ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Acha kucheka chekaSawaaa endelea kulialia [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kucheka chekaSawaaa endelea kulialia [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Umechoka wewe na nani?Mnalia lia Feisal Feisal, tumechoka na nyuzi zake [emoji1787][emoji23][emoji1787] Yaani mnashinda mechi badala ya kufikiria ushindi wenu mnakuja na nyuzi za Feisal. Alikuwa anawapa nini huko Kimbiji mtoto wa kizenji?
Mbona hao wengine akiwemo Mayele hakuna anayetaka kumnunua?
Unataka nilielie kama nyie?Acha kucheka cheka
Mimi na mimi mwingineUmechoka wewe na nani?
Katika maisha, tunatakiwa kuwa wavumilivu, na pia watu wa kuheshimu mikataba tunayoingia, ili kuepusha migogoro isiyo navulqzima wowote ule.Maamuzi aliyoyafanya feisal december mda ndo unatuonyesha yalikua yakijinga sana
Kwenye maisha unapopewa ushauri na watu kuwa makin sana juu ya huo ushauri hasa ukitake-into consideration future yako "za kuambiwa changanya na za kwako"
- Feisal ni kweli analipwa mshahara mdogo ila ni ukweli uliowazi ukitaka kuondoka kihuni vile ni timu chache zinaweza kama angekua ni mtu anayeona mbali angelinda kiwango chake na kukiongeza ili hata mkataba wake ukiisha mwakan anauhakika wa kusign mkataba mnono kulikua hakuna haja ya papara
- Hakuna watu wabaya kama washauri hasa ukiwa kwenye mafanikio- aliyemshauri feisal ni mtu mbaya sana na anatakiwa akemewe kuna mda unaweza jiuliza sisi watanzania tuna gundu nin sababu haiwezekani unaenda hatua muhimu anatokea mtu anakushauri ujinga vile, aliyemshauri feisal ni mtu ambaye ana upeo mdogo na mbinafsi kupindukia
- Yanga hajafuzu nusu fainal ila mpaka sasa hivi ananafasi kubwa sana kwa matokeo aliyoyapata kule nigeria ila ukiangalia feisal hayupo hii ndo ilikua nafasi yake ya yeye kuonekana lakin hayupo inaumiza sana, watu wanaituhumu Yanga lakin swali la kujiuliza leo Yanga akikubali kirahisi kumwachia feisal eti sababu haipendi Yanga, kuwa na uhakika kesho kutwa atatokea mchezaj mwingine atatumia mbinu zile zile za feisal
Tumeshamsahau kitamboUjinga ni kipaji, dogo kaishapotea
Kwa kweli aendelee tu kunywa urojo. Mwakani ataondoka kama free agent.Nadhani Yanga hatumuhitaji tena
We naye kolokolo jinga sana.Tukiwaambiaga bado mnaumia na kuondoka kwa Feisal mnabisha, nini hiki sasa? Kama ni kuonekana, tusubiri tuone hao wanaoonekana kina Mwamnyeto kama wataenda kokote.
Hampendi kuambiwa ukweli. Mnapenda kuishi kwenye mawazo ya kusadikika.We naye kolokolo jinga sana.
Nadhani wewe hufatilii mpira halafu umekuja lu coment kwenye uzi wa watu wa mpiraDogo anakipaji angekuwepo saiv mngetoboa champion league na sio hilo kombe la upinde .....
bwan mdogo mpumbavxtraMaamuzi aliyoyafanya feisal december muda ndo unatuonyesha yalikua yakijinga sana
Kwenye maisha unapopewa ushauri na watu kuwa makin sana juu ya huo ushauri hasa ukitake-into consideration future yako "za kuambiwa changanya na za kwako"
- Feisal ni kweli analipwa mshahara mdogo ila ni ukweli uliowazi ukitaka kuondoka kihuni vile ni timu chache zinaweza kama angekua ni mtu anayeona mbali angelinda kiwango chake na kukiongeza ili hata mkataba wake ukiisha mwakan anauhakika wa kusign mkataba mnono kulikua hakuna haja ya papara
- Hakuna watu wabaya kama washauri hasa ukiwa kwenye mafanikio- aliyemshauri feisal ni mtu mbaya sana na anatakiwa akemewe kuna muda unaweza jiuliza sisi watanzania tuna gundu nin sababu haiwezekani unaenda hatua muhimu anatokea mtu anakushauri ujinga vile, aliyemshauri feisal ni mtu ambaye ana upeo mdogo na mbinafsi kupindukia
- Yanga hajafuzu nusu fainal ila mpaka sasa hivi ananafasi kubwa sana kwa matokeo aliyoyapata kule Nigeria ila ukiangalia feisal hayupo hii ndo ilikua nafasi yake ya yeye kuonekana lakin hayupo inaumiza sana, watu wanaituhumu Yanga lakini swali la kujiuliza leo Yanga akikubali kirahisi kumwachia feisal eti sababu haipendi Yanga, kuwa na uhakika kesho kutwa atatokea mchezaj mwingine atatumia mbinu zile zile za Feisal
Umekomenti kijinga Tena. Una uhakika hawatakiwi? Umejaa usimba tu!
NI KWELI FEISAL MASHABIKI WA YANGA TUNAMPENDA...BILA KUJALI AMETUFANYIA NINI...NA HATA AKIRUDI LEO...TUPO TAYARI KUMSAMEHE NA KUMPOKEA...Mnalia lia Feisal Feisal, tumechoka na nyuzi zake 🤣😂🤣 Yaani mnashinda mechi badala ya kufikiria ushindi wenu mnakuja na nyuzi za Feisal. Alikuwa anawapa nini huko Kimbiji mtoto wa kizenji?
Mbona hao wengine akiwemo Mayele hakuna anayetaka kumnunua?
Sio tunajipendekeza...TUNAPENDA KWA KWELI...HATA AKIRUDI LEO TUPO TAYARI KUMSAMEHE NA KUMPOKEA...NA KUMPIKA UPYA...ILA TUNAMSIKITIKIA ALIKO HUKO ANAVYOPOTEA...Wala sikasiriki nashangaa mnavyojipendekeza kwa mtu aliyekataa kunyonywa kwa ujira wa mil4 ,
Yaani wewe unajua kama anapotea Ila yeye hadi Leo hajui kama anapoteaSio tunajipendekeza...TUNAPENDA KWA KWELI...HATA AKIRUDI LEO TUPO TAYARI KUMSAMEHE NA KUMPOKEA...NA KUMPIKA UPYA...ILA TUNAMSIKITIKIA ALIKO HUKO ANAVYOPOTEA...
Nani ana uhakika kuewa akirudi atakuwa feisal yule yule?Yaani wewe unajua kama anapotea Ila yeye hadi Leo hajui kama anapotea