Fei Toto aliomba kuvunja mkataba baada ya kuchoka manyanyaso

lakini kuna wajinga wanaomuunga mkono wengine Wana masters, au elimu haijawasaidia kitu? Wewe sikiliza baadhi ya hoja eti kisa analipwa mil4 sheria zinamruhusu kuondoka.
Mbona mpaka sasa haja ondoka.
 
We mbwiga zamani nilikuona zimo zimo hivi. Lakini kadiri muda unavyoendelea ushabiki wako unafanana kabisa na ushabiki wa mtoto asiejua chochote. Swala la Fei umelishupalia. Mwanzoni ulikomaa na lugha ya mama Fei kula chumvi na ugali. Hata hukujiuliza kikomavu kwamba mtu ana mshahara wa milioni 4. Anatembelea Harrier,bado ule chumvi na ugali?. Ushabiki wako ni upofu.
 
Una ambiwa jamaa ni platinum member [emoji3061][emoji3061]
 
Bora hata ingekuwa chumvi na ugali angalau unaweza kuwa na collabo, wale tuliotekea kwenye msoto tunajua unaweza kuchuka chumvi ukakoroga na maji ukaweka na pilipili ukala zako ugali. Sasa mama anakwambia mwanae alikuwa anakula ugali na sukari. Ugali na sukari una match vipi?
 
Yapi ya kusikitisha. We mtu wa hovyo sana. Unabeba juu juu issues na kuzitolea conclusion
Uto nyinyi kumnyanyasa mtu ndio furaha yenu. Mlimfungia ndani Kambole kama mzimu itakuwa Fei mliyemlisha ugali mkimpa na ugali mdogo pembeni kama tunda
 
Kwamba mimi ndiyo nimeandika hiyo barua?
 
Mmelisha ugali na Sukari kweli Yanga ni ya hovyooo sana!!Ugali na sukari amekuwa nyoka kwanini hamkumpa ugali na chumvi angalau sijapenda kabisa!! πŸ˜€
πŸ˜€ πŸ˜€
 
Yanga wanamfanyia utu sana sababu wamemlea na wanamjali.
Ameshakua kajazwa ujinga na wasiomtakia mema waliodhani wataidhoofisha Yanga, wakamfundisha hadi kuichukia Yanga, na akamtanguliza hadi mama yake mbele ili tu wafanikishe kujenga chuki.
Huyu si wa kuhurumiwa tena, wakamatie hapohapo...Mchezaji wa Zenji kabisa huyo.
 
Mmelisha ugali na Sukari kweli Yanga ni ya hovyooo sana!!Ugali na sukari amekuwa nyoka kwanini hamkumpa ugali na chumvi angalau sijapenda kabisa!! πŸ˜€
πŸ˜€ πŸ˜€
Wanamuwekea kaugali kadogo eti afanye kama tunda 🀣🀣
 
Ndugu wewe ni mgeni wa hii nchi? Unataka aitweje ili ujue ameitwa? Mwambieni aache kiburi kwanza.
 
Image ya Yanga inapwaya kwa kufuata sheria na taratibu za soka?

Image inapwaya kwa kumuadabisha mchezaji mtovu wa nidhamu?

Acheni ushabiki maandazi hakuna huruma kwenye sheria. Imagine ingekua Yanga ndio ka mis behave kwa dogo mngesema ivyo ivyo dogo aionee huruma Yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…