Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

"Nilimpigia Ghalib lakini hakupokea simu yangu Kwa Muda. Baadaye alinitafuta na Mimi Sikupokea simu yake makusudi.
Huo unaitwa ujinga, si kila simu tunazompigia mtu lazima zipokelewe wakati huo. Kila Mtu ana vipa umbele vyake.
Ghalib hajapokea simu, na yeye Faisal hajapokea simu, sasa kwanini alalamikie hilo?

Huo ni utata (contradiction).
 
Aisee..
 
Nilimtafuta GSM aje kutafuta suluhu lakini hakupokea simu zangu lakini aliposikia sakata Hili ndiyo akaanza kunitafuta na Mimi sikupokea simu yake
 
Pata picha hapooo, kuna nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hersi nae itakuwa alitaka kumla Fei toto.Ali Kamwe na Priva wanaliwa kweli na wanaonekana kabisa.GSM anakula dimpoz pia. Sema basi atakuwa anapokezana na Joho 001.
Hiki ni nini!!tena mnakiandika KWA KUJIAMINI hivi!!?

Ina maana mnamaanisha hicho mnacho kiandika!!?
 
Ndo mtake kumla kwa nguvu? Hata km hana hisia na nyiee? Kisa ana hormones nyingi za kike?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kutakuwa na bifu kali kati ya Injinia na Fei, siyo bure. Injinia akiendelea kugomea kuvunja mkataba tutasikia mengi sana.

Haiwezekani Fei yupo tayari kuacha mpira kisa Injinia.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Injinia vunja mkataba Fei aondoke ulinde heshima yako.

Unashangaa Fei anaenda CAS anasema alikuwa ananyanyaswa kijinsia na kuonesha ushahidi, unashangaa Yanga wanatakiwa wamlipe mabilioni ya pesa.

Mana mashabiki tumejikita katika mkataba kwamba Yanga ana haki, kumbe chini ya kapeti dogo alikuwa ananyanyaswa kijinsia na kutaka kuliwa na ushahidi anao, unafikiri itakuwaje! Ikumbukwe pale Yanga kuna hizo tuhuma za kina Kabwili

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hiki ni nini!!tena mnakiandika KWA KUJIAMINI hivi!!?

Ina maana mnamaanisha hicho mnacho kiandika!!?
Ni kwa sababu Injinia aliyataka mwenyewe, na akiendelea kuchelewa kuvunja mkataba yataibuka mengi.

Wazanzibar wana misimamo jamani. Fei hataki kurudi Yanga kwa sababu hamtaki Injia pale.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo Engineer akiondoka yanga Feisal anarudi yanga

Kwa hiyo Feitoto anachokipigania ni Maslahi ya kimkataba au anapigania Engineering aondoke yanga? Au mi ndo cjaelewa
Hamtaki Hersi pale Yanga. Labda jamaa anaendesha timu kimafia mafia

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…