King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huyu AMIJEI ikifika tu karibu na MECHI ya YANGA anaanza DRAMA zake za kututoa focus kwenye mechi na wachambuzi maandazi kuanza kumdiscuss yeye kwenye media.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga alikuwa na jopo la mawakili ila gharama ya CAS hazidi 50m.Kila upande unaoshiriki case unatakiwa kutoa $20K
Na kwakua Yanga wao hawana maslahi na hii case hivyo itamlazimu Feisali kuwalipia Yanga na kujilipia yeye
Mkurugenzi wa sheria wa Yanga Simon Patrick alisema walitoa zaidi ya milioni 98 hiyo kwa ajili ya kufungua kesi tu.
Na alisema wenzetu (Simba) walikuwa wanawabeza wakijua hawawezi kumudu hiyo gharama.
Gharama haikwenda kulipa jopo la mawakiliYanga alikuwa na jopo la mawakili ila gharama ya CAS hazidi 50m.
Afuate utaratibu wa kuondoka, Kama alivyokuja [emoji169][emoji172]🟢🟡Yanini ung'ang'anie mke ambae amedai talaka mwenyewe muacheni aende au Nia Yenu mumpoteze kwenye njia.
Lkn hela bado anayo 110m,still inabaki 12m.Gharama haikwenda kulipa jopo la mawakili
Gharama zilizokuwa zinazungumziwa zilikuwa zimelenga kufungua jalada CAS
Halafu tukaambiwa Hana shida ya mshahara. Anaweza kuishi bila pesa ya Yanga. Sasa bakuli la nini?Huyo hajitambui. Kwani halipwi mshahara mpaka aanze kupitisha bakuli.
Hana endorsements?
NCCF ndio nini kilaza wewe?Afate taratibu, alisaini mkataba, kuvunja Kuna masharti, mi mwenyewe Kuna kazi nilivunja mkataba naogopa hata kudai sent nccf lazima utaambiwa uende kazini kwako kwa zamani upewe barua na hawawezi kunipa , malizia mkataba wako kwanza, Najua nimeharibu mwenyewe, najua nikienda timbwili lake na hivi hawakutaka niondoke, [emoji17]
Anajua ni betting hataki kupoteza hela zakeHuu ni utapeli. Hana mshahara? Hana endorsements?
Mbona rais anasema anakuingizia pesa wewe hutaki unarudisha unamwambia umetosheka Sasa mbona waja kuomba huku Tena? Okay sawa achana na hiyo weka benk A/C tukuchangie chap chap
Albadiri haifanyi kazi kijinga kijinga namna hiyo..feisal Salim abdallah.
Wewe ni mpemba nenda kawasomee albadil au uwaroge vijana machachari kutoka afrika. ( YOUNG AFRICAN ) [emoji2][emoji2] umalizane nao kigai gai. [emoji51][emoji51]
Albadiri haifanyi kazi kijinga kijinga namna hiyo..
Una akili sana bwana Scars na mm nilikuwa nataka niandike hivyoo..kweli wana Simba ni vichwa..Mimi nachokielewa hapo ni kwamba inatengenezwa backup ili siku ikifika muda wa kuanza kuulizana pesa ya kwenda CAS umeipata wapi tayari awe na hoja kupitia post hii.
Ila naamini kabisa kuwa Feisali hategemei pesa za michango ili aende CAS
Wambane kwani wanamdai?Kachemka kwani ile 100m tayari Yanga wanayo risiti ya malipo na hapo ndipo watakapo mbana.
Alitaka kutengeneza igizo ila scripts kachemka.
Haya mambo banah wenye nayo wana mioyo ya usamehevu Sana vinginevo
Huwa ninasikia story kitaani ya kwamba MCHAWI ANAUA USIKU NA ASUBUHI NA MAPEMA NDO WA KWANZA KUFIKA MSIBANI.instead support ndugu zako. na watu wenye uitaji wa basic things.