Feisal Salum 'Feitoto' arudi tena TFF na Wakili wa Msuva, aomba kuvunja mkataba na Yanga

We jamaa sijui kama una akili kichwani, ukishakuwa Shoga basi akili huhamia makalioni. Always unawaza in a negative way, madhara ya kuni hayo.
Leta mama yako nimpige ukuni atakupa hadithi. Tena mje naye unishikie mguu ukuni ukite vizuri brek pumb. Aliyekuambia lazima nikubaliane na wewe ni nani.
 
Swala la adhabu linaidhinishwa na mahakama kwa mujibu wa sheria za FIFA na imeset hadi categories za adhabu kulingana na circumstances ya mtuhumiwa
Mudathir, Sureboy, Morris hao walihukumiwa na mahakama za FIFA? hawakusimamishwa na Azam? Greenwood alisimamishwa na mahakama gani ya FIFA?
 
Soma NUKUU ya Mr Jbst hii hapa [emoji116]

"Hakuna mktaba wowte usio na option ya kuuvunja, hakuna.mkataba wowte wa mpira lazima uwe na option ya kuuvunja.

Sasa hapo kwenye kuuvunja ndo kuna vipengele vingine sasa ili uvunjike, mfano sheria za fifa zinakataza mchezaji kuvunja mkataba ligi ikiwa inaendelea bila makubaliano ya pande mbili (fei na yanga)

Kimgine ili uvunje mkataba lazima muajiri awe amekiuka vifungu ktk mkataba wenu mfano, team isipokulipa mshahara wa miez 3 mfululizo inakua imevunja mkataba na mchezaji moja kwa moja kama suala la msuva ndomana alishinda bila hata kuzungumza na wydad kwasababu wydad walikua wameshakiuka vipengele ktk mkataba.

Kingine mfano mchezaji hapewi nafasi ya kucheza ktk mechi 10 mfululio hapo team inakua imekiuka masharti ya mkataba kama kulikua na kipengele hicho kwahyo mchezaji anaweza kuondoka na akasema mkataba umevunjika.

Sasa swali nakuuliza ktk yote hayo yanga ilikiuka kipengele kipi ili fei apate uhalali wa kuvunja mkataba? Jibu ni hakuna

Kwahyo Feisal njia aliyotumia sio sahihi, aitakiwa kwenda kuongea na yanga wakubaliane au team inayomtaka iende pale ikamnunue."

USIPOELEWA HAPO PIA BASI UMESHINDA.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
We huna unalojua mbuzi wewe, we unadhani mikataba yenu hii ya uhudumu wa Bar pale Kitambaa cheupe?
Mkataba wa Soka una taratibu zake kwenye kuvunja. Kilaza wewe.
 
Hapo kwenye makubaliano na Yanga ndo penye mtego ambao Fei anaukwepa, either kwa sababu alishaenda akaambiwa au kwa sababu ameshajua bila hata kuambiwa. Fei angedeposit m700 hili suala la utaratibu lingeibuka?

Natamani Yanga waseme wazi kuwa fei akifanya nn watamwachia huru. Hii ndo itaonyesha ujinga wa fei au unyonyaji wa Yanga.

Inawezekana kabisa dau walilolitaka Yanga ni kubwa na sasa anachofanya Fei ni kuwalazimisha waliseme hadharani.
 
Leta mama yako nimpige ukuni atakupa hadithi. Tena mje naye unishikie mguu ukuni ukite vizuri brek pumb. Aliyekuambia lazima nikubaliane na wewe ni nani.
Video yako imeonekana unapigwa kuni kule Zenji, au unadhania hatukujui. Mtoto Papai, unaliwaaaaa.
 
Yanga wanalinda mpira usiharibiwe. Fikiria hao wanaomlaghai fei watumie njia hizo hizo kwa mayele au job kutakuwa na soka kweli?
...Mayele na Job ndio Soka ya Tanzania ya kulindwa na Yanga ??[emoji848][emoji848]
 
Wewe shule umekwenda na akili zimo umeandiaka kisomi sana na hata mtu asiyejuwa lolote kuhusu Sheria akirifa hoja yako hi atakah kimya na kutulia tu

Kimsingi dogo afike salamander kwa amani kbsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Si huwa mnatuhakikishia kuwa Mwamba (Mtoto wa Bahressa) ndiye yuko nyuma yake?

Pesa inakosekanaje tena hapo? [emoji28]
Hizo ni assumptions za watu na watu wakwanza kuwa fooled walikuwa ni wale wazee walioitisha mgomo

Juzi Afisa Habari anaomba kutumia uwanja wa Azam anakuwa mcheshibele ya mic na Camera utafikiri hakuna kitu kiliwahi tokea
 
Hahahaha

Hii sijui tuiitaje, sijui ndio utophobia au namna gani?
 
Mudathir, Sureboy, Morris hao walihukumiwa na mahakama za FIFA? hawakusimamishwa na Azam? Greenwood alisimamishwa na mahakama gani ya FIFA?
Unajua kusoma hoja?

Ni wapi nimesema mahakama za FIFA?

Unajua kutofautisha mahakama za FIFA na sheria za FIFA?
 
Mm mkuu nikushukuru nakushauri acha kupoteza Muda kujibizana na makolo waache wamjaze yule deogo kiburi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…