ulimakafu acha ushabiki ndugu wa waziwazi, mwachieni kijana akasake fursa zingine maana kwenu mlango ushafugwa. mutual agreement ndiyo jambo pekee lilikobaki kati yenu na dogo.Mtoto mjinga huyu.
hata kumlipa key player wako Tsh. 3m kwa mwezi ni manyanyaso tosha 😀 😀Ameandika hayo manyanyaso kwa TFF!? ni manyanyaso gani....!? Tuanzie hapo kwanza Ili asaidike..
Nitaunga mkono.Na akikaa mkataba utakapoisha kama afanyavyo sahivi kuna kesi ya kutokutumikia mkataba mambo sio marahis kama anavyodhani
Hiyo ndo itamtoa mavi mapya.Na akikaa mkataba utakapoisha kama afanyavyo sahivi kuna kesi ya kutokutumikia mkataba mambo sio marahis kama anavyodhani
Hamna hiyo, tunakaba hapo hapo mpaka kieleweke.ulimakafu acha ushabiki ndugu wa waziwazi, mwachieni kijana akasake fursa zingine maana kwenu mlango ushafugwa. mutual agreement ndiyo jambo pekee lilikobaki kati yenu na dogo.
Nyie ni Club kubwa msitake Dunia yote iwatambue mlivyo.
Ndo mkataba mliosainishana.hata kumlipa key player wako Tsh. 3m kwa mwezi ni manyanyaso ndugu 😀 😀
ha ha ha, mwacheni kijana akasake fursa mbele, you never know in fugure Dunia inazunguka hii. Muda wa kucheza soka ni mfupi sana kwa mchezaji hardly miaka 10.Hamna hiyo, tunakaba hapo hapo mpaka kieleweke.
Mpaka akome kabisa kudanganya watu anakula ugali sukari.ha ha ha, mwacheni kijana akasake fursa mbele, you never know in fugure Dunia inazunguka hii. Muda wa kucheza soka ni mfupi sana kwa mchezaji hardly miaka 10.
Fanyeni uungwana mlimalize hili jambo kikubwa, kutunishiana misuli na wachezaji Dunia ya kisoka leo haiko huko hayo mambo ya kukomoana yalikuwepo miaka ya 80 enzi za kina Zamoyoni mogella na Athman Chama.
View attachment 2585280
Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
[emoji16][emoji16]Yanga ni timu kubwa kuliko huyo afande wa zenji
Kibongo bongo atatoboa, siasa zitaingilia kati na kuna watu watalazimishwa kuwa wapoleDogo anaendesha vitu kama sio proffesional ili apate sympathy ila ndio haitomsaidia.
sasa aliajiriwa na tff? ukisoma barua yale kwa tff wala hajasema anataka kuvunja mkataba upi,na timu ipiView attachment 2585280
Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
Hili sakata kumalizika lazima Fei ajishushe tu aombe radhi kwa Utoro kisha ruhusa ya kuondoka.View attachment 2585280
Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
Bro, unajidhalilisha kuandika haya bila kuyataja hayo manyanyaso anayopata toka kwa viongozi wa Yanga. Hivi tarehe ya barua haikuambii kitu chochote..!???View attachment 2585280
Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
Najisikia kichefucheku kuona huyo jamaa yupo chadema na anapigania katiba mpya na utawala wa sheria aisee tunasafari ndefu sanaBro, unajidhalilisha kuandika haya bila kuyataja hayo manyanyaso anayopata toka kwa viongozi wa Yanga. Hivi tarehe ya barua haikuambii kitu chochote..!???
Kifupi Fei toto kachemsha Big time, na waliokuwa wanampa kichwa wamemuacha peke yake
Kuna watu nimewahi kuwaambia hivi hawaniamini sasa ngoja muda utasema...Kibongo bongo atatoboa, siasa zitaingilia kati na kuna watu watalazimishwa kuwa wapole
Mkuu wewe ndiye unayeleta ushabiki, unataka Yanga watumie huruma ili wachezaji wengine wajifunze kitu gani?ulimakafu acha ushabiki ndugu wa waziwazi, mwachieni kijana akasake fursa zingine maana kwenu mlango ushafugwa. mutual agreement ndiyo jambo pekee lilikobaki kati yenu na dogo.
Nyie ni Club kubwa msitake Dunia yote iwatambue mlivyo.