Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Sio issue kimpira wetu kivyetu vyetu...mbona Mkude alikuwa mgonjwa wa Akili na alipewaga unahodha huko Simba....

Na alitibiwa juzi juzi hapa badala ya matendo yake ya utovu wa nidhamu kuzidi....au umesahau...!?[emoji1787][emoji1787]


1. Mkude alivuliwa unahodha tangu 2017 huko.

2. Uliona majibu ya vipimo vyake?????
 
FEISAL Milioni 4.
Azizi ki 24.

Kweli inaingia akilini??????

NB.
HAKUNA MKATABA USIOVUJWA DUNIANI.
Unalinganisha mchezaji mwenya cv ya kucheza Fainali za CAF na mchezaji wa NBC premier league na Mapinduzi Cup....

Wenzake wanapandisha thamani zao ndio maana wanalipwa parefu....

Inaoneka Akili zako ka za Fei. ...zimekuzwa na ugali na Sukari....
 
1. Mkude alivuliwa unahodha tangu 2017 huko.

2. Uliona majibu ya vipimo vyake?????
Si alikuwa mgonjwa wa Akili....

majibu ni Siri ya mgonjwa na Daktari wake....labda viongozi wake huko Simba walipelekewa wakaona wamvue unahodha huyo kichaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mchezaji anataka kuvunja mkataba, wewe unampa machaguo ambayo hayana takwa lake la kuvunja, mlikua wapi kubolesha hayo maslai? Hersi aache umbumbu wa kumngangania mchezaji asiyewataka
Mbwakoko mpo wengi sana, Aya nenda haraka kamchangie Pesa ya kwenda CAS kulialia hakutasadia lolote
 
Feisal sio boya anataka kupiga pesa kwa kutumia akiri aisee [emoji1787][emoji1787]
 
Hakika elimu ni ukombozi wa maisha. Ukiwa umeelimika inakuwa sio rahisi mtu kukushikia akili, ukiwa na elimu sio rahisi kuendeshwa kama gari bovu, ukiwa na elimu sio rahisi kutumiwa kwa maslahi ya mtu bila wewe kujua.

Hata hivyo:

Unaweza kukosa Elimu ya kutosha lakini ukajaaliwa kuwa na Akili kubwa kuliko hata ya mwenye Elimu ,mfano mzuri ni kwa mchaga, mkinga na mpemba aliyeishia la nne ana akili kubwa ya biashara kuliko professor wa UDSM.
Na ndio maana wapo walioishia std 7 lakini wana akili kubwa sana na sio rahisi kushikiwa akili, sio rahisi kudanganywa, sio rahisi kuendeshwa.

Feisal yeye amekosa vyote, AKILI na ELIMU, ameshikiwa tu akili kwa maslahi ya hao waliomshikia akili. Nadhani angekuwa anacheza soka Ulaya angekuwa kama yule mchezaji nadhani anaitwa Eboue aliyefilisiwa mali na Mke. Eboue alikosa akili ya kujua dhamira ya ndani ya mke anayemuoa. Lakini tunashuhudia akili kubwa ya Hakhim jinsi alivyompiga chenga mke tapeli.

Kukosa Elimu ni bora kuliko Kukosa AKILI
EB16358D-DDCE-4920-84AD-2C433FECA783.jpeg
 
Ndio unavunjwa kama kuni?
Unavunjwajwe? Hata wewe nikikuuliza Fei anatakiwa afanyaje jibu utakalotoa ni afuate taratibu, Taratibu zipi? Si ziwekwe wazi tujue Fei anafeli wapi. Unataka kuvunja mkataba? Lipa moja, mbili, tatu, njoo na moja, mbili, tatu. Wanaambiana vyumbani huko halafu huku nje wanakuja na hajafata taratibu, huyu nae anataka achangiwe.

Hapa Fei na Yanga kuna kitu hawasemi. Mashabiki si wa kulaumiwa wao Fei akirudi yanga watashangilia, akifukuzwa watashangilia, akifungiwa watashangilia.
 
Hizi unaelewa hata iyo maana ya Mutual agreement??
Mbwa kama nyie ndio mnaompotosha kijana.
Ngoja nikuweke sawa kwa tarifa yako popote atapoenda atashindwa, hata akienda mahakama za kiraia Bado hawezi kutoboa
Mutual agreement ni zipi? Unayajua makubaliano yao?
 
Feisal ni wale watu wenye roho mbaya, hawa watu kila sehemu utawakuta.
Mpira japo ni mchezo, ila ni kazi kama kazi zingine.
Yeye alipoona wanaotoka nje ya nchi, wanalipwa zaidi. Roho ikamuuma.

Shida ni yeye na wakala wake, wakati anaingia mkataba na Yanga, waliafikiana mshahara. Kwanini katikati ya mkataba, useme uongezewe? Roho mbaya inamsumbua huyu.
Alipoona yote yameshindikana, angecheza, mwisho wa mkataba angetaja dau lake ama kutimka. Ona sasa anapoteza kipaji kwa ujuaji. Mtoto mdogo roho ya kichawi...
 
Dogo ana kipaji cha kucheza mpira! Halafu amenyimwa akili ya kuchanganua mambo. Kweli inasikitisha na kuhuzunisha sana.

Yaani mkataba ulikuwa unaisha mwakani tu 2024, na hivyo angeweza kuondoka kama free agent! Alikuwa ana uwezo wa kukaa mezani na timu yake, ili kuboreshewa mkataba wake! Ila ndiyo hivyo tena. Ameamua kuchagua njia ya mkato.
Mpaka leo hajajua njia anayotaka kutumia kuvunja mkataba Duniani haitumiki, kama hivyo wachezaji wa Ulaya wangekuwa wanazitumia, Mfano Madridi wanamuhitaji Mbappe kwaiyo wanampa pesa anawaingizia PSG akakuwa kashavunja mkataba.
 
YANI WEWE NGUMBALU PANGU PAKAVU UNAJIFANANISHA NA FEISAL.

1. Mwenzio ana mawakili na wanasheria kibao.

2. Anazaidi ya Milioni m200 kwenye account yake.

3 Ana pasport na safari za Dubai nk.
We zanzibar hujawahi fika

HATA NDEGE HUJAWAHI KUPANDA.

ANHEKUWA TAHIRA ANGEKUBALI KULIPWA MILIONI 4 AZIZI KI MTOKEA BENCHI ALAMBE 24 SHAME ON U
Mbona makocha wa Ulaya wanazidiwa mishahara na wachezaji na makocha hawa lalamiki? , Kila mchezaji ana mkataba wake aliosaini na timu, ni maajabu kuzungumzia mkataba wachezaji mwenzako au staff mwenzio, Harzad wa Madridi analipwa pesa nyingi kuwazidi wenzake, lakini wachezaji wenzake wametulia wana cheza mpira.
 
FEISAL Milioni 4.
Azizi ki 24.

Kweli inaingia akilini??????

NB.
HAKUNA MKATABA USIOVUJWA
Haya malalamiko yako yamekaa kingumbalu sana. Ulitaka hiyo mishahara yao ilingane? Na uliwahi kuona wapi wachezaji wanalipwa mishahara sawa?

Au unataka kuniambia Clotus Chama na Jonas Mkude mwenye miaka zaidi ya 10 pale simba wanalipwa mshahara sawa?

Je, unafahamu msugua benchi Eden Hazard analipwa mshahara mkubwa Real Madrid kuliko hata wale wachezaji wanaocheza kila wiki! Lakini huwezi kuwaona wakiingiwa na wivu kama huyo kiazi wenu!!

Ibrahimu Abdallah 'Bacca' ameongezewa mshahara mwezi uliopita tu, baada ya kuonesha juhudi uwanjani! Je, ulimsikia akilalamika kwa nini Mamadou Doumbia anaye sugua benchi muda mwingi, alikuwa analipwa mshahara mkubwa kuliko yeye?


Ni kwa sababu kila mtu aliingia Yanga kwa mkataba wake, na pia kwa makubaliano yake na klabu.
 
YANI WEWE NGUMBALU PANGU PAKAVU UNAJIFANANISHA NA FEISAL.

1. Mwenzio ana mawakili na wanasheria kibao.

2. Anazaidi ya Milioni m200 kwenye account yake.

3 Ana pasport na safari za Dubai nk.
We zanzibar hujawahi fika

HATA NDEGE HUJAWAHI KUPANDA.

ANHEKUWA TAHIRA ANGEKUBALI KULIPWA MILIONI 4 AZIZI KI MTOKEA BENCHI ALAMBE 24 SHAME ON U
Hiyo million 200 ni kubwa kwako. Halafu ulivyo bwege unaona kwenda znz ni kama umekwenda Ulaya wakati ni kama Tanga tu.

Ushamba kazi sana
 
Back
Top Bottom