choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
[emoji1][emoji1]mashabiki ni watu wanafiki sana,NI KWELI FEISAL MASHABIKI WA YANGA TUNAMPENDA...BILA KUJALI AMETUFANYIA NINI...NA HATA AKIRUDI LEO...TUPO TAYARI KUMSAMEHE NA KUMPOKEA...
HIYO YOTE NI KWA SABABU TUNAPENDA MAENDELEO YAKE...INATUUMA...KWENYE MAFANIKIO HAYA...TUNATAMANI ANGEKUWA SEHEMU YA MAFANIKIO HAYA...ILA NDIYO HIVYO...ROHO INAUMA SANA...
Eeh ndio vilevile hakuna anayeulizia wala kuumia juu ya mshahara wa Bocco au mkude wala mzamilu yaasin...wote vichwa vyenu vinauma juu ya feisal...kama sio UNAA NI NINI?[emoji1][emoji1]mashabiki ni watu wanafiki sana,
Mfano saizi hakuna hata anayemuulizia Mkude, au Makambo, lakini kwenye peak zao waliimbwa sana
Dogo akisepa Yanga kuna Simba / Azam zitamnyakua tuu, na hatolipwa mil 4 kama anazolipwa Yanga[emoji3] na umri bado unambeba
Mashabiki lazima waumie tuu
Hakuna! Ndio maana hakuna anaejua kama anapoteaNani ana uhakika kuewa akirudi atakuwa feisal yule yule?
Hakuna anaeumia kwa mshahara wa Feisal zaidi ya Feisal mwenyewe ndiomaana kagomaEeh ndio vilevile hakuna anayeulizia wala kuumia juu ya mshahara wa Bocco au mkude wala mzamilu yaasin...wote vichwa vyenu vinauma juu ya feisal...kama sio UNAA NI NINI?
Sisi mashabiki tutapiga kelele kwamba atapotea nk kwavile anatufurahisha uwanjani, Yeye mwenyewe kaamua kuangalia maslahi yake sio mapambio ya mashabiki, na mpaka sasa hata akirudi ataongezewa dau, hivyo vita ameishindaEeh ndio vilevile hakuna anayeulizia wala kuumia juu ya mshahara wa Bocco au mkude wala mzamilu yaasin...wote vichwa vyenu vinauma juu ya feisal...kama sio UNAA NI NINI?
Mwisho wa siku akaondoka nani? Je aliyeondoka kaweza kuifanya Yanga ishindwe kufikia malengo yake? Vipi kuna pengo lolote la aliyeondoka?Ila wazanzibar ni majasiri sana, can you imagine dogo Fei alisimamisha shilingi kwamba Hersi aondoke Yanga ndo yeye ataendelea kukipiga jangwani
ya fei yashapitaMaamuzi aliyoyafanya feisal december muda ndo unatuonyesha yalikua yakijinga sana
Kwenye maisha unapopewa ushauri na watu kuwa makin sana juu ya huo ushauri hasa ukitake-into consideration future yako "za kuambiwa changanya na za kwako"
- Feisal ni kweli analipwa mshahara mdogo ila ni ukweli uliowazi ukitaka kuondoka kihuni vile ni timu chache zinaweza kama angekua ni mtu anayeona mbali angelinda kiwango chake na kukiongeza ili hata mkataba wake ukiisha mwakan anauhakika wa kusign mkataba mnono kulikua hakuna haja ya papara
- Hakuna watu wabaya kama washauri hasa ukiwa kwenye mafanikio- aliyemshauri feisal ni mtu mbaya sana na anatakiwa akemewe kuna muda unaweza jiuliza sisi watanzania tuna gundu nin sababu haiwezekani unaenda hatua muhimu anatokea mtu anakushauri ujinga vile, aliyemshauri feisal ni mtu ambaye ana upeo mdogo na mbinafsi kupindukia
- Yanga hajafuzu nusu fainal ila mpaka sasa hivi ananafasi kubwa sana kwa matokeo aliyoyapata kule Nigeria ila ukiangalia feisal hayupo hii ndo ilikua nafasi yake ya yeye kuonekana lakin hayupo inaumiza sana, watu wanaituhumu Yanga lakini swali la kujiuliza leo Yanga akikubali kirahisi kumwachia feisal eti sababu haipendi Yanga, kuwa na uhakika kesho kutwa atatokea mchezaj mwingine atatumia mbinu zile zile za Feisal
Ogopa Mungu na Terminology sasa hivi Mayele uliyekua unamtukana Yuko zake Pyramids. Anacheza Ligi namba moja Afrika.Hampendi kuambiwa ukweli. Mkiambiwa mapungufu yenu mnadhani ni wivu au chuki.
Narudia tena, mnapolia kila siku kuwa Feisal angeonekana (najua mnasema hivi ili muonekane mnamjali lakini ni tamaa yenu tu), nani mwingine mliye naye ambaye ameonekana na kuvutia timu za nje? Wakala wa Mayele amesema hawajapokea maombi yoyote ya yeye kutakiwa.
Muite professorKama ange endelea kuwepo Fei Pacome zizu tungemuona wapi? kwasasa ata Fei na viungo wengine nchini wanatenga muda wao kumwangalia Pacome zizu.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app