Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
AMESHASEMA YULE MSHAURI WAKE. Kule anaenda huenda akaambiwa alipe faini aondoke tofauti na adhabu anayopewa na Hersi na kama akishindwa basi atabaki mtaani riski ni mpango wa MUNGU.Kama taasisi inakupa stahiki zako kwa wakati na hakuna kipengele wamevunja huko CAS utaenda kusema haupendani na boss?
Wewe huoni tatizo hapo? Huyu anaenda CAS akiwa na uelewa kuwa kisheria kashikilia makali ila kuliko kurudi kwa Hersi bora ajaribu. Haya anayafanya akiwa kapewa ofa ya 30m ipo mezani. Ni nn hicho kimempa hizo hasira? Kwamba kuna timu imempa ofa zaidi ya 30m?