The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
Je ni wangapi wataitaji huruma kama iyo ikiwa utaratibu haufuatwi?Yanga ni Taasisi ila wangeachana na hii ishu ya Faisal wamwambie aendelee na maisha yake amekosea ila sio kipindi cha kukomoana dogo alikosea na hajui kuwa kakosea waachane nae kuliko hizo mambo zinakokwenda...