SOFTWARE FedhaBook: Tunza kumbukumbu zako za mapato na matumizi bila malipo ya kila mwezi wala mwaka
Vipi kuhusu sie tunaouza mazao ya chakula, system inaruhusu kufanya kazi?
System utaitumia kwa kila aina ya biashara inayofanya manunuzi na mauzo.
Kikubwa biashara iruhusu ubadilishanaji wa fedha tu kutoka kwa suolier, muuzaji na mteja wa mwisho
Hata kwa wale wanao nunua malighafi kisha wanazalisha bidhaa mpya system inaruhusu.
 
Ninatoa offa hii kwa wamiliki wa maduka ya madawa kwa kuwapatia mfumo wa kusimamia mahesabu ya manunuzi, mauzo, mapato na matumizi.PHARMACY MANAGEMENT SYSTEM
2dashboard.png

Kupitia mfumo huu ambao aidha atautumia online au offline utanrahisishia utunzaji wa kumbukumbu zote za manunuzi, mauzo, mapato yake na matumizi yote.
6profitandloss.png

Hii itamsaidia mmiliki huyu wa biashara hii kujua faidia halisi iliyopatikana
kazi hii itafanywa na system yenyewe.
5purchaseandsales.png

Pia ataweza kujua stock yote ya madawa yaliyobakia kwenye biashara yake na zile zinazoelekea kuharibika (expire).
4stockreport.png

Utaweza kufungua account ya cashier mtu ambaye yeye kazi yake ni mauzo tu na hawezi jua lolote linaloendelea katika mahesabu ya manunuzi na faida au hasara.
3POS.png

Pia system hii inaruhusu kuprint risiti ikiwa utahitaji kufanya hivyo
7salesdetails.png

Offa hii ni ya siju 7 tu kuanzia 01/01/2024 mpaka 07/01/2024

Kwa 300,000 tu unajipatia system hii

0782 780 980
 
OFFA YA KUUANZA MWAKA 2024
KWA Tsh. 300,000 Tu unajipatia mfumo
 
Habari
Ningependa kutambulisha system yangu ya kutunzia na kufanyia mahesabu ya kibiashara kama vile manunuzi , mauzo, mapato na matumizi.
View attachment 2859745
System hii unaweza itumia online kwa maana popote utakapokuwa unaona mahesabu yako au kuitumka hapo hapo ofisini tu.
View attachment 2859746
Utaweza kutunza manunuzi yotr uliyofanya, mauzo yote, matumizi na mapato yako na mfumo wenyewe utakupa mahesabu yote ya faida au hasara, hesabu za bidhaa zilizouzwa na zilizobaki nk
View attachment 2859748
Pia system itakujulisha bidhaa ambazo zime expire na kuziondoa katika biashara yako.
View attachment 2859749
System hii inaweza kutumika katika supermarket, mini supermarket, duka lolote la bidhaa la rejareja au hata maduka ya bidhaa za jumla.
View attachment 2859750
Pia pharmacy inaweza kutumia mfumo huu kwakuwa mfumo unajulisha bidhaa zilizoharibika na zinazoexpire pia

Offa hii ni ya siku 7 tu kuanzia 01-01-2024 mpaka 07-01-2024 na inahusisha mmiliki mwenye biashara 1 tu

+255 711 707070

weka bbei
 
Habari
Ningependa kutambulisha system yangu ya kutunzia na kufanyia mahesabu ya kibiashara kama vile manunuzi , mauzo, mapato na matumizi.
View attachment 2859745
System hii unaweza itumia online kwa maana popote utakapokuwa unaona mahesabu yako au kuitumka hapo hapo ofisini tu.
View attachment 2859746
Utaweza kutunza manunuzi yotr uliyofanya, mauzo yote, matumizi na mapato yako na mfumo wenyewe utakupa mahesabu yote ya faida au hasara, hesabu za bidhaa zilizouzwa na zilizobaki nk
View attachment 2859748
Pia system itakujulisha bidhaa ambazo zime expire na kuziondoa katika biashara yako.
View attachment 2859749
System hii inaweza kutumika katika supermarket, mini supermarket, duka lolote la bidhaa la rejareja au hata maduka ya bidhaa za jumla.
View attachment 2859750
Pia pharmacy inaweza kutumia mfumo huu kwakuwa mfumo unajulisha bidhaa zilizoharibika na zinazoexpire pia

Offa hii ni ya siku 7 tu kuanzia 01-01-2024 mpaka 07-01-2024 na inahusisha mmiliki mwenye biashara 1 tu

+255 711 707070

Kuna siku mtu kasema anauza kitu kumfuata ana sema mil30 [emoji23][emoji23]angekua amesema bei nisingejisumbua
 
Nikiwa kama mdau wa afya MWANDAMIZI senior ntakutafuta tuzungumzee zaidi..

Kwa Sasa ni hayo tu
 
Tunza kumbukumbu za manunuzi, mauzo, mapato na matumizi

Fahamu faida zipatikanazo katika bidhaa zako unazouza.
Mfumo ni kwa aina yoyote ya biashara
jumla na rejareja, pharmacy na supermarket
 
vipi mifumo isipo somana

nafikiri umewahi kusikia hicho kitu
 
epuka matumizi ya daftari katika kutunza taarifa muhimu za biashara yako
 
Back
Top Bottom