KERO Fedha za nauli ya likizo kwa waalimu inalipwa lini Magu DC?

KERO Fedha za nauli ya likizo kwa waalimu inalipwa lini Magu DC?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Pesa yao iliwe na maofisa wao halafu wavute subira!! Mchezo huu mpaka lini? Mbona wakati wa aliyekuwa DED Magu LUTENGANO MWALWIBA mambo haya hayakuwepo? Hata kama yalikuwepo ilikuwa kwa kiasi kinachovumilika, ila siyo sasa!!
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...


Cc: Mahondaw
 
Huku geita wilaya ya nyang'hwale mpaka sasa kimya yani hawa maafsa watafika mbinguni wamechoka yani hela ya likizo inakuwa kama hisani.
Wakakati ni haki yetu yani hawa mbwa tungekuwa na uwezo wa kuwacharaza mboko.wangekula mboko mpaka basi.
 
Hili ni janga sio huko tu Namtumbo, newala mambo ni hayo hayo tu
 
Hili ni jukwaa gani?

Leo ndio mara yangu ya Kwanza kuingia jukwaa hili la majungu.

Kwan nyie hamfaham kwamba zoezi la PEPMIS limevuruga ratiba nyingi ofisi ya DEO?
 
Hili ni jukwaa gani?

Leo ndio mara yangu ya Kwanza kuingia jukwaa hili la majungu.

Kwan nyie hamfaham kwamba zoezi la PEPMIS limevuruga ratiba nyingi ofisi ya DEO?
Una hakika na usemayo kwamba malalamiko yanayotolewa ni majungu?
Mchezo wa kuchelewesha kulipa fedha za likizo kwa waalimu imekuwa ni tabia ya Halmashauri ya Magu DC hata kabla ya mfumo wa PEPMIS.
Mpaka wamenyung'unywa kwenye mitandao ya kijamii ndio wameamua kuwalipa waalimu fedha zao za likizo; juzi Jumatatu 09/6/2024 ndio wameachia fedha hizo, zaidi ya wiki moja baada ya shule kufungwa; kwa nini wakati waalimu walishawasilisha ankara za madai ya nauli zao mapema sana kabla ya shule kufungwa na fedha hizo zipo kwenye Kasma ya Other Charges (OC) ya Halmashauri?
Walikuwa wanazifanyia biashara ya kununulia mpunga au kukopesha kama anavyofanya Afisa Taaluma Johari Mwasha?
Waache kukandamiza haki za waalimu; wawape stahiki zao kwa wakati.
Naibu Katibu Mkuu Charles MSONDE; chondechonde, wang'oe Johari Mwasha na Jack Buhatwa hapa idarani; wanaumiza sana waalimu; maafisa hao ni perpetrators wa uonevu na rushwa!!
Asante sana Mwl. Ezekiel Njalla kwa kuvunja ukimya na kuwachora hao watu mtandaoni; usiogope hakuna atakayekudhuru maana unasimamia haki ukiwa kama kiongozi.
Mwl. Njalla una degree ya education; unafaa hata kuwa Afisa Taaluma hapo Elimu Msingi Wilayani.
Wapelekeni Johari na Buhatwa wakafundishe wasiendeleze uonevu wao na rushwa; mbona maofisa wengine wanarudishwa madarasani?
 
Vip Dec huko Magu Dc

Malalamiko ni hayo hayo au wamejirekebisha?
 
Buhatwa ni mwiba hapo Idara ya Elimu Magu DC kwa sababu siyo muadilifu hata kama elimu yake kitaaluma inakidhi matakwa ya ajira ya nafasi anayoisimamia kwa sasa.

Buhatwa ni Afisa asiyekuwa na maadili, na kama ataendelea kuwa SLO Magu DC bila kujirekebisha; ipo siku atasabanisha balaa kwenye idara hiyo na atamwathiri Mkuu wa Idara ambapo yeye binafsi anajitahidi sana kusimamia vema Idara hiyo, licha ya maofisa vichomi waliosalia hapo kama Johari na Buhatwa baada ya Nyagabona kuhama Magu.

Buhatwa kwa kushirikiana na Afisa huyo aliyehamishiwa Misungwi (Bwana Nyagabona); wamefanya mambo mengi sana ya hovyo kwenye idara ya Elimu wilayani Magu, ikiwemo kuhamisha waalimu wenye sifa za kukaa vituoni, lakini kwa sababu ya kupenda rushwa maafisa hao hudiriki kuvuruga ikama ya waalimu ili wapate nafasi ya kufanya mabadiliko ya waalimu wakuu vituoni kama walivyomtoa Mwalimu Mkuu MTIGANDI(MWENYE UTAALAMU WA ELIMU MAALUM) ALIYEKUWA MWL. MKUU SHULE MAALUMU ITUMBILI; WAKAMTOA NA KUMHAMISHA, KISHA WAKAMPA NAFASI HIYO MWALIMU ASIYEKUWA NA SIFA ILI KUONGOZA SHULE HIYO KWA SABABU ALIWAPA RUSHWA.

Mwalimu huyo wa kike aliyepewa nafasi hiyo ya Mwalimu Mkuu ITUMBILI SHULE YA MSINGI alihamishiwa hapo kutoka shule nyingine ya Msingi ambako ALIPIGANA NA MWALIMU MWEZAKE WA KIKE.

Hata sasa baada ya kuwa amehamishiwa Shule ya Msingi ITUMBILI kama Mwalimu Mkuu; AMEPIGANA TENA na Mwalimu mwenzake wa kike akiwa shuleni hapo.

Kufuatia tukio hilo, viongozi mbalimbali wa Ofisi ya Elimu Wilayani, walikwenda shuleni hapo kufuatilia tukio hilo baya; lakini bado Mwalimu huyo bado ni Mwalimu Mkuu wa ITUMBILI SHULE YA MSINGI, kana kwamba jambo alilofanya la kupigana kazini ni jambo la kawaida.

Wapi DEO Msingi Magu? Wapi TSC Wilayani Magu? Yetu macho[emoji849][emoji849]
Roga gido hao
 
Buhatwa ni mwiba hapo Idara ya Elimu Magu DC kwa sababu siyo muadilifu hata kama elimu yake kitaaluma inakidhi matakwa ya ajira ya nafasi anayoisimamia kwa sasa.

Buhatwa ni Afisa asiyekuwa na maadili, na kama ataendelea kuwa SLO Magu DC bila kujirekebisha; ipo siku atasabanisha balaa kwenye idara hiyo na atamwathiri Mkuu wa Idara ambapo yeye binafsi anajitahidi sana kusimamia vema Idara hiyo, licha ya maofisa vichomi waliosalia hapo kama Johari na Buhatwa baada ya Nyagabona kuhama Magu.

Buhatwa kwa kushirikiana na Afisa huyo aliyehamishiwa Misungwi (Bwana Nyagabona); wamefanya mambo mengi sana ya hovyo kwenye idara ya Elimu wilayani Magu, ikiwemo kuhamisha waalimu wenye sifa za kukaa vituoni, lakini kwa sababu ya kupenda rushwa maafisa hao hudiriki kuvuruga ikama ya waalimu ili wapate nafasi ya kufanya mabadiliko ya waalimu wakuu vituoni kama walivyomtoa Mwalimu Mkuu MTIGANDI(MWENYE UTAALAMU WA ELIMU MAALUM) ALIYEKUWA MWL. MKUU SHULE MAALUMU ITUMBILI; WAKAMTOA NA KUMHAMISHA, KISHA WAKAMPA NAFASI HIYO MWALIMU ASIYEKUWA NA SIFA ILI KUONGOZA SHULE HIYO KWA SABABU ALIWAPA RUSHWA.

Mwalimu huyo wa kike aliyepewa nafasi hiyo ya Mwalimu Mkuu ITUMBILI SHULE YA MSINGI alihamishiwa hapo kutoka shule nyingine ya Msingi ambako ALIPIGANA NA MWALIMU MWEZAKE WA KIKE.

Hata sasa baada ya kuwa amehamishiwa Shule ya Msingi ITUMBILI kama Mwalimu Mkuu; AMEPIGANA TENA na Mwalimu mwenzake wa kike akiwa shuleni hapo.

Kufuatia tukio hilo, viongozi mbalimbali wa Ofisi ya Elimu Wilayani, walikwenda shuleni hapo kufuatilia tukio hilo baya; lakini bado Mwalimu huyo bado ni Mwalimu Mkuu wa ITUMBILI SHULE YA MSINGI, kana kwamba jambo alilofanya la kupigana kazini ni jambo la kawaida.

Wapi DEO Msingi Magu? Wapi TSC Wilayani Magu? Yetu macho[emoji849][emoji849]
Roga gido hao
 
Fedha zenu za likizo zitakuwa zimechukuliwa na maofisa wenu wa Idara ya Elimu na wamekopeshana; hamzipati sasa hivi ng'o mpaka shule zitakapofunguliwa!!
Wakiwahurumia sana watawawekea kwenye Mshahara wenu wa mwezi huu wa 6/2024.
Tatizo la Idara ya Elimu Msingi Magu DC ni maofisa wake kukosa kabisa uadilifu kuanzia SLO wao Jack Buhatwa, Afisa Taaluma Johari Mwasha; na inawezekana hata Afisa Elimu Glory Mtui ameshaambukizwa sumu hiyo!!
Inawezekanaje waalimu wasiwe wamelipwa fedha zao za likizo mpaka sasa wiki ya pili tangu shule zifungwe? Hizo fedha kama zitalipwa pamoja na mishahara ya mwezi wa sita waalimu ndio waanze likizo?
Ninyi ni maofisa wabadhirifu, majangili msiokuwa na huruma kabisa kwa watumishi wa chini yenu!!
Mnafanyia biashara pesa za waalimu, mkishazizalisha ndio mnawalipa sivyo?
Buhatwa na Johari ni wala rushwa wakubwa wa pesa za waalimu wanaopewa madaraka ya Ualimu Mkuu na uhamisho; mtalaaniwa na dhuluma hiyo mnayowafanyia waalimu.
Buhatwa utaendelea kulewa na kutembea na wanawake wazee kama mama zako na hutaoa!!
Johari utaendelea kuzini na waume wa watu, watakunyung'unya mpaka utakongoroka na utaambulia stress; unakula pesa za waalimu ili ufanye biashara ya kukopesha kwa kushirikiana na swahiba wako Mbochi eeh?
Mbochi amekurusha mamilioni ya pesa mpaka umempiga marufuku asikanyage hapo ofisi ya Elimu Magu; hiyo ofisi ni mali yako? Mbochi amekuweza, kibumbu amekula na pesa amekula amekuachia madeni mpaka utakoma!!
Mnadanganya waalimu kwamba eti pesa hazishuki; uongo mtupu!! Hizo pesa za Other Charges kwa nini zisishuke na ziko kwenye mwaka wa fedha unaoendelea?
Mnadhani waalimu wote hawajui mfumo wa fedha za serikali unavyofanya kazi?
Mbona Halmashauri zingine za nchi hii waalimu wameshalipwa fedha zao za nauli za likizo hii inayoendelea? Hizo Halmashauri zinategemea Treasury ya nchi gani?
Naibu Karibu Mkuu CHARLES MSONDE; shughulikia hawa nyang'au Buhatwa na Johari; wanatesa waalimu sana.
Wasomeeni dua mbaya hao wote wanaowatesa hakuna namna
 
Back
Top Bottom