Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
midfield maestro wa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaammidfield maestro wa taifa
hazina kwa taifaNaaam
cc: EMMANUEL AMUNIKEHuyu hastahili kucheza Bongo
Ana magoli mangapi national team?Mchezaji wa ndondo una mfananisha na watu wakubwa. Dhambi kumdhihaki chama na urojo wenu huo
Sasa mbona huja-ignore? huko ndio kuwashwa sasa acha kiherehereUmeshindwa kujadili hoja unawashwa eee? mtu kama wewe niku ignore nisione ufala wako milele
Huko national team umepataja fasta ili.kiwe kivuli chako ila tuje tu kwa club fei ana mafanikio gani kimataifa..? Au huko national team.ana magoli mangapi..?Ana magoli mangapi national team?
TayariSasa mbona huja-ignore? huko ndio kuwashwa sasa acha kiherehere
Hakuna kiungo kama fei kwenye ligi yetu.Mchezaji wa ndondo una mfananisha na watu wakubwa. Dhambi kumdhihaki chama na urojo wenu huo
NakaziaFei salum ni level za Kina Khama billit,Ngoma au Dieng.
Anaweza akacheza kama 8 au 10.
Anasifika kwa mashuti ya mbali,dribble, na chenga za mauzi.
Amezifunga timu nyingi kama Tunisia, Madagascar simba nk
Hutumii akili zako kwa faida.Halafu,muache kumuita Fei Toto.Amezeeka.Aitwe Fei Babu.😝😝😝👆👆Fei salum ni level za Kina Khama billit,Ngoma au Dieng.
Anaweza akacheza kama 8 au 10.
Anasifika kwa mashuti ya mbali,dribble, na chenga za mauzi.
Amezifunga timu nyingi kama Tunisia, Madagascar simba nk
daaa!!! hili jamaa limebarikiwa kwa kuwa na mdomo mchafu,....[emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2123679
Fei salum ni level za Kina Khama billit,Ngoma au Dieng.
Anaweza akacheza kama 8 au 10.
Anasifika kwa mashuti ya mbali,dribble, na chenga za mauzi.
Amezifunga timu nyingi kama Tunisia, Madagascar simba nk
Hat trick ni kama hujaiwekaView attachment 2124023
Ikae karibu kwa Wana utopox
Utaje , ni aina gani ya kiungo . Mf ,nyanya , pilipili, kitunguu , mdarasini n.k. Lakini kama unamaanisha kiungo wa mpira, acha utani usio na faida ktk jamii .Feitoto huyu ambaye hata timu dhaifu za shelisheli , somalia na Djibouti haziwahi kumuhitaji ndiye umulinganishe na chama ?Feitoto huyu ambaye timu anayochezea inashika nafasi ya 300 katika ubora wa vilabu barani Afrika ndiye alinganishwe na chama anayecheza miongoni mwa vilabu bora kabisa barani Afrika kweli jamani?Huku sasa nikumkufuru Mungu.Fei salum ni level za Kina Khama billit,Ngoma au Dieng.
Anaweza akacheza kama 8 au 10.
Anasifika kwa mashuti ya mbali,dribble, na chenga za mauzi.
Amezifunga timu nyingi kama Tunisia, Madagascar simba nk