Habari
Ningependa kutambulisha system yangu ya kutunzia na kufanyia mahesabu ya kibiashara kama vile manunuzi , mauzo, mapato na matumizi.
System hii unaweza itumia online kwa maana popote utakapokuwa unaona mahesabu yako au kuitumka hapo hapo ofisini tu.
Utaweza kutunza manunuzi yotr uliyofanya, mauzo yote, matumizi na mapato yako na mfumo wenyewe utakupa mahesabu yote ya faida au hasara, hesabu za bidhaa zilizouzwa na zilizobaki nk
Pia system itakujulisha bidhaa ambazo zime expire na kuziondoa katika biashara yako.
System hii inaweza kutumika katika supermarket, mini supermarket, duka lolote la bidhaa la rejareja au hata maduka ya bidhaa za jumla.
Pia pharmacy inaweza kutumia mfumo huu kwakuwa mfumo unajulisha bidhaa zilizoharibika na zinazoexpire pia
Offa hii ni ya siku 7 tu kuanzia 01-01-2024 mpaka 07-01-2024 na inahusisha mmiliki mwenye biashara 1 tu
+255 711 707070