 
Mwishowe zitaanza hadithi za mfumo umegoma, mtaanza kusema fedha hazishuki kwa sababu mfumo umefungwa kuelekea mwaka mpya wa fedha unaoanza tarehe 01/7/2024.
Fedha zenu za likizo zitakuwa zimechukuliwa na maofisa wenu wa Idara ya Elimu na wamekopeshana; hamzipati sasa hivi ng'o mpaka shule zitakapofunguliwa!!
Wakiwahurumia sana watawawekea kwenye Mshahara wenu wa mwezi huu wa 6/2024.
Tatizo la Idara ya Elimu Msingi Magu DC ni maofisa wake kukosa kabisa uadilifu kuanzia SLO wao Jack Buhatwa, Afisa Taaluma Johari Mwasha; na inawezekana hata Afisa Elimu Glory Mtui ameshaambukizwa sumu hiyo!!
Inawezekanaje waalimu wasiwe wamelipwa fedha zao za likizo mpaka sasa wiki ya pili tangu shule zifungwe? Hizo fedha kama zitalipwa pamoja na mishahara ya mwezi wa sita waalimu ndio waanze likizo?
Ninyi ni maofisa wabadhirifu, majangili msiokuwa na huruma kabisa kwa watumishi wa chini yenu!!
Mnafanyia biashara pesa za waalimu, mkishazizalisha ndio mnawalipa sivyo?
Buhatwa na Johari ni wala rushwa wakubwa wa pesa za waalimu wanaopewa madaraka ya Ualimu Mkuu na uhamisho; mtalaaniwa na dhuluma hiyo mnayowafanyia waalimu.
Buhatwa utaendelea kulewa na kutembea na wanawake wazee kama mama zako na hutaoa!!
Johari utaendelea kuzini na waume wa watu, watakunyung'unya mpaka utakongoroka na utaambulia stress; unakula pesa za waalimu ili ufanye biashara ya kukopesha kwa kushirikiana na swahiba wako Mbochi eeh?
Mbochi amekurusha mamilioni ya pesa mpaka umempiga marufuku asikanyage hapo ofisi ya Elimu Magu; hiyo ofisi ni mali yako? Mbochi amekuweza, kibumbu amekula na pesa amekula amekuachia madeni mpaka utakoma!!
Mnadanganya waalimu kwamba eti pesa hazishuki; uongo mtupu!! Hizo pesa za Other Charges kwa nini zisishuke na ziko kwenye mwaka wa fedha unaoendelea?
Mnadhani waalimu wote hawajui mfumo wa fedha za serikali unavyofanya kazi?
Mbona Halmashauri zingine za nchi hii waalimu wameshalipwa fedha zao za nauli za likizo hii inayoendelea? Hizo Halmashauri zinategemea Treasury ya nchi gani?
Naibu Karibu Mkuu CHARLES MSONDE; shughulikia hawa nyang'au Buhatwa na Johari; wanatesa waalimu sana.
 
haijawahi kutojea kulipwa kabla ya kwenda likizo Kwa waalimu
Two wrongs does not make it right.
Hata kama ilishatokea waalimu kutokulipwa fedha zao za nauli ya likizo kwa wakati, hiyo siyo haki; ni ukandamizaji na unyanyasaji ambao ofisi yetu ya Elimu Magu DC imekuwa ni kawaida yao kwa kisingizio kwamba FEDHA HAZIJASHUKA; wizi mtupu!!
Wahusika warudishe haraka hizo pesa zetu walizojikopesha, wazi-deposit kwenye akaunti zetu wahusika ili tuweze kuzitumia kwa malengo yaliyokusudiwa.
 
Subira yavuta kheri...


Cc: Mahondaw
Pesa yao iliwe na maofisa wao halafu wavute subira!! Mchezo huu mpaka lini? Mbona wakati wa aliyekuwa DED Magu LUTENGANO MWALWIBA mambo haya hayakuwepo? Hata kama yalikuwepo ilikuwa kwa kiasi kinachovumilika, ila siyo sasa!!
 
Fedha zenu za likizo zitakuwa zimechukuliwa na maofisa wenu wa Idara ya Elimu na wamekopeshana; hamzipati sasa hivi ng'o mpaka shule zitakapofunguliwa!!
Wakiwahurumia sana watawawekea kwenye Mshahara wenu wa mwezi huu wa 6/2024.
Tatizo la Idara ya Elimu Msingi Magu DC ni maofisa wake kukosa kabisa uadilifu kuanzia SLO wao Jack Buhatwa, Afisa Taaluma Johari Mwasha; na inawezekana hata Afisa Elimu Glory Mtui ameshaambukizwa sumu hiyo!!
Inawezekanaje waalimu wasiwe wamelipwa fedha zao za likizo mpaka sasa wiki ya pili tangu shule zifungwe? Hizo fedha kama zitalipwa pamoja na mishahara ya mwezi wa sita waalimu ndio waanze likizo?
Ninyi ni maofisa wabadhirifu, majangili msiokuwa na huruma kabisa kwa watumishi wa chini yenu!!
Mnafanyia biashara pesa za waalimu, mkishazizalisha ndio mnawalipa sivyo?
Buhatwa na Johari ni wala rushwa wakubwa wa pesa za waalimu wanaopewa madaraka ya Ualimu Mkuu na uhamisho; mtalaaniwa na dhuluma hiyo mnayowafanyia waalimu.
Buhatwa utaendelea kulewa na kutembea na wanawake wazee kama mama zako na hutaoa!!
Johari utaendelea kuzini na waume wa watu, watakunyung'unya mpaka utakongoroka na utaambulia stress; unakula pesa za waalimu ili ufanye biashara ya kukopesha kwa kushirikiana na swahiba wako Mbochi eeh?
Mbochi amekurusha mamilioni ya pesa mpaka umempiga marufuku asikanyage hapo ofisi ya Elimu Magu; hiyo ofisi ni mali yako? Mbochi amekuweza, kibumbu amekula na pesa amekula amekuachia madeni mpaka utakoma!!
Mnadanganya waalimu kwamba eti pesa hazishuki; uongo mtupu!! Hizo pesa za Other Charges kwa nini zisishuke na ziko kwenye mwaka wa fedha unaoendelea?
Mnadhani waalimu wote hawajui mfumo wa fedha za serikali unavyofanya kazi?
Mbona Halmashauri zingine za nchi hii waalimu wameshalipwa fedha zao za nauli za likizo hii inayoendelea? Hizo Halmashauri zinategemea Treasury ya nchi gani?
Naibu Karibu Mkuu CHARLES MSONDE; shughulikia hawa nyang'au Buhatwa na Johari; wanatesa waalimu sana.
Mkuu BrAsMaRiLiSaShElMa unawatia simanzi waalimu kuwapasulia kuwa PESA ZAO ZIMELIWA na kwamba "kama wana bahati" labda malipo yao hayo yanaweza kujumuishwa kwenye mshahara wao wa mwezi wa 6/2024.
Mimi nilishalaumiwa sana ndani ya hili jukwaa kuhusu ofisi ya Elimu Magu DC kwa sababu nimekuwa nikipinga sana manyokanyoka yanayofanyika kwenye hiyo ofisi muda mrefu, tangu enzi Afisa Elimu Msingi Magu DC Salyankanga ambaye alikuwa kama Mungu mtu!!
Kwa wakati fulani, Afisa Elimu Msingi Magu DC aliyepo sasa Glory Mtui aliweza kubadilisha utendaji wa hiyo ofisi na alianza kurejesha matumaini ya waalimu wa wilayani Magu; lakini kwa siku za karibuni naona Johari Mwasha na Jack Buhatwa wamemzidi nguvu!!
 
Back
Top Bottom