Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichokifanya fifa walishapiga marufuku, hivi ww kwa mfano yanga waende wamshwishi phiri alafu wampe pesa za kuvunjia mkataba alafu phiri asifuate utaratib unaona tu kaweka hizo pesa kwenye account ya simba!!Uhuni gani? Kuvunja mkataba ni uhuni?
Yaani asipo omba radhi kiwango kitaharibika [emoji28][emoji28]Dogo kazingua kinoma, hapo inatakiwa awaombe tu msamaha Yanga yaishe
Vinginevyo ataharibu kiwango chake
Acha ujinga wewe Azam ipi iliwapa yanga sure boy bure? Yanga walipeleka ofa ya kumsajili sure boy akiwa amebakiza mkataba wa miezi 6 Azam wakakataa mpaka yanga ikasubili amalize mkataba wake imchukue bure baada ya kutajiwa bei kubwa kuwakomoa, Sasa mnalia lia nini? Kama wanazo pesa si waende wakatijiwe dau lake mbona wanajificha ficha kufanya mambo kihuni kihuniUtopolo wana roho mbaya sana mbona kwenye Dili la singano na yondani yaliisha kimya kimya tu licha ya yanga kufanya umafia AZAM wamewapa sure boy bure ila nyinyi kumuachia feisal imekuwa nongwa kelele kila kona
Eti genge la wahuni🤣Kwa akili tu ya kawaida hii kesi ya Feisal ilikuwa wazi sana ata kwa mtu asiyejua sheria na miongozo ya Fifa kwenye mikataba ya wachezaji angeweza kuiamua bila shida.
Ni kichekesho sana unaingia mkataba kulipwa shingi 100 na unasaini mkataba alafu baada ya muda unamuona mwenzako analipwa shingi 300 unaruka kuvunja mkataba ukitaka na wewe ulipwe kama mwenzako🤣🤣🤣 pasipo kufata utaratibu wowote ule ni ajabu sana, Mwajiri wako uwezi kumlazimisha akuongeze malipo kienyeji wakati mkataba uliosaini unakubana, Apo unatakiwa ujilaumu wewe na yule anayekusimamia kipindi mnakubaliana masuala ya malipo, Yule anaelipwa shingi 300 alisimamiwa vyema kwenye maslai yake ndio maana analipwa iyo 300 tofauti na wewe.
Kilichotakiwa ni kuomba mwajiri kama anaweza mkae kuuboresha mkataba husika na sio kumlazimisha kufanya ivyo kwakuwa yeye ndiye aliyeshika mpini na wewe umeshika makali, Sasa kijana feisal aliingia mkenge akakutana na genge la wahuni wanataka wamdake kwa gharama ndogo na yeye bila kufikiria akaingia chaka, Kamati imeamua vyema kwa maana iyo Yanga ndiye atakaeamua imuuze ama laah.
Timu zinazomtaka ziende mezani kwa yanga watajiwe dau lake biashara ifanyike na sio kufanya mambo ya kihuni kihuni kama ayo, Ingekuwa ivyo mpira usingechezeka ingekuwa kila mchezaji anavunja mkataba anavyoweza anasepa anakokujua
Haijui kwamba ,Pacta Sunda servanda.Kama mambo yangekuwa mepesi kama alivyodhani Feisal basi mikataba isingekuwa na maana.Kwa akili tu ya kawaida hii kesi ya Feisal ilikuwa wazi sana ata kwa mtu asiyejua sheria na miongozo ya Fifa kwenye mikataba ya wachezaji angeweza kuiamua bila shida.
Ni kichekesho sana unaingia mkataba kulipwa shingi 100 na unasaini mkataba alafu baada ya muda unamuona mwenzako analipwa shingi 300 unaruka kuvunja mkataba ukitaka na wewe ulipwe kama mwenzako[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pasipo kufata utaratibu wowote ule ni ajabu sana, Mwajiri wako uwezi kumlazimisha akuongeze malipo kienyeji wakati mkataba uliosaini unakubana, Apo unatakiwa ujilaumu wewe na yule anayekusimamia kipindi mnakubaliana masuala ya malipo, Yule anaelipwa shingi 300 alisimamiwa vyema kwenye maslai yake ndio maana analipwa iyo 300 tofauti na wewe.
Kilichotakiwa ni kuomba mwajiri kama anaweza mkae kuuboresha mkataba husika na sio kumlazimisha kufanya ivyo kwakuwa yeye ndiye aliyeshika mpini na wewe umeshika makali, Sasa kijana feisal aliingia mkenge akakutana na genge la wahuni wanataka wamdake kwa gharama ndogo na yeye bila kufikiria akaingia chaka, Kamati imeamua vyema kwa maana iyo Yanga ndiye atakaeamua imuuze ama laah.
Timu zinazomtaka ziende mezani kwa yanga watajiwe dau lake biashara ifanyike na sio kufanya mambo ya kihuni kihuni kama ayo, Ingekuwa ivyo mpira usingechezeka ingekuwa kila mchezaji anavunja mkataba anavyoweza anasepa anakokujua
Feisal angeweza enda timu nyingine na Bado hata sasa anaweza ends timu nyingine,ila kwenda kihuni na kuwadharirisha,Yanga ndo hawataki,na sidhani kama Yanga Kwa sasa wanamhitaji tena FeisalUtopolo wana roho mbaya sana mbona kwenye Dili la singano na yondani yaliisha kimya kimya tu licha ya yanga kufanya umafia AZAM wamewapa sure boy bure ila nyinyi kumuachia feisal imekuwa nongwa kelele kila kona
Magenge ya wahuni yaliyompotosha feisal ni mengi ndugu yangu, kuanzia wachambuzi uchwala, Wahandishi wa habari makanjanja, Timu zilizojificha mgongoni kwa feisal zilizompa pesa mil 112 akalipe ili avunje mkataba wake kienyeji, Na mawakili wa mchongo ambao waliona kabisa awezi kutoboa kwa kesi ya namna ile lakini wakaendelea kumpa matumaini kuwa yuko sahihi ili wazipige pesa zake, leo hii wanakuja na hadithi eti feisal hana mahaba tena na yanga kwaiyo kamati imekosea kumrudisha yanga!! Kwani kamati inaangalia mahaba ya mchezaji au inaangalia sheria na mkataba wake?Eti genge la wahuni🤣
Dogo atapotea hivi hivi kwa sababu tu ya tamaa na ukosefu wa elimu. Anatakiwa afuate tu utaratibu. Hana namma nyingine.Uyu Feisal madalali wamesha mvuruga, anahitaji ushauri nasaha Ili akae sawa.
Wakifanya utani anaweza asiweze kufikia kiwango alicho kifikia Sasa.
Majamaa yaliyo mvuruga yata mfariji sikumbili tatu na kusepa.
Wazazi na Ndugu wanatakiwa wawe makini sana na kijana wao amesha lishwa maneno mengi sana.
Maneno ni sumu kubwa, ajizuie ku post chochote mitandaoni anaweza jikuta anaharibu mustakbali wake katika soka.
Sureboy mkataba na Azam ulikwisha wala Yanga hawakupewa bure, Fei na timu inayomuhitaji wafuate utaratibuUtopolo wana roho mbaya sana mbona kwenye Dili la singano na yondani yaliisha kimya kimya tu licha ya yanga kufanya umafia AZAM wamewapa sure boy bure ila nyinyi kumuachia feisal imekuwa nongwa kelele kila kona
wachezaji wa yanga wanamuona fei Toto ni hamnazoYANGA walichomfanyia FEI TOTO kina athari kubwa sana ndani ya kambi ya YANGA
Kwani Yanga wamemfanyia nini Feitoto?YANGA walichomfanyia FEI TOTO kina athari kubwa sana ndani ya kambi ya YANGA
Ana kichwa kama parachichi, yule ni mgonjwa wa akiliKuna mchambuzi anaitwa jemedari saidi aisee huyu jamaa ni hasara kwa familia yake