Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Nipo upande wake lakini hapo kwenye kutokujua mkataba unasemaje sababu ni wa kingeleza namlaumu. Kwanini asaini dili kubwa kama hii bila kuwa na mtalamu wa hata mambo
bongo wachezaji wengi sana hili linawakuta....
wao huwa wanaamini maneno waliyoambiwa, hawasomi mikataba au hawajui kusoma kingereza (au lugha ya kisheria),
umefika wakati wachezaji waanze kuwa na wawakilishi wao, maana kwa sasa ligi yetu ina pesa!
 
Nipo upande wake lakini hapo kwenye kutokujua mkataba unasemaje sababu ni wa kingeleza namlaumu. Kwanini asaini dili kubwa kama hii bila kuwa na mtalamu wa hata mambo
Ina maana meneja wake hakuusoma mkataba wake??
Sidhani kama aliitwa asaini oeke yake, lazima meneja wake aliupitia kwanza mkataba. Aache wongo.
 

Huyu dogo boga kabisa, kunakuwaje na connection kati ya Mama yako na Yanga? Ina maana huwezi jisimamia au
 
Kwahiyo Hersi kamzunguka kijana ama??!!
 
Kwa jinsi dogo anavyozungumza ni wazi kua ana msongo wa mawazo, kina fatma hawakumpanga kuzungumza vizuri lakini pia hamna la maana aliloongea. Sijui hao wanaomsimamia wanafeli wapi
 
Kutokujua sheria, Sio excuse kwako, maana umesaini pasipo kushurutishwa....

Kabla ya kusaini mkataba wowote ule achilia mbali ya michezo.....unakuwa na zaidi ya saa 24 za kusoma mkataba, uuelewe na uridhie kwa hiyari.....

Una haki ya kuchukua mkataba kabla hujausaini na kwenda nao nyumbani ukausoma na uuelewe kisha kesho yake ukaenda kusaini....

SHIDA YETU KUU NI NJAA....!!!!.....kipengele muhimu tunachokiangalia ni Gross pay na Nett pay tu....tunaanguka signature...

Kwa umri wangu mdogo kabisa katika ajira yangu ya kwanza early 2005 kwenye intake ya watu 10....tukiitwa mmoja mmoja Kwa HR kusaini........

Nilimwambia HR aniruhusu nikausome mkataba then nitausaini kesho yake baada ya kuuelewa...

Alitoa copy na akanipa nikaja kusaini kesho yake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…