Feisal Salum, za kuambiwa changanya na zako. Muda ni wakili mzuri sana

Feisal Salum, za kuambiwa changanya na zako. Muda ni wakili mzuri sana

Sio kosa mtu kukuruhumia ukiwa katika hali yeyote usikarike watu wakihurumia watu
Wala sikasiriki nashangaa mnavyojipendekeza kwa mtu aliyekataa kunyonywa kwa ujira wa mil4 ,
 
Hampendi kuambiwa ukweli. Mkiambiwa mapungufu yenu mnadhani ni wivu au chuki.

Narudia tena, mnapolia kila siku kuwa Feisal angeonekana (najua mnasema hivi ili muonekane mnamjali lakini ni tamaa yenu tu), nani mwingine mliye naye ambaye ameonekana na kuvutia timu za nje? Wakala wa Mayele amesema hawajapokea maombi yoyote ya yeye kutakiwa.
Hebu wakati mwingine jaribu kuuficha upumbavu wako. Too much now nyingi kumbe ubongo kamasi tupu. Kiufupi unachosha jukwaa, bora ukae kimya
 
Hebu wakati mwingine jaribu kuuficha upumbavu wako. Too much now nyingi kumbe ubongo kamasi tupu. Kiufupi unachosha jukwaa, bora ukae kimya
Kama najua najua tu. Kama unaweza niroge
 
Kwanin ali-sign mkataba in first place
Alisaini akijua makambo analipwa pungufu ya hiyo, kumbe kuja kustuka anakuta yanga inadharau wazawa na kulipa wageni hela kubwa hata kama hawachezi
 
Alisaini akijua makambo analipwa pungufu ya hiyo, kumbe kuja kustuka anakuta yanga inadharau wazawa na kulipa wageni hela kubwa hata kama hawachezi
Unajua maana ya mkataba inaonekana hujui maana ya mkataba
 
Back
Top Bottom