Feisal achana na magenge ya wahuni utapotezwa kwenye ramani ya soka, rudi njia kuu

Nimeanza kukusoma tu mpaka pale unapodai hata mtu asiyejua sheria anaweza kuiamua hii kesi, nikajua kumbe huwa nawaelekeza mapoyoyo wasiojua chochote, nikaishia hapo.
 
😂😂😂😂
 
Nimeanza kukusoma tu mpaka pale unapodai hata mtu asiyejua sheria anaweza kuiamua hii kesi, nikajua kumbe huwa nawaelekeza mapoyoyo wasiojua chochote, nikaishia hapo.
Huwezi kuendelea maana huu uzi ni mchungu kwa makolo
 
umekula kande mbichi,pole.
 
Si aliwalipa maboss wake kiasi kinachotajwa ktk kipengele cha kuvunja mkataba wakakirudisha?

Angekuwa anaomba kuondoka bila malipo mngemsumbua sana lkn ametekeleza masharti ya mkataba wake.

Muacheni aondoke hana expectations yoyote na taasisi yenu.
umekula maharage ya wapi wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…