Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

IPTL ni private company.
Wanaweza kuuza share zao kwa kupitishwa na bodi ya directors.
Hii sio puplic company .
Hivyo suala la kuuzwa ni lao wenyewe na ni halali na ndio maana hakuna share holders alie kuja kulalama kuwa uuzwaji huo sio halali.
VIP Eng. Wao pia walifuta kesi yao na pia wamepokea mgao wao wa kuuza hisa zao.
Umeme hauzalishwi bure
Capacity charges ni halali kwa mujibu wa mkataba uliopo
Wameuza kampuni na mnunuzi amenunua na yupo responsible kwa madeni na mapato ikiwa pamoja na Escrow.
Kuuzwa kwa IPTL bei poa ni makubaliano yao ikitegemea madeni ya kampumi ambayo ni makubwa na interest imevuka kiwango.
Tuwache uwingo na uchoyo
Isije watu wamekosa mgao them wana create story kupanda chat ya kisiasa .
Tuwe makini na uchoyo
Kama yapo makosa tuseme ni wale walio ingia mkataba na IPTL miaka ya mzee mwinyi.
Kumiliki vitalu halihusu yeye ni mfanya biashara na haikatazwi zito kumiliki muhimu kuweza kuvitumia huu ni uchoyo mwengine.
 
Tanzania yetu usanii kila siku, hv hawa apinzani kwanini hawaungani kwenye hili , au aliyelianzisha sio mwenzao,. Maana siku hizi kama sio mwenzetu hatukuungi mkono.
 
Wakuu ,
Hili jambo umsilichukulie kimasihara, haswa kwa kuwa limeshahisiwa kuchukua roho ya mtu mchamungu na aliyependwa na watu . Hapa ipo balaa tena kubwa.
Tuombe Mungu Mkaguzi Mkuu wa serikali aruhusiwe kukagua aweze kumaliza na alete ripoti yake original kwa umma.
 
Wakuu ,
Hili jambo umsilichukulie kimasihara, haswa kwa kuwa limeshahisiwa kuchukua roho ya mtu mchamungu na aliyependwa na watu . Hapa ipo balaa tena kubwa.
Tuombe Mungu Mkaguzi Mkuu wa serikali aruhusiwe kukagua aweze kumaliza na alete ripoti yake original kwa umma.


Toothless dog atafanya nini??!!

Anateuliwa na nani??!!

Akishakagua anawakabithi wakina nani??!! Wana moral authority ipi so far??!!
 
Wakuu ,
Hili jambo umsilichukulie kimasihara, haswa kwa kuwa limeshahisiwa kuchukua roho ya mtu mchamungu na aliyependwa na watu . Hapa ipo balaa tena kubwa.
Tuombe Mungu Mkaguzi Mkuu wa serikali aruhusiwe kukagua aweze kumaliza na alete ripoti yake original kwa umma.

Kwani mkaguzi mkuu hanunuliki? Tunataka wachunguzi huru kutoka nje ya nchi.
 
Mbona Zitto hajibu hoja ya Maswi kuwa hajachangia wizara ya nishat na madini toka 2011?

Mbona hajitokezi kumjibu nje ya bunge hadharani si nyuma ya keyboard?

Tokanlini Zitto ameanza kuwa mtetezi wa wanawake?

Sintoshangaa nikisikia mtu huyu nae anafir......w.a
 
Think outside the box... hakuna ujinga hapo, ZK ajibu hoja. Mpiga dili tu. Ndio maana hakuna sehemu kamkana Maswi

amkaneje? Je anachokizungumza ni uongo? Fedha si za umma? Kwa kuwa hajamkani ndicho kigezo cha kuwaacha mafisadi waendele kutafuna fedha zetu?. Huoni hata hao mafisadi wataendelea kutumbaza kupitia udhaifu huo kwa kuwajumuisha watetezi kuwa nao mafisadi? Huku tukiendelea kumshambulia zitto huku wakiendelea kutafuna? ACHENI UJINGA.
 
Mkuu,
Karne hii bado unaamini uchawi?
Zitto ajibu hoja ya Maswi why hajachangia hoja wizara ya nishat na madini since 2011?

Tatizo yeye ni mpiga dili tu, anabiga kelele zen anapozwa. MASWI anamjua wote ni wale wale.

Unajiona una Akili kweli kuhoji Kwamba zito hajachangia bajeti tangu 2011.

Hata mambo hufatilii. Zito amechangia wizara hiyo bajeti ya mwaka huu kwa maandishi. Si kila mbunge anachangia kwa maneno.

Usiwe mjinga kama akina maswi
 
Kuna mtu aliwahi sema ".....wananchi ni kama misukule ya CCM..." Linapokuja suala muhimu la maslahi ya nchi tunaliona kama ngojera, ila umbeya wa wasanii na magazeti ya Shigongo tunabeba bango wiki nzima! Kwa mtindo huu taifa litasonga mbele? Shule zitakuwa na madawati na vitabu? Hospitali zitakuwana dawa?Mishahara itapanda? Huduma za maji safi na salama zitapatikana?.....
 
Asante kwa kuona ninacho kiona,Zitto huwa anavuma kwa waves za kisanii sanii kwa ku-capitalise publicity-vijana tunasema mtu wa stunt bin kick then yanaisha,lakini wapo wanaomwandaliaga hayo mazingira and they know how far/low he can go while they are monitoring the aim and cross line,he can't bite those people and even a punch he won't throw!!!

Baada ya Zitto kuingilia suala la fedha za Eskrow chadema wameanza kuzitetea teh teh teh..
 
AG: Escrow funds not public money

By Felister Peter

26th June 2014

mussa-azzan-june26-2014.jpg

National Assembly Chairman, Mussa Zungu

The Attorney General Judge Frederick Werema was yesterday forced to clarify on the decision by Central Bank (BoT) to pay the Independent Power Tanzania Limited (IPTL) through escrow account.

The AG was ordered by the National Assembly Chairman, Mussa Zungu to give clarification on the matter after MP David Kafulila, Kasulu South (NCCR-Mageuzi) had requested for the Chairman’s guidance claiming that it was not right for the government to pay IPTL through the escrow account.

Judge Werema said the funds used to pay IPTL were not public money and that the government doesn’t keep money in escrow account.

He explained that the issue of IPTL payments resulted from a conflict between the shareholders. He added: “The government doesn’t keep money in escrow account…the money paid to IPTL is not public funds”.

Werema claimed that some Members of Parliament were spreading wrong and false information concerning IPTL payment. He disowned some of the documents that were presented in the august house by John Mnyika, Ubungo MP (CHADEMA) and David Kafulila, Kasulu South (NCCR-Mageuzi).

The National Assembly Chairman, Mussa Zungu intervened urging the opposition MPs to hand over whatever evidence they have to the office of the Controller and Auditor General (CAG) and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) and copies to the Speaker of the National Assembly.

Kafulila had wanted to know the measures the parliament would take against the Minister of Energy and Minerals, Prof Sospeter Muhongo who he said gave false statements concerning the escrow account saga.

Kafulila said Prof Muhongo told the parliament that decisions to pay the Independent Power Tanzania Limited (IPTL) through escrow account were made by the High Court of Tanzania on September 2003, and that the government wanted to do away with long standing court cases with IPTL.

“Prof Muhongo gave false statements…I have a copy of the ruling by the High Court of Tanzania and there is nowhere stated that the government should pay IPTL through escrow account,” he said, adding that according to parliamentary regulations Chapter 64 (1) legislators should not lie or provide false statements in the house.

According to Kafulila, the ruling by the High Court of Tanzania stated that the ‘Provisional liquidator shall hand over all the affairs of IPTL including the IPTL Power Plant to Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), which has committed to pay off all legitimate creditors of IPTL and to expand the plant capacity to about 500MW and sell power to the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) at a tariff of between USD cents 6 and 8 per unit in the shortest possible time after taking over in the public interest’.

Meanwhile, Mnyika asked the Prime Minister, Mizengo Pinda to order the Minister for Energy and Minerals to recant his statement in the house.

Mnyika who is also the Shadow Minister for Energy and Minerals said that he will table a private motion concerning the matter in the coming two days.

The Bank of Tanzania is said to transfer USD 122 million which is equivalent to 201bn/- which was at the escrow account to Pan Africa Power Solutions (Tanzania) Ltd (PAP) between November 28 and December 8, last year.

SOURCE: THE GUARDIAN
 
Hizo pesa za watoa huduma (service providers), malipo yao halali kwa huduma waliyotoa kama ilivyo kwenye mikataba yao ya kutoa huduma hiyo.

Zilikuwa public funds kabla hazijalipwa na mradi zimeshakusudiwa kulipwa watoa huduma na kupelekwa escrow account zimeshakuwa si public funds tena.

KUMBUKA.
 
Mkuu msituni kuna nyoka wenye sumu kali, nakushauri uende kwanza wewe, ukirudi salama ndiyo uwashawishi wenzio, pia mimi kamwe hunishawishi kwenda kugongwa na nyoka kwa fedha za makampuni ya watu ambayo hayanigawii hata elfu kumi, kama maisha magumu nakushauri upambane kutafuta pesa badala ya kusingizia siasa, utakufa masikini.

Utakuwa unafaidi "matunda" ya nchi wewe kama Prince Rizmoko
 
Mhongo alisema kuna viongozi wa kambi ya Upinzani walinaswa na CCTV camera wakila mlungula wa IPTL na hii nadhani ndo sababu Viongozi wa UKAWA hawataki kumsapoti Kafulila
 
Simba Trust,Kagoda,Jitegemee limited,Meremeta hizi zote kampuni za CCM
 
Mkuu,
Karne hii bado unaamini uchawi?
Zitto ajibu hoja ya Maswi why hajachangia hoja wizara ya nishat na madini since 2011?

Tatizo yeye ni mpiga dili tu, anabiga kelele zen anapozwa. MASWI anamjua wote ni wale wale.
Hivi wabunge wote wamechangia wizara ya naishati na madini kila mwaka kuanzia 2011?
 
Mtanzania yoyote atakaeunga mkono kua hii hela haikua mali ya Umma naomba niseme kua ana upeo mdogo wa kufikiri na arudi akawaombe msamaha wazazi wake mana anawakosea kwa kuunga mkono mali ya wananchi kuchezewa
 
Back
Top Bottom