Feisal ndiyo amewaharibia zaidi wachezaji Wazawa

Feisal ndiyo amewaharibia zaidi wachezaji Wazawa

Mimi ni yanga kabisa. Ila kwenye issue ya Feisal naomba wanayanga wenzangu tuwe watulivu. Tuwe professional.... Tusiwe na mihemko ya kishabiki. Kama mchezaji anaona maslahi yamepatikana sehemu mwache akajitafutie.
Pesa ndo kila ndoto ya mcjezaji(refer CR7).
 
Morrison alipozingua akakimbilia simba akidhani anatukomoa tuliwapata wachezaji waliotufanya tuyasahau madhila aliyotufanyia. So hata Feisal anatoa fursa kwa wachezaji wengine wazuri zaid kuja yanga.
#daima mbele nyuma mwiko!!!
 
Hapo ndo mnapo waharibu wachezaji mkuu ..asicheze ILI kufurahisha watu wakati mpira ni mchezo wa furaha
Kwa hiyo Azam haina mashabiki wa kufurahia soka lake huku na yy akitengeneza maisha yake...
 
Tatizo hapa hakuna anayemwonea dongo Feisal. Shida ni namna anavyotoka na utaratibu alioutumia sio sahihi. Kumtafuta good pasture ni halali yake. Na wabongo tunatereza hapo tunapenda sana shortcuts. Ukiwa mtu wa kufuata taratibu utaheshimika vinginevyo unadharaurika na kuonekana wa hovyo tu.
 
Siku ukichomoa mwiko akili zako zitakuwa ziko Sawa!kulikuwa,kulikuwa..hapa ni maslahi ya mtu ,unaandika kama vile wewe unamlipa mil 40, hata wewe huwezi kukubali kudhulumiwa kifala,mwache apate ujira wake anaohisi anastahili,wewe mbelemwikonyumamwiko endelea na zogo
Dunduka fc aka kolo ulivyokosa akili eti wanamdhurumu.kwani ule mkataba ulimsainisha wewe?
 
Nitaandika uzi huu kwa lugha nyepesi sana

Ni hivi tabia zilizo onyeshwa na Feisal kwenye sakata la mkataba wake na Yanga ndio limeshusha zaidi heshima ya wachezaji wazawa kuliko kuongeza kama baadhi ya watu wanavyo jaribu kuaminisha.

Imeonekana kumbe wachezaji wazawa ni watu wenye mambo ya kiswahili swahili wasio heshimu mikataba na wanao weza kurubunika kirahisi.

Kulikuwa na uharaka GANI wa kuondoka kambini wakati timu ikiwa inakabiliwa na mechi ngumu na muhimu huku wewe ukiwa ni mmoja Kati ya wachezaji walio kuwa kwenye mipango ya kocha? Too much un-proffessional.

SAWA unataka kuondoka, Kulikuwa na umuhimu GANI wa kulazimisha kuondoka katika kipindi cha dirisha dogo. Kwanini usinge subiri mpaka mwisho wa msimu kipindi ambacho timu itakuwa na muda wa kutosha kutafuta mbadala wako.

Hao ndo mganga wako kakwambia by mwishoni mwa msimu nyota y'ako itakuwa imeshuka so Azam hawatokua Wana kuhitaji tena?

Tutarajie kuona Yanga ikisajili wachezaji wengi wa kigeni ambao wengi wao ni professional wenye kuheshimu mikataba yao, wasio madhabiki wa Simba na Yanga na wenye ndoto za kucheza soka nje ya Afrika...

Signature: Feisal sio mchezaji wa kutisha kihivyo isipo kuwa ni mchezaji ambae alikuwa na nyota ya kupendwa na mashabiki wa Yanga.

No Feisal no problem
Kumbe na ww ni kilaza
 
Kati ya morisoniii na feisal nani mswahili?
Vilabu viheshimu wazawa wanaonyesha ubora pasi na shaka.
Sifikiri n muda wa kumlaumu feisali n muda wa kuboresha mazingira ya kazi kwa wazawa pia
 
Siku ukichomoa mwiko akili zako zitakuwa ziko Sawa!kulikuwa,kulikuwa..hapa ni maslahi ya mtu ,unaandika kama vile wewe unamlipa mil 40, hata wewe huwezi kukubali kudhulumiwa kifala,mwache apate ujira wake anaohisi anastahili,wewe mbelemwikonyumamwiko endelea na zogo
Fei anadhulumiwa kivip?

Analipwa kulingana na mkataba. Huwez kulipwa kulingana na kiwango chako uwanjani Bali unalipwa kulingana na mkataba
 
Tatizo hapa hakuna anayemwonea dongo Feisal. Shida ni namna anavyotoka na utaratibu alioutumia sio sahihi. Kumtafuta good pasture ni halali yake. Na wabongo tunatereza hapo tunapenda sana shortcuts. Ukiwa mtu wa kufuata taratibu utaheshimika vinginevyo unadharaurika na kuonekana wa hovyo tu.
sio sahihi kwa misingi ya ubongo wako mdogo ama mkataba waliosaini~toa mwiko uwe na akili
 
Fei anadhulumiwa kivip?

Analipwa kulingana na mkataba. Huwez kulipwa kulingana na kiwango chako uwanjani Bali unalipwa kulingana na mkataba
haya kaacha kazi kwa mujib wa mkataba,sasa wewe mbelemwikonyumamwiko unajichokonoa nini?
 
Vipi lile suala la Motisson na Yanga lilipandisha heshima na hadhi ya wachezaji wa kigenii??
Yanga acheni kutapatapa mwanzo mlisema atakuwa anawaharibia wanzibar wenzake nashangaa juzi tu mmemtambulisha Mudathir Yahaya na Ninja amerudi kikosini.
 
Fei ni mchezaji wa kawaida sana,kilichokuwa kinambeba ni vile vishoot vyake vya kubahatisha
 
Yanga siyo baba yake wala mama yake. Feisal lazima aangalie Maisha yake ya sasa na baadae. Siku Maisha yakimuendea kombo kwa kuendekeza unazi kwa Yanga wewe mwenyewe utakuwa wa kwanza kumchekelea.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom