Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mkuu CHIPS DUME Na wewe unaonaje ufunguwe ID yako mpya na kuja kujisifia dawa yoyote ile . Wapo Ma-Moderator zaidi 20 humu Jamii forums wanafanya kazi gani mpaka mimi nifunguwe ID ya kujisifia kuwa mkojo ni Dawa? sina kazi ya kufanya nini? Kama una wakati wa kusoma Ma-Blog hebu jaribu unitembelee Blog yangu bonyeza hapa.Mzizi Mkavu Unaweza kuelimika na jambo fulani Maishani mwako.......hahahaha naona mzizimkavu amefungua ID mpya kisha amekuja kujisifia ili kuongeza credibility hapa jf,safi sana mkuu. ndio ujasiriamali ulivyo
Unakojowa asubuhi unakinga mkojo wako kabla ya kula au kunywa kitu kisha unautia mdomoni na kusukutuwa kwa dakika kama 5 kisha unatema huo mkojo mdomoni. Unafanya hivyo kwa muda wa siku 3 hutoumwa tena na maradhi ya meno maishani mwako.
Mkuu Tee Bag bonyeza hapa.Topic: Mkojo ni dawa???
Unakojowa asubuhi unakinga mkojo wako kabla ya kula au kunywa kitu kisha unautia mdomoni na kusukutuwa kwa dakika kama 5 kisha unatema huo mkojo mdomoni. Unafanya hivyo kwa muda wa siku 3 hutoumwa tena na maradhi ya meno maishani mwako.
Mkojo wako ni Dawa ya maradhi mengi dawa ya maradhi ya Vidonda vya tumbo , maradhi ya figo, Maradhi ya
Ugonjwa wa Kansa za aina yoyote ile , Maradhi ya Hepatit B,Hepatit C, Maradhi ya Pumu, Na kila Maradhi
yasiyotibika Ma-Hospitali mkojo wako ukinywa wewe mwenywe Asubuhi glasi 1 kabla ya kula kitu kwa muda wa
siku 21 utapona kwa hayo maradhi niliyotaja hapo juu. chanzo.Urine Therapy Testimonials
Unaweza kuamini kuwa umepona Meno kwa kusukutua na mkojo wa Asubuhi, hapo umetuliza tu. Na watu wengi wanapotoshwa na mwisho wa siku wanapoteza meno yao. Tiba ya meno sio kama mafua na kikohozi. Magonjwa ya meno yapo makuu mawili,kuoza meno(dental caries) na kuvimba fizi(periodontitis) na yote yanatibika kulingana na steji zake za uharibifu. Nenda kamuone dentist kwa tiba bora ya meno.
Mimi mbona nilitumia mwaka 2011 kusukutuwa Mdomoni Mkojo wangu mwenyewe mpaka leo huu ni mwaka 4 sijaumwa tena na meno usipofanya siku 3 utakuwa umeharibu dozi yake kamili. mkuu Mr IINikweli hata mimi nilisha tumia sana husaidia lakini kuna tatizo la kurudia tena baada ya muda. unatakiwa pia waone madentisti watakushauri zaidi. Mimi mwisho nitatumia Aloe bright toothgel imesaidi mpaka sasa haijurudii tena.
Mimi mbona nilitumia mwaka 2011 kusukutuwa Mdomoni Mkojo wangu mwenyewe mpaka leo huu ni mwaka 4 sijaumwa tena na meno usipofanya siku 3 utakuwa umeharibu dozi yake kamili. mkuu Mr II
Nikweli hata mimi nilisha tumia sana husaidia lakini kuna tatizo la kurudia tena baada ya muda. unatakiwa pia waone madentisti watakushauri zaidi. Mimi mwisho nitatumia Aloe bright toothgel imesaidi mpaka sasa haijurudii tena.
sasa naweza kuiamini tiba hii, niliwahi kuambiwa na mzee mmoja kijijini nikiadharau ila sasa nimeiamini.
Kaka MziziMkavu ningefurahi sana kama ungenisaidia sawa nyingine kwani hiyo niliitumia kwa mda wa siku 14, na kwa mjibu wa maelezo yako nilipaswa kutumia siku 7 tuu
Hata mimi nilishawahi kusikia hii kua mkojo wako mwenyewe tena wa asubuhi ni dawa ya magonjwa mengi. Japp sijajaribu ila nahisi kuna ukweli. Thanks anyway...Kama ni dawa its better mtu ujitibu mapemaa maana mbona kuna madawa ya ajabu zaidi ya hata huo mkojo...tena uzuri mkojo wenyewe wako mwenyewe...je ungekua wa mtu na umeambiwa ni dawa hutakunywa!?
Mkojo sii uchafu.SomeniDuh sikuwahi sikia hii maishani mwangu lakn Mkojo ni uchafu na ni najisi anyway kama ni dawa kheri
Mkojo sii uchafu.Someni
Aisee kweli jf ni kitovu cha elimu
lakin mkuu si najisi hii? iweje uweke najisi kwenye kinywa? nahitaji ufafanuz tafadhali
Duh sikuwahi sikia hii maishani mwangu lakn Mkojo ni uchafu na ni najisi anyway kama ni dawa kheri
Najisi Kidini Kiutibabu ni Dawa kazi kwako Mkuu Marnah; Tupo kwenye Jukwaa la Jf Doctor hatuko kwenye Jukwaa la kuelimishana Mambo ya Dini Samahani sana Usilete Mambo ya Dini hapa.lakin mkuu si najisi hii? iweje uweke najisi kwenye kinywa? nahitaji ufafanuz tafadhali
Nilikuwa nasumbuliwa na tatizo la kuumwa na meno kwa muda mrefu.. Na nimetumia dawa nyingi bila kupata ahueni yoyote.
Ila juzi kati nilisoma thread moja ivi ya Mzizi Mkavu nikaona jinsi ya kutibu Meno kwa kutumia mkojo wako wa asubuhi.
Daah nashkuru Mungu sasa ivi nimepona kabisa..
Ahsante sana
Mzizi Mkavu.
nimesoma artcles nyingi kabla ya kufanya haya maamuzi, nkakuta ni kweli inaisaidia.....
wiki mbili zilizopita niliumwa sana na jino, huku ughaibuni lazima uwe na appointment sio unajiendea tu, lakini walinichukuwa kama emergence ..jino lilikuwa na inflammation ... yule doctor akanipiga ganzi 3 ... akafanya root canal akanipiga na xray ... akaziba...
akanambia ... x ray inaonesha jino la mbele nalo soon linakuwa kama hili , ila nenda home likiuma njoo ...pia nakupa appointment mbili... 7 may na tarehe 12 may ..... akanambia hadi matibabu namaliza it will cost me 570$ hiyo ni more than 1milion TZ shillings....
nkaondoka nafuraha maumivu sina nafanya kazi kama kawaida ..... alhamis bana yakaanza tena maumivu..... upande uleule sehemu ileile,....
bahati nzuri napita JF usiku alhamis nkakutana na hii thread... nkaingia online kufanya kuangalia kama hii kitu ipo na ina exist nkakuta ipo....
well ijumaa saa kumi alfajir nkaamka nkajaribu ..... nilijishauri sana harufu ilikera sana... ila amini usiamini mchana nilishinda fresh maumivu 90% yaliondoka....
leo naandika hapa ... jino natafunia ... hakuna maumivu... sihisi chochote.....
nime save 500$ ........
testimonials nyingi nilizosoma ni wazee! watu wana umri mkubwa... basi wangukuwa washakufa na infection
pia ni kusukutua tu! wala si kuunywa mkojo..
.............Sijawahi kutoa jino, mwezi uliopita nikaanza kuumwa jino. Nimeenda kwa dentist leo kufanya check up.
Nikachukuliwa xray na kuambiwa jino lipo infected, nimepewa antibiotic na some pain killer.
Nina appointment ya kufanyiwa root canal 2 weeks from today, ambayo itacost mafedha mengi sana.
Naperuzi JF nakutana na good news za mkojo, je kwa mimi ambaye jino lipo infected tayari tiba ya mkojo itanifaa?
Cc mzizimkavu
Unaweza kusukutuwa mkojo wako waAsubuhi bibie Pretty jaribu kufanya hivyo kwa muda wa siku 3 kisha uje unipe feedback.............Sijawahi kutoa jino, mwezi uliopita nikaanza kuumwa jino. Nimeenda kwa dentist leo kufanya check up.
Nikachukuliwa xray na kuambiwa jino lipo infected, nimepewa antibiotic na some pain killer.
Nina appointment ya kufanyiwa root canal 2 weeks from today, ambayo itacost mafedha mengi sana.
Naperuzi JF nakutana na good news za mkojo, je kwa mimi ambaye jino lipo infected tayari tiba ya mkojo itanifaa?
Cc mzizimkavu
Sio tu Mafuta ya karafuu hata karafuu zenyewe ni Dawa ya jino.........nina shost wangu kaniambia na mafuta ya karafuu nayo dawa ya meno.
Je MziziMkavu unajua kwamba clover oil ni dawa ya meno pia kama yanauma?
Mkuu Amkaasaubuhı kabla ya kunywa au kula kitu nenda chooni kisha ukinge mkojo wako kıpımo cha nusu glasi kisha utie mdomoni usukutuwe kwa muda wa dakika 5 kısha uteme mkojo wako kisha kaa kwa mudawa dakika 30 unaweza hapo kupiga mswaki na kunywa chai fanya hivyo kwa muda wa siku 3 kisha uje unipe feedbackaisee hii sikuwahu kuijua,, MziziMkavu mechanisim ya mkojo kutibu meno ikoje? mana mi pia meno yananisumbua sana, nishang'oa moja matatu nimeziba ila yana uwaz mdogo mdogo unaopitishaga vyakula na kusababisha maumivu
Tafadhali.
Mkuu Amkaasaubuhı kabla ya kunywa au kula kitu nenda chooni kisha ukinge mkojo wako kıpımo cha nusu glasi kisha utie mdomoni usukutuwe kwa muda wa dakika 5 kısha uteme mkojo wako kisha kaa kwa mudawa dakika 30 unaweza hapo kupiga mswaki na kunywa chai fanya hivyo kwa muda wa siku 3 kisha uje unipe feedback