Fei Toto kukata rufaa rasmi CAS aomba mchango wa pesa kwa Watanzania

Nafikiria kwa namna tofauti. Kwanza kwanini TFF wameshindwa kumpatia haki yake ndugu Feisal ( Yawezekana kuna vipengele havipo sawa...???). 2.Kama CAS mahakamani ya usuluhishi ya mpira ndugu Feisal anaamini itampatia haki yake,kwanini asiwaombe wao wampunguzie au wamtolee gharama zote za kufungua jalada (Mfano Watz wakamchangia uko CAS alafu bado ikaonekana TFF wapo sawa kwa maamuzi yao...).
 
Acha nimchangie hii hele yangu niliayotaka kumpa mhindi
 
Inawezekana swali la ulitoa wapi pesa wanaomwezesha hawataki aulizwe.🙂

Sasa Yanga wangesema wanataka Tsh ngapi watu wangepima wachange kwa ajili ya kesi au wailipe Yanga.
 
"KUTOKA KWA SHABIKI"

Sitachanga ila siwapangii watu pa kupeleka pesa zao. Mtu katafuta pesa yake kwa shida kwanini nimpangie? Achange tu. Kila mtu apambane na hali yake. Kwani Fei angebaki Yanga kwa adabu na nidhamu kingeongezeka nini kwenye akaunti yangu mpaka nifanye kampeni asichangiwe? Tukutane fainali, Mpira burudani.
 
SOMENI KUHUSU TOFAUTI YA 'uncertainty VS. uncertainty inherent'
 
Yeye achangiwe tu aende CAS na huko tutamnyoosha, safari hii tunataka aje na walimu wake amewashikilia mikono atwambie kuwa hawa ndiwo wanaonipotosha.
 
Maaskini Makolo

Maaskini Fei Toto

Mbona mnahangaika sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…