Feedback: Mkojo umetibu maumivu kwenye meno yangu

leo nimemaliza.... meno yamepona .....

so it works

ila inahitaji moyo ... mdomo wanuka kama shimo la choo....

ila baada ya nusu saa unaweza piga mswaki unarudi kwa hali ya kawaida

ahsante sana MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Mrejesho day 2

nimeamka alfajiri nasikilizia maumivu ya jino .... Hakuna..... Ni kama vile nimepigwa ganzi

nkaona isiwe issue acha niendelee na dozi day 2 ....

Nmebakiza siku moja nipo poa saana tu... Sijui ni malizie
Malizia siku iliyobakia usiache kutumia Mkojo wako Mkuu PongLenis
 

Hii dawa nilielekezwa na rafiki mmoja wakati nipo Hifadhi ya Ngorongoro kwa ratiba ya kikazi. Rafiki yangu niliesafiri nae ndie alikuwa anasumbuliwa na jino na akaelekezwa kutumia mkojo wake km Tiba. Ilimuwia vigumu kukubali na kufata maelekezo lkn baada ya maumivu kupamba moto alikubali na haikumchukua mda akapona kabisa.. Siku ile ya asubuhi mpk jioni akapona bila kung'oa jino.
 
I wish huo mkojo ungekuwa unatibu na mgongo!
 
MziziMkavu unasitahili PhD kutoka hapa Jf

chilubi hujaugua wewe. Ipo siku yako siyo mkojo wako utakunywa hata wa mtu mwingine. Mshukuru Mungu uko salama na afya yako.
 
Last edited by a moderator:
ila inahitaji moyo mi mpaka leo bado sijaanza hiyo dozi... ..
ila nimeipenda hii dawa
 
I wish huo mkojo ungekuwa unatibu na mgongo!
Mkuu Zamaulid Kama unajuwa kusoma Lugha ya Kiingereza Soma hapa chini Mkjo wako mwenyewe ukiunywa kwa muda wa siku 14 utapona Maumivu ya mgongo (Low back pain, very severe)

[SIZE=+2]Urine Therapy Testimonials[/SIZE]


[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF00"] Parkinson's[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #FFFF00"]Lung Cancer[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FF99CC"]Stage 4 Breast Cancer[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #FF99CC"]Stage 3 Ovarian Cancer[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF99"]Emphysema[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #FF99CC"]Colon Cancer[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FF99CC"]Breast Lumps[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #66FFFF"]Prostate Cancer[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF00"]Hepatitis C[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #6699FF"]Fibroid Tumor[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FFFF99"]Multiple Sclerosis[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #6699FF"]Cystitis, bladder infection[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF99"]Epilepsy[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #FFFF00"]Consumption[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FFFF00"]Fever, baby with[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #6699FF"]High fever, undiagnosed[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF99"]Allergies[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #66FFFF"]Enlarged Prostate[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FFFF99"]Food Poisoning[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #FFFF00"]Antibiotic resistant COLITIS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF99"]Asthma[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #FFFF99"]Lyme Disease[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FFFF99"]Parasites, Amebas[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #FFFF00"]Auto-intoxication[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF99"]Influenza[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #FFFF99"]Kidney Stones[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FFFF00"]Heart Burn[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #6699FF"]Tooth Abscess[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF99"]Gangrene[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #FFFF00"]Rectal Bleeding[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FFFF99"]AIDS-1 AIDS-2[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #FF99CC"]Brain Tumor inoperable[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: #FFFF99"]Rosacea[/TD]
[TD="width: 123, bgcolor: #FFFF00"]Liver Disease[/TD]
[TD="width: 168, bgcolor: #FFFF99"]Malaria, Dysentery[/TD]
[TD="width: 30%, bgcolor: #FF99CC"]Low back pain, very severe[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 90%"]
[TR]
[TD="width: 100%"][SIZE=-1]The color in each box indicates which book contains information to deal with a particular malady or disease, though all of them contain holistic and prophylactic information that can help you live healthy, improve your health or help you fight multiple diseases. [/SIZE][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 98%"]
[TR]
[TD="width: 11%, bgcolor: #FFFF99, align: center"]Uropathy[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #66FFFF, align: center"]Prostate Cancer[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #FFFF00, align: center"]Salt* Deficiency[/TD]
[TD="width: 27%, bgcolor: #6699FF, align: center"]Universal Remedy[/TD]
[TD="width: 60%, bgcolor: #FF99CC, align: center"]Breast Cancer[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


chanzo.Urine Therapy Testimonials
 
mimi nilikuwa nikila nasikia maumivu kwenye fiz na nilikuwa siwez kula vitu vigumu ila tangu jana asubuh na leo asubuhi baada ya kunywa nimeona maajabu. Ila kwel kunywa inahitaji moyo kwani baada ya kunywa, kinywa chote kinaharuf ya mkojo halaf haiishi haraka. ila sitoacha had kesho nimelize doz kabisa. Hongera mzizimkavu, uzidi kutupa elimu ya tiba.
 
Asante kwa kutupa Feedback Ubarikiwe mkuu kayimukaa Mkojo wako mwenyewe mkojo wa asubuhi kabla ya kula au kunywa kitu ni dawa kwa kila Maradhi.
 
Last edited by a moderator:
hahahaha naona mzizimkavu amefungua ID mpya kisha amekuja kujisifia ili kuongeza credibility hapa jf,safi sana mkuu. ndio ujasiriamali ulivyo
 
@ MziziMkavu MziziMkavu Mimi nimetoa angalizo siyo lazima ulifanyie kazi, kama utapenda endelea tu kunywa mkojo lakini nakushauri tena huo ni uchafu tena wenye critical rejects (sometimes toxin). Ndiyo maana tunashauriwa kutokupenda sana kula offals (kama vile maini na figo), sababu kubwa ni ile kazi ya kusafisha (detoxification). Kula maini au figo ya mnyama mwenye afya si tatizo sana kwavile toxin hazitunzwi bali zinasafishwa, lakini inaposhindwa kusafisha ujue itabaki hapo hiyo sumu na siyo nzuri kwako. Sababu nyingine kwanini usinywe mkojo ni kwasababu ina chumvi nyingi na urea jambo linaloweza kukufanya upoteze maji (dehydration), kwa msingi huo ogopa sana kumnywesha mgonjwa hasa katika wakati mgumu (survival situation). Kuhusu Elimu nashukuru, lakini pia mimi siyo mweupe (Layman) katika masuala ya Afya, nikitoa ushauri huwa ni wa kitaalamu pia.
 
Unaweza kuamini kuwa umepona Meno kwa kusukutua na mkojo wa Asubuhi, hapo umetuliza tu. Na watu wengi wanapotoshwa na mwisho wa siku wanapoteza meno yao. Tiba ya meno sio kama mafua na kikohozi. Magonjwa ya meno yapo makuu mawili,kuoza meno(dental caries) na kuvimba fizi(periodontitis) na yote yanatibika kulingana na steji zake za uharibifu. Nenda kamuone dentist kwa tiba bora ya meno.
 
Hata mimi nilishawahi kusikia hii kua mkojo wako mwenyewe tena wa asubuhi ni dawa ya magonjwa mengi. Japp sijajaribu ila nahisi kuna ukweli. Thanks anyway...Kama ni dawa its better mtu ujitibu mapemaa maana mbona kuna madawa ya ajabu zaidi ya hata huo mkojo...tena uzuri mkojo wenyewe wako mwenyewe...je ungekua wa mtu na umeambiwa ni dawa hutakunywa!?
 
Mkuu Uliza_Bei Kaa wewe na kusema mkojo ni uchafu sisi tunakunywa mikojo yetu na tunapona. Tuache kama tulivyo wewe ukiumwa na meno nenda Hospitali ukatibiwe Dawa zipo kule Hospitali tuache na Dawa yetu ya asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…