Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Mimi ni yanga kabisa. Ila kwenye issue ya Feisal naomba wanayanga wenzangu tuwe watulivu. Tuwe professional.... Tusiwe na mihemko ya kishabiki. Kama mchezaji anaona maslahi yamepatikana sehemu mwache akajitafutie.
Pesa ndo kila ndoto ya mcjezaji(refer CR7).
Pesa ndo kila ndoto ya mcjezaji(refer CR7).