Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mbona kama huelewi imeshindikana nae kataka kuvunja mkataba ..Jibu swali langu usifanye mambo yawe mengi ombi la kuongezewa mshahara ni lazima likubaliwe?
Hanithi mkubwa!!We olewa tu banah[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huna unachojua
Ukikataliwa nyongeza unavyunja mkataba? ulisomea wapi wewe?Mbona kama huelewi imeshindikana nae kataka kuvunja mkataba ..
Mbona unapenda ku-force! shule ulikuwa unaelewa kweli?
Kwani adhabu haiwezi kutolewa akiwa hayupo eneo la mjadala?Sasa si aende au atume wawakilushi wake tutajua mbivu na mbichi....anashindwa Nini!?
Shida kwake ni Yanga hawajakiuka kipengele chochote cha mkataba....
Yeye kaviolate mkataba lazima wamalizane nae kinidhamu kwanza.....ndicho hofu yake...
Alafu kumbuka kwa muda uliobakiwa hakupaswa kurubuniwa na Timu yoyote.....labda angebakisha miezi sita....
Kwa Sasa ipo shida kwake!!?
ππππ Kwamba watu wote wanaomzunguka hawawezi mshauriHakika elimu ni ukombozi wa maisha. Ukiwa umeelimika inakuwa sio rahisi mtu kukushikia akili, ukiwa na elimu sio rahisi kuendeshwa kama gari bovu, ukiwa na elimu sio rahisi kutumiwa kwa maslahi ya mtu bila wewe kujua.
Hata hivyo:
Unaweza kukosa Elimu ya kutosha lakini ukajaaliwa kuwa na Akili kubwa kuliko hata ya mwenye Elimu ,mfano mzuri ni kwa mchaga, mkinga na mpemba aliyeishia la nne ana akili kubwa ya biashara kuliko professor wa UDSM.
Na ndio maana wapo walioishia std 7 lakini wana akili kubwa sana na sio rahisi kushikiwa akili, sio rahisi kudanganywa, sio rahisi kuendeshwa.
Feisal yeye amekosa vyote, AKILI na ELIMU, ameshikiwa tu akili kwa maslahi ya hao waliomshikia akili. Nadhani angekuwa anacheza soka Ulaya angekuwa kama yule mchezaji nadhani anaitwa Eboue aliyefilisiwa mali na Mke. Eboue alikosa akili ya kujua dhamira ya ndani ya mke anayemuoa. Lakini tunashuhudia akili kubwa ya Hakhim jinsi alivyompiga chenga mke tapeli.
Kukosa Elimu ni bora kuliko Kukosa AKILI
Ccm inahusikaje hapa tenaYanga na Simba zinatumiwa na CCM hivyo sina la zaidi Kwa kijana Feisal
Haki ya kusikilizwa...ni natural justice....ajibu tuhuma zake then apate adhabu inayostahili...Kwani adhabu haiwezi kutolewa akiwa hayupo eneo la mjadala?
Kaolewe acha kutafuta Huruma bibi[emoji23][emoji23][emoji23]Hanithi mkubwa!!
Hujajibu swaliHaki ya kusikilizwa...ni natural justice....ajibu tuhuma zake then apate adhabu inayostahili...
Kusikilizwa ni Haki yake muhimu
Swali linasemaje!? au sijaelewa swali!?Hujajibu swali
Na sio kuboreshewa tu bali angekuwa ameongeza dhamani yake, lakini pia angeweza kuvunja mkataba kwa kufanya mashauriano na timu yake ili wakae mezani aondoke kwa heshima, tatizo lake alitumia wahuni wakina jemedari.Dogo ana kipaji cha kucheza mpira! Halafu amenyimwa akili ya kuchanganua mambo. Kweli inasikitisha na kuhuzunisha sana.
Yaani mkataba ulikuwa unaisha mwakani tu 2024, na hivyo angeweza kuondoka kama free agent! Alikuwa ana uwezo wa kukaa mezani na timu yake, ili kuboreshewa mkataba wake! Ila ndiyo hivyo tena. Ameamua kuchagua njia ya mkato.
Sijui unaongea nini akili za Makolo bana, kwa akili ya kawaida huoni kubwa fei ametuhumiwa?BASI UONGOZI WA YANGA WALIKUWA WAPUMBAVU KUMPA UNAODHA MPUMBAVU.
Muite
kweli kwa ANDIKO lako nasadiki kusema KWELI yanga WENYE AKILI NI WAWILI TU.
Manahodha yanga.
1.mwamnyeto.
2. FEISAL SALUM.
3. Dickson Job.
Kuna mjitu kijinga hapa dunianiFEISAL Milioni 4.
Azizi ki 24.
Kweli inaingia akilini??????
NB.
HAKUNA MKATABA USIOVUJWA DUNIANI.
Shoga unafuatilia mambo ya wanaumeπ πKaolewe acha kutafuta Huruma bibi[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkataba unavunjwa kama party moja haitaki kuendelea ndo inaanzisha mutual agreement...Ukikataliwa nyongeza unavyunja mkataba? ulisomea wapi wewe?
Km ninayo nitampa, km sina sitampaKwa kuomba michango ?? Hii ni sawa na mtu anae acha kazi kwa hiali yake mwenyewe afu ana kuja kwako kukuomba pesa ya kula
Ameambiwa atumie njia sahihi ili kuuvunja mkataba, yeye anataka kuruka fensi ili ajiondokee kinyemela. So???We una elimu gani wakati hamna unachojua.
Mtu anapambani haki yake na ujinga wako eti elimu ,wewe imekusaidia nn? kama sip kuwa mnfiki halafu mwanaume.
Si wamuache mbona kama timu ipo vizuri kwani wanapoteza nn ?
Mashabiki wa mpira wengi ni hamnazo kila sehemu unapeleka siasa kwa elimu gani uliyokuwa nayo ? hyo elimu ya kuiba mitihani na kucopy assignments & research ndo unakuja kuandika mashudu?