Fei Toto kukata rufaa rasmi CAS aomba mchango wa pesa kwa Watanzania

Fei Toto kukata rufaa rasmi CAS aomba mchango wa pesa kwa Watanzania

 
Dogo anaomba achangiwe aende kas

My take zile milion 100 zimeisha?

Je sisi wenye mshahara chini ya milion 4 tutamchangia vipi? Maana aliyekimbia mshahara kuzidi wetu!!;

Je Fatima Karume &co hawana pesa za kumkopesha ashinde kesi aje awalipe?

Duh Huyu dogo anatia huruma Sana

Kwahiyo tumtigopesa[emoji1][emoji1][emoji1]
Anataka eti kuipoteza Yanga isishughulike na mchezo wa fainali ! Atajijua mwenyewe sasa hivi wala Yanga haimuhitaji tena.
 
WATANZANIA NAOMBA MNICHANGIE - FEISAL

Kupitia mtandao wa instagram mchezaji wa Yanga Feisal Salum amepost akiomba wapenda soka Nchini kumchangia ili apate fedha zakufungua kesi Mahakama ya kimichezo CAS dhidi ya klabu yake ya Yanga

Kiasi kinachohitajika ni zaiai ya milioni 55View attachment 2634537
Tatizo movie yake kwenye scripts mwanzo alichemka, kailipa Yanga 100m,kaenda Dubai kwa trainer anaye watrain wachezaji wa ulaya kakaa zaidi ya wiki, kashimamisha wanasheria wakubwa watatu leo anaomba kuchangiwa.

Haya ndugu zetu wa makolo FC wale wanasheria wa JF muda wenu kuonesha support kwa Feisal,kwani kwenye ,zile tread zenu zile mlikuwa mnaongoza kuchambua vipengele haya kijana anatembeza bakuli mjiunge kwenye maigizo yake ya kutafuta sympathy.
 
Yanga ni Taasisi ila wangeachana na hii ishu ya Faisal wamwambie aendelee na maisha yake amekosea ila sio kipindi cha kukomoana dogo alikosea na hajui kuwa kakosea waachane nae kuliko hizo mambo zinakokwenda...
Kwanini waachane nayo? Yeye ni nani hadi akiuke matakwa y mkataba wake? Pacta sunta servanda
 
Mimi nachokielewa hapo ni kwamba inatengenezwa backup ili siku ikifika muda wa kuanza kuulizana pesa ya kwenda CAS umeipata wapi tayari awe na hoja kupitia post hii.

Ila naamini kabisa kuwa Feisali hategemei pesa za michango ili aende CAS
Kachemka kwani ile 100m tayari Yanga wanayo risiti ya malipo na hapo ndipo watakapo mbana.

Alitaka kutengeneza igizo ila scripts kachemka.
 
Mimi nachokielewa hapo ni kwamba inatengenezwa backup ili siku ikifika muda wa kuanza kuulizana pesa ya kwenda CAS umeipata wapi tayari awe na hoja kupitia post hii.

Ila naamini kabisa kuwa Feisali hategemei pesa za michango ili aende CAS
Alipokuwa analipwa mshahara wa milioni nne kwa mwezi alikuwa anakula ugali na sukari. Saivi mshahara anatumiwa anaukataa, je maisha yake anaishi vipi kama hakuna watu nyuma yake?

Na kwenda CAS ni haki yake hakuna mtu anaweza kumuhoji kapataje ela za kwendea huko kwasababu hata sasa hakuna mtu aliyefatilia kujua anayekula ugali na sukari anapataje milioni 112 ku deposit kwenye account ya Yanga.
Mtu anayeishi kwa ugali na sukari kipindi analipwa mshahara wa milioni nne je leo hii anaikataa milioni nne atakuwa na hali gani au anaishije. Ila yeye mwenyewe tu kajistukia
 
Alipokuwa analipwa mshahara wa milioni nne kwa mwezi alikuwa anakula ugali na sukari. Saivi mshahara anatumiwa anaukataa, je maisha yake anaishi vipi kama hakuna watu nyuma yake?

Na kwenda CAS ni haki yake hakuna mtu anaweza kumuhoji kapataje ela za kwendea huko kwasababu hata sasa hakuna mtu aliyefatilia kujua anayekula ugali na sukari anapataje milioni 300 ku deposit kwenye account ya Yanga.
Mtu anayeishi kwa ugali na sukari kipindi analipwa mshahara wa milioni nne je leo hii anaikataa milioni nne atakuwa na hali gani au anaishije. Ila yeye mwenyewe tu kajistukia
Waliomtaka wameona ni gunia la misumari wamerudi nyuma kidogo
 
Ubishi na ushindani ..hauna mwisho mwema...

Angejishusha pengine wangemsamehe bure.. .. ..shida ujuaji wakati unapelekwa Chaka!
 
Kachemka kwani ile 100m tayari Yanga wanayo risiti ya malipo na hapo ndipo watakapo mbana.

Alitaka kutengeneza igizo ila scripts kachemka.
Nayeye atawaonesha risiti ya alipoenda kuikopea ile hela
 
Back
Top Bottom