Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Sawa tuma helaFamilia ya Soka ipo bega kwa bega na Feisal wakati huu akipambana na wakoloni wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tuma helaFamilia ya Soka ipo bega kwa bega na Feisal wakati huu akipambana na wakoloni wake.
Nafikiria kwa namna tofauti. Kwanza kwanini TFF wameshindwa kumpatia haki yake ndugu Feisal ( Yawezekana kuna vipengele havipo sawa...???). 2.Kama CAS mahakamani ya usuluhishi ya mpira ndugu Feisal anaamini itampatia haki yake,kwanini asiwaombe wao wampunguzie au wamtolee gharama zote za kufungua jalada (Mfano Watz wakamchangia uko CAS alafu bado ikaonekana TFF wapo sawa kwa maamuzi yao...).Yanga
Acha nimchangie hii hele yangu niliayotaka kumpa mhindiWATANZANIA NAOMBA MNICHANGIE - FEISAL
Kupitia mtandao wa instagram mchezaji wa Yanga Feisal Salum amepost akiomba wapenda soka Nchini kumchangia ili apate fedha zakufungua kesi Mahakama ya kimichezo CAS dhidi ya klabu yake ya Yanga
Kiasi kinachohitajika ni zaiai ya milioni 55View attachment 2634537
Utopolo mlipokuwa mnatembeza bakuli ilikuwa fahari eti eee?Aliyekimbia mshahara wa mil 4 anawaomba walala hoi wa instagram wamchangie pesa za kupeleka kesi Kas
Havihusiani kabisa. Umechemka hii commentUtopolo mlipokuwa mnatembeza bakuli ilikuwa fahari eti eee?
Brain cells zako zimefika mwisho. ume analysis umeona its a right thing.Huwa ninasikia story kitaani ya kwamba MCHAWI ANAUA USIKU NA ASUBUHI NA MAPEMA NDO WA KWANZA KUFIKA MSIBANI.
HIYO NI MOJA YA TABIA ULIZO NAZO.
Danganya totoPesa inatoka kwa waliotaka kumtorosha, hilo la kuchangisha ni geresha tu.
SOMENI KUHUSU TOFAUTI YA 'uncertainty VS. uncertainty inherent'Aliyekimbia mshahara wa mil 4 anawaomba walala hoi wa instagram wamchangie pesa za kupeleka kesi CAS;
===
View attachment 2634845
Picha: Feisal Salum (Fei Toto)
Feisal Salum katika ukurasa wake rasmi wa Instagram ameandika ujumbe ufuatao:
Ndugu zangu Watanzania na familia yote ya soka kwa Bara na visiwani. Mimi kijana wenu ambaye kwa miaka yote nimekua na nidhamu nje na ndani ya uwanja na kwa dhati nimeitumikia klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania na Zanzibar Heros.
Utiifu wangu umekua shubiri ya maisha yangu ya soka, nimevumilia nimeshindwa, sitamani tena mama yangu kutukanwa. TFF imeshindwa kunisaidia kupata haki yangu ya Kuvunja mkataba na Yanga hivyo nimeamua Kwenda Mahakama ya michezo CAS.
Nahitaji Mchango wa kila Mtanzania mpenda haki na maendeleo ya wachezaji wa Kitanzania ambao wamekua kimya na woga juu ya maslahi, Heshima na Haki zao. Naomba unichangie kadiri utakavyoweza ili niweze kupata pesa ya Kulipia gharama za kufungua Jalada la kesi yangu CAS ili kupata Haki yangu ya Kuondoka Yanga kwa kuvunja mkataba.
Tafadhali naomba unichangie ili nipate haki yangu itakayoniwezesha kutumikia kipaji changu na Timu za Taifa (Tanzania na Zanzibar) katika namna tofauti kwa manufaa yangu na Taifa. Shangazi Fatma Karume na wanasheria wengine watafanya kazi Bure.
Kwa hiyo kicha cha hiyo mada ni baada ya analysis?Brain cells zako zimefika mwisho. ume analysis umeona its a right thing.
Huyu ni bumunda tu mchangieni wenye kufanana nayeMshahara anarudisha kila mwezi
Yeye achangiwe tu aende CAS na huko tutamnyoosha, safari hii tunataka aje na walimu wake amewashikilia mikono atwambie kuwa hawa ndiwo wanaonipotosha.Aliyekimbia mshahara wa mil 4 anawaomba walala hoi wa instagram wamchangie pesa za kupeleka kesi CAS;
===
View attachment 2634845
Picha: Feisal Salum (Fei Toto)
Feisal Salum katika ukurasa wake rasmi wa Instagram ameandika ujumbe ufuatao:
Ndugu zangu Watanzania na familia yote ya soka kwa Bara na visiwani. Mimi kijana wenu ambaye kwa miaka yote nimekua na nidhamu nje na ndani ya uwanja na kwa dhati nimeitumikia klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania na Zanzibar Heros.
Utiifu wangu umekua shubiri ya maisha yangu ya soka, nimevumilia nimeshindwa, sitamani tena mama yangu kutukanwa. TFF imeshindwa kunisaidia kupata haki yangu ya Kuvunja mkataba na Yanga hivyo nimeamua Kwenda Mahakama ya michezo CAS.
Nahitaji Mchango wa kila Mtanzania mpenda haki na maendeleo ya wachezaji wa Kitanzania ambao wamekua kimya na woga juu ya maslahi, Heshima na Haki zao. Naomba unichangie kadiri utakavyoweza ili niweze kupata pesa ya Kulipia gharama za kufungua Jalada la kesi yangu CAS ili kupata Haki yangu ya Kuondoka Yanga kwa kuvunja mkataba.
Tafadhali naomba unichangie ili nipate haki yangu itakayoniwezesha kutumikia kipaji changu na Timu za Taifa (Tanzania na Zanzibar) katika namna tofauti kwa manufaa yangu na Taifa. Shangazi Fatma Karume na wanasheria wengine watafanya kazi Bure.
Labda ugari sukari umeathiri ubongo mkuuMtoto mjinga sana.
Sijui amekumbwa na nini!