Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao ndo wapembaa hao tajiri na Mali yake masikini na watoto wake..wabishiiii balaaaMwanaume lazima uwe na msimamo wa kusimamia kile unachokiamini haijalishi watu watakuona vipi.
Bora njaa kuliko shibe ya masimango. Niko na Feisal
Devil, Fei ni mjinga, na amekiri mwenyewe kuwa hajui hata kingereza. Yeye alichoambiwa ndo alichoamini kuwa kipo kwenye mkataba kwa ujinga wake akasaini.Kwamba mama aka piga simu kuwaambia mpeni miaka miwili .wao waka ongeza mmoja na lenyewe kama jinga lika enda ku sign .
Hawa wana sheria wake ange enda nao kwenye ku sign ange pungukiwa nini ? Hiyo hoja ya yeye kusema Ali taka miaka miwili haipo usha sign mkataba imeisha iyo Ignorantia juris non excusat
Jidangaye, kwa taarifa yako CAS hawavunji mikataba halali na hawana hayo mamlaka! unless kama mkataba ni batiliCAS lazma atoboe hakuna mkataba usiovunjwa either kimakosa au kwa usahihi,suala ni nani mwenye makosa na atapewa adhabu kati ya yanga na fei.
Script tu hizo,mazito gani mnadanganyika kama mazuzuUto acheni kejeli mtu anapopambania maisha yake. Kuna maisha baada ya soka
Yani Hersi atume watu wamtukane Feisail na Mama?!
Nitakua wa mwisho kuamini hii. Kuhusu mkataba naweza kuamini, Bongo magumashi mengi.
Tusubiri upande wa pili kama wataona inafaa kujibu.
Huyu ndio mtu watu wanamtetea wamekaza kende kabisaNa hawa wanaompa mwongozo wa nn Cha kusema vp?
View attachment 2642332
Hersi ndiyo alikuwa anataka mtoto awe afande, ametumia tafsida tu kuficha ukweli wa kile kilichomkutaHuyo mtoto ni afande
Hizo tetesi za hersi alitaka kumuafande dogo nahisi inabidi zifuatiliwe. Maana manyanyaso hayaeleweki. Ila hapo kwenye kumuafande dogo ni bora dogo kakataa. Eti cocastic hizo tetesi ni kweli, kuwa feitoto walitaka kumuafande ila akakaza?Hersi ndiyo alikuwa anataka mtoto awe afande, ametumia tafsida tu kuficha ukweli wa kile kilichomkuta
Unakumbuka wakati bimkubwa wake anatoa maelezo alisema kuwa mambo mengine ni siri kubwa hayawezi kusemwa hadharani,unafikiri ni mambo gani hayo? Watu wanamlaumu Feisal kwa vile hawajua hasa ni changamoto gani alikutana nazo huko vinginevyo wangemsifu kwa kukataa kuvunja utu wake kwa tamaa za kidunia.Evidence [emoji41]
Hizi tetesi hata huku kwenye vijiwe vya kahawa zipo.Ukweli ni kuwa Rais alikuwa anataka kumnajisi kijana ndiyo maana anapata kigugumizi kutamka wazi lakini dogo ameondoka Yanga kulinda utu na marinda yake.