Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Zimeliwa urojo Zanziberi!Hivi zile milion 160 sijui alizowapa Yanga kuvunja mkataba nao wakamrudishia zilienda wapi? Si atukie hizo hizo tena zinazidi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimeliwa urojo Zanziberi!Hivi zile milion 160 sijui alizowapa Yanga kuvunja mkataba nao wakamrudishia zilienda wapi? Si atukie hizo hizo tena zinazidi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utopolo acheni unyama....WATANZANIA NAOMBA MNICHANGIE - FEISAL
Kupitia mtandao wa instagram mchezaji wa Yanga Feisal Salum amepost akiomba wapenda soka Nchini kumchangia ili apate fedha zakufungua kesi Mahakama ya kimichezo CAS dhidi ya klabu yake ya Yanga
Kiasi kinachohitajika ni zaiai ya milioni 55View attachment 2634537
😀😀😀 Mbumbumbu ni rahisi sana kudanganywa kwasababu wangekuwa na akili wasingemshangilia Manzoki kuja kusimamia uchaguziUmeandika nini? Wacha hili lifike mwisho ili tuone kati ya viongozi wa Yanga na Feisal ni upande upi upo sahihi.
Viongozi wa timu ni wa hovyo sana lakini hao hao wa ovyo imeifanya timu icheze michuano ya CAF confederation cup msimu huu, na ubingwa wa ligi tayari mkononi misimu miwili mfululizo na Azam Federation wanaitetea, je viongozi wenu wa maana wamewafanyia nini? Kuahidi kuifunga Yanga? Au kumleta Manzoki kuwa ajenda ya kupsta kura?
Yanga wanachokitaka utaratibu ufuatwe ikiwa ni mchezaji kufika klabuni ili waongee kuhusu kuvunja mkataba je huyo Feisal wenu alifanya? Mkataba ulisainiwa na pande mbili, hivyo hata kuvunja lazima pande mbili zikae mezani zifikiane kuuvunja mkataba. Mbona ishu ni nyepesi tu ila kwasababu ya ujeuri wa huyo dogo na maneno mnayomjaza ndio inaifanya ishu iwe kubwa.
Endeleeni kujipoza na mikataba ila mkumbuke Yanga inscheza fainali ya michuano ya CAF
Kivumbi Na JashoDuh ...
Kazi ipo.
Utopolo acheni unyama....
Sasa yanga inamng'ang'nia nini kama hataki kucheza? Wavunje tu mkataba kijana wa watu akacheze kwingine
Nani alikuambia chenye gharama ni bundle?Kuna gharama zipi wakati zinafanyika online gharama Bundle.
Ila upo vizuri yaani mpaka maamuzi ya CAS ushayajua yatakuwaje ,daaah umetisha kaka.
Ila yakiwa kinyume chake hamchelewi kusema Yanga kaiweka CAS mfukoni.
akili hamna huyu bwa mdogo...WATANZANIA NAOMBA MNICHANGIE - FEISAL
Kupitia mtandao wa instagram mchezaji wa Yanga Feisal Salum amepost akiomba wapenda soka Nchini kumchangia ili apate fedha zakufungua kesi Mahakama ya kimichezo CAS dhidi ya klabu yake ya Yanga
Kiasi kinachohitajika ni zaiai ya milioni 55View attachment 2634537
Yanga wanaanzaje kumsamehe mchezaji ambaye haoneshi ushirikiano, na badala yake amechagua kuwa kiburi na mkaidi!!Yanga ni Taasisi ila wangeachana na hii ishu ya Faisal wamwambie aendelee na maisha yake amekosea ila sio kipindi cha kukomoana dogo alikosea na hajui kuwa kakosea waachane nae kuliko hizo mambo zinakokwenda...
Shangaz ndo alikua anazitumiaAkitokea FIFA wamemlima faini tutaendeleza mchango. Zile milioni 100 alizoweka kwenye akaunt ya Yanga baadae YANGA walimrudishia kashazimaliza?
nani anataka mshahara wa kimtego?. sawasawa tu anavyourudisha.Mbona rais anasema anakuingizia pesa wewe hutaki unarudisha unamwambia umetosheka Sasa mbona waja kuomba huku Tena? Okay sawa achana na hiyo weka benk A/C tukuchangie chap chap
Hiyo Hela ya kumchangia Haina kazi labda.[emoji15]Baada ya Club ya Yanga kumuandikia barua ya wito Feisal Salum iliyoambatana na mashtaka dhidi yake mchezaji huyo amejitokeza, na kueleza wazi kuwa atapeleka kesi yake CAS kwani amenyimwa haki yake ya kuvunja mkataba na TFF!
Ameomba achangiwe na wote wenye mapenzi mema ili aweze kupata fedha kwa ajili ya kufungua kesi, mawakili wake watafanya kazi bure!
Kwa yeyote mwenye chochote anaweza kumsaidia kupitia Lipa namba 5406394 Feisal Salum.
Haya sasa huu mtanange nani mshindi huko CAS…!? Yetu macho cha msingi tumpe dogo mpunga!
Million 8 kwa mwezi.Kwa mshahara upi aliokuwa anaupata Yanga?
Acha aende CAS anapoona Pana haki.Yanga ni Taasisi ila wangeachana na hii ishu ya Faisal wamwambie aendelee na maisha yake amekosea ila sio kipindi cha kukomoana dogo alikosea na hajui kuwa kakosea waachane nae kuliko hizo mambo zinakokwenda...