CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Azizi ki Mtokea Benchi alipwe Milioni 24.
FEI mpambanaji ALAMBE Milioni 4
FEI mpambanaji ALAMBE Milioni 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki yake gani iyo anayoipigania? Na ni timu gani inayomshikilia maana Feitoto hayuko kambini Yanga miezi sita sasaWe una elimu gani wakati hamna unachojua.
Mtu anapambani haki yake na ujinga wako eti elimu ,wewe imekusaidia nn? kama sip kuwa mnfiki halafu mwanaume.
Si wamuache mbona kama timu ipo vizuri kwani wanapoteza nn ?
Mashabiki wa mpira wengi ni hamnazo kila sehemu unapeleka siasa kwa elimu gani uliyokuwa nayo ? hyo elimu ya kuiba mitihani na kucopy assignments & research ndo unakuja kuandika mashudu?
Amechoka kulishwa ugari na sukariHaya mfano akashinda KESI, Mtakuja msemeje humu ndani.
Simsapoti kabisa ila aina upende maana sjui Nini ttzo tunaongea bila kujua Kuna shid gani nje ya uwanja .
Ukiishughulisha kidogo tu akili utagundua nani yuko nyuma ya hii drama, tuliosoma Cuba tunaelewa. Alienda trip Dubai na private trainers leo aje alie michango kwenye media, tufikiri nje ya sanduku bandugu tunaelewa.Unaamini Mtu aliepeleka milioni 115 kuvunja mkataba anakosa millioni 57 ?
Unaamini atashindwa vipi endapo atashinda?
Hamna Akili....ikae hivyoMimi na jamaa zangu tumeshamchangia elfu 35 mpaka sasa
Kwa kuomba michango ?? Hii ni sawa na mtu anae acha kazi kwa hiali yake mwenyewe afu ana kuja kwako kukuomba pesa ya kulaKwahiyo mtu kudai haki yake ni kukosa akili ???
Shukrani za ziada ziende kwa Azam fc waliomuacha Mudathiri Yahaya.Tatizo ni kukosa Akili ya kujua kuwa waliomshauri walikuwa na jambo lao lingine . Kimsingi ni baadhi ya wa Nazi wa Simba waliotaka kuiletea Yanga Frustration ili isisonge mbele na bahati nzuri wamepata aibu kubwa sana Makolo na Feisal
Kule hakuna mwigulu wa kutoa maelekezoWataomchangia hizo pesa nao hamnazo. Ila acha aende CAS, aangukie pua ndio arudi chini kujipanga na upya.
Namuonea huruma kwani atavyoshindwa case CAS, itambidi alipe gharama Yanga atazotumia kwenye case.
jifanya hamnazo hujui kinachoendelea..Mtu hataki si baki mbona shobo nyingi?Haki yake gani iyo anayoipigania? Na ni timu gani inayomshikilia maana Feitoto hayuko kambini Yanga miezi sita sasa
Haki ipi ambayo amenyimwa?Kwahiyo mtu kudai haki yake ni kukosa akili ???
ID yako inaeleza IQ yakoWasiokuwa na akili ni utopolo mchezaji hataki kubeba vibuyu bado mnamlazimisha mwambieni mganga wenu achague mchezaji mwingine ambebeshe mizigo
Feisal hawezi shinda popote pale Duniani na Mbinguni.Kule hakuna mwigulu wa kutoa maelekezo
Hataki nini!? kwani alilazimishwa kuutumikia mkataba aliosaini??jifanya hamnazo hujui kinachoendelea..Mtu hataki si baki mbona shobo nyingi?
Haki gani anayo pambania?We una elimu gani wakati hamna unachojua.
Mtu anapambani haki yake na ujinga wako eti elimu ,wewe imekusaidia nn? kama sip kuwa mnfiki halafu mwanaume.
Si wamuache mbona kama timu ipo vizuri kwani wanapoteza nn ?
Mashabiki wa mpira wengi ni hamnazo kila sehemu unapeleka siasa kwa elimu gani uliyokuwa nayo ? hyo elimu ya kuiba mitihani na kucopy assignments & research ndo unakuja kuandika mashudu?