Feisal Salum, za kuambiwa changanya na zako. Muda ni wakili mzuri sana

Feisal Salum, za kuambiwa changanya na zako. Muda ni wakili mzuri sana

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Maamuzi aliyoyafanya feisal december muda ndo unatuonyesha yalikua yakijinga sana
  • Feisal ni kweli analipwa mshahara mdogo ila ni ukweli uliowazi ukitaka kuondoka kihuni vile ni timu chache zinaweza kama angekua ni mtu anayeona mbali angelinda kiwango chake na kukiongeza ili hata mkataba wake ukiisha mwakan anauhakika wa kusign mkataba mnono kulikua hakuna haja ya papara
  • Hakuna watu wabaya kama washauri hasa ukiwa kwenye mafanikio- aliyemshauri feisal ni mtu mbaya sana na anatakiwa akemewe kuna muda unaweza jiuliza sisi watanzania tuna gundu nin sababu haiwezekani unaenda hatua muhimu anatokea mtu anakushauri ujinga vile, aliyemshauri feisal ni mtu ambaye ana upeo mdogo na mbinafsi kupindukia
  • Yanga hajafuzu nusu fainal ila mpaka sasa hivi ananafasi kubwa sana kwa matokeo aliyoyapata kule Nigeria ila ukiangalia feisal hayupo hii ndo ilikua nafasi yake ya yeye kuonekana lakin hayupo inaumiza sana, watu wanaituhumu Yanga lakini swali la kujiuliza leo Yanga akikubali kirahisi kumwachia feisal eti sababu haipendi Yanga, kuwa na uhakika kesho kutwa atatokea mchezaj mwingine atatumia mbinu zile zile za Feisal
Kwenye maisha unapopewa ushauri na watu kuwa makin sana juu ya huo ushauri hasa ukitake-into consideration future yako "za kuambiwa changanya na za kwako"
 
Tukiwaambiaga bado mnaumia na kuondoka kwa Feisal mnabisha, nini hiki sasa? Kama ni kuonekana, tusubiri tuone hao wanaoonekana kina Mwamnyeto kama wataenda kokote.
 
Maamuzi aliyoyafanya feisal december mda ndo unatuonyesha yalikua yakijinga sana
  • Feisal ni kweli analipwa mshahara mdogo ila ni ukweli uliowazi ukitaka kuondoka kihuni vile ni timu chache zinaweza kama angekua ni mtu anayeona mbali angelinda kiwango chake na kukiongeza ili hata mkataba wake ukiisha mwakan anauhakika wa kusign mkataba mnono kulikua hakuna haja ya papara
  • Hakuna watu wabaya kama washauri hasa ukiwa kwenye mafanikio- aliyemshauri feisal ni mtu mbaya sana na anatakiwa akemewe kuna mda unaweza jiuliza sisi watanzania tuna gundu nin sababu haiwezekani unaenda hatua muhimu anatokea mtu anakushauri ujinga vile, aliyemshauri feisal ni mtu ambaye ana upeo mdogo na mbinafsi kupindukia
  • Yanga hajafuzu nusu fainal ila mpaka sasa hivi ananafasi kubwa sana kwa matokeo aliyoyapata kule nigeria ila ukiangalia feisal hayupo hii ndo ilikua nafasi yake ya yeye kuonekana lakin hayupo inaumiza sana, watu wanaituhumu Yanga lakin swali la kujiuliza leo Yanga akikubali kirahisi kumwachia feisal eti sababu haipendi Yanga, kuwa na uhakika kesho kutwa atatokea mchezaj mwingine atatumia mbinu zile zile za feisal
Kwenye maisha unapopewa ushauri na watu kuwa makin sana juu ya huo ushauri hasa ukitake-into consideration future yako "za kuambiwa changanya na za kwako"
Achaneni na nyuzi za Feisal mtaonekana mnamtamani bado
 
Sometimes familia zetu za kibongo si una zijua .ukute ukoo mzima ulkua una taka awa saidia waki zani ana pesa kumbe holaa
 
Mnalia lia Feisal Feisal, tumechoka na nyuzi zake 🤣😂🤣 Yaani mnashinda mechi badala ya kufikiria ushindi wenu mnakuja na nyuzi za Feisal. Alikuwa anawapa nini huko Kimbiji mtoto wa kizenji?

Mbona hao wengine akiwemo Mayele hakuna anayetaka kumnunua?

Umekonenti kijinga sana!
 
Feisal napenda uchezaji wake ni kweli angevumilia, mbona nje wanamaliza mkataba wakiwa na kiwango na wanaenda, namtakia heri ajitume huko aendako
 
Mnalia lia Feisal Feisal, tumechoka na nyuzi zake [emoji1787][emoji23][emoji1787] Yaani mnashinda mechi badala ya kufikiria ushindi wenu mnakuja na nyuzi za Feisal. Alikuwa anawapa nini huko Kimbiji mtoto wa kizenji?

Mbona hao wengine akiwemo Mayele hakuna anayetaka kumnunua?
Umekomenti kijinga Tena. Una uhakika hawatakiwi? Umejaa usimba tu!
 
Umekomenti kijinga Tena. Una uhakika hawatakiwi? Umejaa usimba tu!
Hampendi kuambiwa ukweli. Mkiambiwa mapungufu yenu mnadhani ni wivu au chuki.

Narudia tena, mnapolia kila siku kuwa Feisal angeonekana (najua mnasema hivi ili muonekane mnamjali lakini ni tamaa yenu tu), nani mwingine mliye naye ambaye ameonekana na kuvutia timu za nje? Wakala wa Mayele amesema hawajapokea maombi yoyote ya yeye kutakiwa.
 
Back
Top Bottom