Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Kwa hiyo Azam haina mashabiki wa kufurahia soka lake huku na yy akitengeneza maisha yake...Hapo ndo mnapo waharibu wachezaji mkuu ..asicheze ILI kufurahisha watu wakati mpira ni mchezo wa furaha
Tatizo hapa hakuna anayemwonea dongo Feisal. Shida ni namna anavyotoka na utaratibu alioutumia sio sahihi. Kumtafuta good pasture ni halali yake. Na wabongo tunatereza hapo tunapenda sana shortcuts. Ukiwa mtu wa kufuata taratibu utaheshimika vinginevyo unadharaurika na kuonekana wa hovyo tu.Fact
Dunduka fc aka kolo ulivyokosa akili eti wanamdhurumu.kwani ule mkataba ulimsainisha wewe?Siku ukichomoa mwiko akili zako zitakuwa ziko Sawa!kulikuwa,kulikuwa..hapa ni maslahi ya mtu ,unaandika kama vile wewe unamlipa mil 40, hata wewe huwezi kukubali kudhulumiwa kifala,mwache apate ujira wake anaohisi anastahili,wewe mbelemwikonyumamwiko endelea na zogo
Kumbe na ww ni kilazaNitaandika uzi huu kwa lugha nyepesi sana
Ni hivi tabia zilizo onyeshwa na Feisal kwenye sakata la mkataba wake na Yanga ndio limeshusha zaidi heshima ya wachezaji wazawa kuliko kuongeza kama baadhi ya watu wanavyo jaribu kuaminisha.
Imeonekana kumbe wachezaji wazawa ni watu wenye mambo ya kiswahili swahili wasio heshimu mikataba na wanao weza kurubunika kirahisi.
Kulikuwa na uharaka GANI wa kuondoka kambini wakati timu ikiwa inakabiliwa na mechi ngumu na muhimu huku wewe ukiwa ni mmoja Kati ya wachezaji walio kuwa kwenye mipango ya kocha? Too much un-proffessional.
SAWA unataka kuondoka, Kulikuwa na umuhimu GANI wa kulazimisha kuondoka katika kipindi cha dirisha dogo. Kwanini usinge subiri mpaka mwisho wa msimu kipindi ambacho timu itakuwa na muda wa kutosha kutafuta mbadala wako.
Hao ndo mganga wako kakwambia by mwishoni mwa msimu nyota y'ako itakuwa imeshuka so Azam hawatokua Wana kuhitaji tena?
Tutarajie kuona Yanga ikisajili wachezaji wengi wa kigeni ambao wengi wao ni professional wenye kuheshimu mikataba yao, wasio madhabiki wa Simba na Yanga na wenye ndoto za kucheza soka nje ya Afrika...
Signature: Feisal sio mchezaji wa kutisha kihivyo isipo kuwa ni mchezaji ambae alikuwa na nyota ya kupendwa na mashabiki wa Yanga.
No Feisal no problem
Fei anadhulumiwa kivip?Siku ukichomoa mwiko akili zako zitakuwa ziko Sawa!kulikuwa,kulikuwa..hapa ni maslahi ya mtu ,unaandika kama vile wewe unamlipa mil 40, hata wewe huwezi kukubali kudhulumiwa kifala,mwache apate ujira wake anaohisi anastahili,wewe mbelemwikonyumamwiko endelea na zogo
sio sahihi kwa misingi ya ubongo wako mdogo ama mkataba waliosaini~toa mwiko uwe na akiliTatizo hapa hakuna anayemwonea dongo Feisal. Shida ni namna anavyotoka na utaratibu alioutumia sio sahihi. Kumtafuta good pasture ni halali yake. Na wabongo tunatereza hapo tunapenda sana shortcuts. Ukiwa mtu wa kufuata taratibu utaheshimika vinginevyo unadharaurika na kuonekana wa hovyo tu.
haya kaacha kazi kwa mujib wa mkataba,sasa wewe mbelemwikonyumamwiko unajichokonoa nini?Fei anadhulumiwa kivip?
Analipwa kulingana na mkataba. Huwez kulipwa kulingana na kiwango chako uwanjani Bali unalipwa kulingana na mkataba
mbelemwikonyumamwiko utakuwa na akili gani sasaDunduka fc aka kolo ulivyokosa akili eti wanamdhurumu.kwani ule mkataba ulimsainisha wewe?