Kama ye hajihurumii sioni sababu ya watu wengine kujidai mnamuhurumia saaaanaExactly busara ni kitu muhimu sana kwenye maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ye hajihurumii sioni sababu ya watu wengine kujidai mnamuhurumia saaaanaExactly busara ni kitu muhimu sana kwenye maisha
Sio kosa mtu kukuruhumia ukiwa katika hali yeyote usikarike watu wakihurumia watuKama ye hajihurumii sioni sababu ya watu wengine kujidai mnamuhurumia saaaana
Wala sikasiriki nashangaa mnavyojipendekeza kwa mtu aliyekataa kunyonywa kwa ujira wa mil4 ,Sio kosa mtu kukuruhumia ukiwa katika hali yeyote usikarike watu wakihurumia watu
We fala tu, mwaka jana tu uliloga kwa moto uwanjani huko south na kombe hili, je unafikiri tumesahau? Fala sana wewe msisitizoDogo anakipaji angekuwepo saiv mngetoboa champion league na sio hilo kombe la upinde .....
Hebu wakati mwingine jaribu kuuficha upumbavu wako. Too much now nyingi kumbe ubongo kamasi tupu. Kiufupi unachosha jukwaa, bora ukae kimyaHampendi kuambiwa ukweli. Mkiambiwa mapungufu yenu mnadhani ni wivu au chuki.
Narudia tena, mnapolia kila siku kuwa Feisal angeonekana (najua mnasema hivi ili muonekane mnamjali lakini ni tamaa yenu tu), nani mwingine mliye naye ambaye ameonekana na kuvutia timu za nje? Wakala wa Mayele amesema hawajapokea maombi yoyote ya yeye kutakiwa.
Kwanin ali-sign mkataba in first placeWala sikasiriki nashangaa mnavyojipendekeza kwa mtu aliyekataa kunyonywa kwa ujira wa mil4 ,
We mwenyewe ata akaunti benki huna, watz tuna shida sana aiseeWala sikasiriki nashangaa mnavyojipendekeza kwa mtu aliyekataa kunyonywa kwa ujira wa mil4 ,
Kama najua najua tu. Kama unaweza nirogeHebu wakati mwingine jaribu kuuficha upumbavu wako. Too much now nyingi kumbe ubongo kamasi tupu. Kiufupi unachosha jukwaa, bora ukae kimya
Ndio maana sina muda wa kumuhurumia, nyie wenye akaunti benk mnapata hata laki? PumbavuWe mwenyewe ata akaunti benki huna, watz tuna shida sana aisee
Alisaini akijua makambo analipwa pungufu ya hiyo, kumbe kuja kustuka anakuta yanga inadharau wazawa na kulipa wageni hela kubwa hata kama hawacheziKwanin ali-sign mkataba in first place
Labda kuwekwaKama najua najua tu. Kama unaweza niroge
Unajua maana ya mkataba inaonekana hujui maana ya mkatabaAlisaini akijua makambo analipwa pungufu ya hiyo, kumbe kuja kustuka anakuta yanga inadharau wazawa na kulipa wageni hela kubwa hata kama hawachezi
Shida hata uhakika wa kula shidaNdio maana sina muda wa kumuhurumia, nyie wenye akaunti benk mnapata hata laki? Pumbavu
Mbona unateseka? Una dalili za kuwa na robo mbayaLabda kuwekwa
Mimi au Fei?Shida hata uhakika wa kula shida
Sijawahi kuona mkataba ambao hauvunjiki kwa vipengele vilivyowekwa kwenye mkataba vya masharti ya kuvunjaUnajua maana ya mkataba inaonekana hujui maana ya mkataba