Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara anarudisha kila mweziHuu ni utapeli. Hana mshahara? Hana endorsements?
Mimi nachokielewa hapo ni kwamba inatengenezwa backup ili siku ikifika muda wa kuanza kuulizana pesa ya kwenda CAS umeipata wapi tayari awe na hoja kupitia post hii.Scars njoo utoe michango kwa kijana wako
Hata mimi nimewaza namna hiyo mkuu!Mimi nachokielewa hapo ni kwamba inatengenezwa backup ili siku ikifika muda wa kuanza kuulizana pesa ya kwenda CAS umeipata wapi tayari awe na hoja kupitia post hii.
Ila naamini kabisa kuwa Feisali hategemei pesa za michango ili aende CAS
Tuma hapa screen shot ya malipoNipe bank account number sasa hivi nifanye swift
Huyu si ana m100?Tuma hapa screen shot ya malipoView attachment 2634546
Sawa tuma mchangoMimi nachokielewa hapo ni kwamba inatengenezwa backup ili siku ikifika muda wa kuanza kuulizana pesa ya kwenda CAS umeipata wapi tayari awe na hoja kupitia post hii.
Ila naamini kabisa kuwa Feisali hategemei pesa za michango ili aende CAS
Nikawaida yake na genge lake kutengeneza sinema, mpaka Sasa tupo finalSasa huyu anataka kutuchanganya wana Yanga! Sisi tuko busy tunaongeza makombe yeye tena anataka kwenda mahakamani? Si asubiri tuchukue ubingwa kwanza wa Confederation cup? Wee Fey,tuache kwanza ‘tafazali’!! Wenye roho ngumu watasema “hata hapa tulipofika tumefika bila wewe”
😀😀
Yeah anakwepa, maana mwanzo alipoenda kuvunja mkataba wengi walihoji amepata wapi hela kama si mkono wa mtu...... saizi amebadili gia anganiMimi nachokielewa hapo ni kwamba inatengenezwa backup ili siku ikifika muda wa kuanza kuulizana pesa ya kwenda CAS umeipata wapi tayari awe na hoja kupitia post hii.
Ila naamini kabisa kuwa Feisali hategemei pesa za michango ili aende CAS
😀😀Huu ni utapeli. Hana mshahara? Hana endorsements?