Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamati ishatoa uamuzi wake tiyali, iyo trh 9 ni kutoa ufafanuzi tu wa kile kilichonekana mpaka kufikia maamuzi ivyo usijidanganye kuwa kuna maamuzi mengine tofauti, kama umeielewa statment imesema Feisal ni mchezaji halali wa yanga kwa mujibu wa mkataba wake'' kama kungekuwa na walakini kwenye mkataba statment iyo isingehalalisha mkataba wake na yanga, Ama statment ingehalalisha uvunjwaji wa mkataba husika, Kiufupi mjadala umefungwaSubiri trh9 ndiyo uongee hayo ya kushindwa kesi
ni sawa kuna watu wanamtegemea ndio afanye uhuni kuvunja mkataba?Weka Aya mkuu ,mbona upo speed sana?
Fei ana wazazi na ndugu zake wanamtegemea.
umwjawa na ushabiki wa kitotoUhuni gani? Kuvunja mkataba ni uhuni?
Utoto upi? Unafikiri nje ya box mkuu.umwjawa na ushabiki wa kitoto
Ayo yote mngemshauri wakati anasaini mkataba wake kwa sasa hivi aitasaidia chochote aidha autumikie mkataba wake mpaka mwisho ama timu inayomtaka iende mezani iambiwe dau lake aondoke kiroho safi na sio kuondoka kihuni kama anavyotaka yeye na wanaomshawishiUtoto upi? Unafikiri nje ya box mkuu.
Maisha magumu haya unayoyaona Tz ni kwa sababu ya kazi zenye maslahi duni.
Nikiwa kama msomi wa nchi hii siwezi kushabikia ugomvi wa mikataba ya kipuuzi kama huu wa Feisal (never)
Mnaacha kuyazungumzia yanayowaumiza watu mnakaa kujadili nje ya box? Acheni utoto huo. Kazi ni haki na maslahi ni haki. Sio kwa wanamichezo pekee bali ni kwa wafanyakazi wote . Tuwe na mikataba yenye Tija.
OVER
Nimekuwa mfuatiliaji na member wa JF kwa muda mrefu lakini moderator halitendei Hali ya kuruhusu mpaka vichaa waliogubikwa na upenzi tu bila kutumia akili.Wanaropoka tu.Huko kwenye siasa ndiyo mbaya zaidi.Mello rudisha heshima ya JamiiForum. ItUhuni gani? Kuvunja mkataba ni uhuni?
Ina maana hujaelewa andiko?Uhuni gani? Kuvunja mkataba ni uhuni?
Umeongea kila kitu. Point zote umemwaga hapa. Lakini yakija mapopoma ya mo hayatataka kabisa kuusikia huu ukweli. Ngoja tuyasubiriKwa akili tu ya kawaida hii kesi ya Feisal ilikuwa wazi sana ata kwa mtu asiyejua sheria na miongozo ya Fifa kwenye mikataba ya wachezaji angeweza kuiamua bila shida.
Ni kichekesho sana unaingia mkataba kulipwa shingi 100 na unasaini mkataba alafu baada ya muda unamuona mwenzako analipwa shingi 300 unaruka kuvunja mkataba ukitaka na wewe ulipwe kama mwenzako[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pasipo kufata utaratibu wowote ule ni ajabu sana, Mwajiri wako uwezi kumlazimisha akuongeze malipo kienyeji wakati mkataba uliosaini unakubana, Apo unatakiwa ujilaumu wewe na yule anayekusimamia kipindi mnakubaliana masuala ya malipo, Yule anaelipwa shingi 300 alisimamiwa vyema kwenye maslai yake ndio maana analipwa iyo 300 tofauti na wewe.
Kilichotakiwa ni kuomba mwajiri kama anaweza mkae kuuboresha mkataba husika na sio kumlazimisha kufanya ivyo kwakuwa yeye ndiye aliyeshika mpini na wewe umeshika makali, Sasa kijana feisal aliingia mkenge akakutana na genge la wahuni wanataka wamdake kwa gharama ndogo na yeye bila kufikiria akaingia chaka, Kamati imeamua vyema kwa maana iyo Yanga ndiye atakaeamua imuuze ama laah.
Timu zinazomtaka ziende mezani kwa yanga watajiwe dau lake biashara ifanyike na sio kufanya mambo ya kihuni kihuni kama ayo, Ingekuwa ivyo mpira usingechezeka ingekuwa kila mchezaji anavunja mkataba anavyoweza anasepa anakokujua
Walikaa mezani wakakubaliana alipe hiyo Hela?Si aliwalipa maboss wake kiasi kinachotajwa ktk kipengele cha kuvunja mkataba wakakirudisha?
Angekuwa anaomba kuondoka bila malipo mngemsumbua sana lkn ametekeleza masharti ya mkataba wake.
Muacheni aondoke hana expectations yoyote na taasisi yenu.
Mipasho ya zenj ....Azam walidhani wakifanya hivyo ile mechi yao tungeyumba,tukawapasua,tukaenda Mtibwa tukashinda....na hizo siku zetu za mechi walikuwa wanamdanganya dogo apost mipasho.
Unafikiri Kuna maamuzi mengine?Subiri trh9 ndiyo uongee hayo ya kushindwa kesi
Kuwa mshabiki wa simba ndio kuuza akili?Uhuni gani? Kuvunja mkataba ni uhuni?
Wewe vipi kwani Alhaj Ismail Aden Rage hukumsikia kuhusiana na washabiki wa SeMBe?Sasa kama alifata matakwa ya kimkataba imekuwaje ameshindwa kesi?
Mimi naona shida ipo kwenye shule zaidi.FEI Bado hajapevuka kiakili!!!