Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Naona ni kama mambo ya Morrison tuu haya baada ya muda unaona yupo Yanga tena...nishafatilia hizo mambo toka Hamis Gaga mpaka leo huyu najua watakakoishia...Je ni wangapi wataitaji huruma kama iyo ikiwa utaratibu haufuatwi?