choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
[emoji1][emoji1]mashabiki ni watu wanafiki sana,NI KWELI FEISAL MASHABIKI WA YANGA TUNAMPENDA...BILA KUJALI AMETUFANYIA NINI...NA HATA AKIRUDI LEO...TUPO TAYARI KUMSAMEHE NA KUMPOKEA...
HIYO YOTE NI KWA SABABU TUNAPENDA MAENDELEO YAKE...INATUUMA...KWENYE MAFANIKIO HAYA...TUNATAMANI ANGEKUWA SEHEMU YA MAFANIKIO HAYA...ILA NDIYO HIVYO...ROHO INAUMA SANA...
Mfano saizi hakuna hata anayemuulizia Mkude, au Makambo, lakini kwenye peak zao waliimbwa sana
Dogo akisepa Yanga kuna Simba / Azam zitamnyakua tuu, na hatolipwa mil 4 kama anazolipwa Yanga[emoji3] na umri bado unambeba
Mashabiki lazima waumie tuu