Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Hii Somali ngoja ilete janja janja yake, wapemba watadeal nae atajikuta katikati ya Mogadishu akacheze na Al shabaab [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii woiiiiih
 
Hizo pointi unazichukulia poa? Hapo maana yake hakuna mazingira Bora ktk utekelezaji wa mkataba husika Mtu Hana elimu ya kutosha, ulitegemea aongee vipi
Kwa hiyo kila mchezaji akisema nimetukaniwa Mama yangu na akienda CAS mkataba unavunjwa sio! Jamani tuwape elimu watoto wetu ili wakipewa hiyo mikataba uwe wa mpira wa miguu au kazi ya benki n.k waweze kutambua matobo yaliyomo kwenye mkataba.
 
Dogo tu kashindwa kujieleza ila ukweli ni kwamba wachezaj wa kizawa hawana thamani kwenye hiz tim za kkoo [emoji119]wakuja ndio hupewa kipaumbele
 
Kwa hiyo kila mchezaji akisema nimetukaniwa Mama yangu na akienda CAS mkataba unavunjwa sio! Jamani tuwape elimu watoto wetu ili wakipewa hiyo mikataba uwe wa mpira wa miguu au kazi ya benki n.k waweze kutambua matobo yaliyomo kwenye mkataba.
Wachezaji wengi ndio point zao hzo, hakuna wanachokijua zaidi ya hapo.... Wakishapewa magari na kukodiwa apartments ndio basi... Ila hili ni SoMo Kwa wazazi
 
Ndiyo ujinga wenyewe huo. Sheria haina jutokujuwa, angetafuta wanasheria kabla hajasaini mkataba.

Huyo masikini ya Mungu alikuwa haijuwi dunia na hajapata washauri wazuri, ni wakuhurumiwa tu...
Linapokuja suala lisilohusiana na dini,always wewe huwa ni big brain
 
Mkuu hata Messi anasimamiwa na Baba yake anayeitwa Jorge ndio agent wake,hilo sio tatizo,kuna interview moja,Baba yake Messi alisema; "Messi mpaka leo ananisikiliza mimi,hafanyi movement yeyote bila mimi Baba yake"
Most likely baba yupo kama figure head lakini nyuma yake kuna professionals kibao.....lawyers, doctors etc. Super stars kama Messi or CR7 operates kama institutions rather than individuals!
 

"niliambiwa na viongozi wa Yanga kuwa nauza mechi iliniuma sana na nikipokuwa nawapigia simu hao viongozi waliokuwa wanatamka hayo maneno hawapokei simu yangu.

"Viongozi walikua wanamtukana mama yangu na kutoa matusi ya kumnyanyasa hata ingekua ni wewe ndugu mwandishi usingekubali kutukaniwa mzazi"

"Kula ugali kwa sukari sikula saivi nilikula kipindi kile timu bado ilikua ipo chini kiuchumi na kuna muda tulicheleweshewa mishahara lakini Mama aliniambia vumilia mwanangu maana alikua ni mpenzi wa mkubwa wa Yanga.

"Mama kuna muda mwingine alinipa pesa yake tulipokua tumecheleweshewa mshahara."

Mwandishi: Tueleze umepitia manyanyaso gani?

"Naambiwa nauza mechi, viongozi wananitukana na nikiwaambia familia wanasema nivumilie.

"Mama yangu alikuja Dar wakamtukana na kuanza kumpa maneno ya kejeli."

"Huyo huyo Raisi anatuma watu wamtukane mama yangu wanamuita mama yangu andazi "

Wanitukane Mimi lakini siyo mama yangu maana mama yangu ni pepo yangu"

"Nimekaa masaa sita na Engineer Hersi kuwa hapa nilipofikia nataka niachane na Yanga na Hers alisema kuwa bado anahitaji huduma yangu"

Raisi: anampigia simu mama na mama aliniambia niende kusaini mkataba na mama alimwambia mpe Fei mkataba wa miaka miwili"

Hers aliongeza mwaka mmoja badala ya miaka miwili"

"Mimi sijui kiingereza walinipa mkataba wa miaka mitatu"

"Signing fee sijapewa kwa wakati nilipewa kidogo kidogo tena kwa kutumiana meseji za vitisho"

"Nataka kukusanya milioni 60 niende CAS na watanzania wengi wananichangia na utaratibu umeanza tunasubiri invoice"

"Unajua yanga ni taasisi kubwa na Mimi ninawapenda wanayanga nilimwambia hers ata Kama alinikosea Ila nilimwambia tukae chini tumalizane na hers alikili makosa yake lakini Mimi nilitaka tuachane nikatafute maisha sehemu nyingine"

"Nilimwambia eng Hers bmkubwa alikuambia Miaka miwili lakini ukanipa mitatu lakini hers hakunijibu"

"Familia yangu wanaipenda Yanga lakini kilichonitoa Yanga ni manyanyaso"

"Hakuna timu inayonitaka na ndiyo maana nilitaka kuvunja mkataba niende kutafuta maisha yangu pengine"

"Tumekaa na familia yangu niliona Bora tuvunje mkataba na niliwaomba viongozi tuachane nilichangiwa pesa na familia"

"Mimi siwezi kula dhuluma siwezi kula pesa ambayo siifanyii kazi na ndiyo maana wakituma pesa zinarudi"

"Mimi sipendi hizi kelele nataka hili Jambo liishe na nafsi yangu haitaki kucheza Yanga na ndiyo maana nilikaa nao chini viongozi chini tuyamalize nikatafute maisha sehemu nyingine"

",Kama Jambo litakua haliishi ni bora nikae nyumbani maana ndiyo mwenyezimung atakua amepanga hivyo" kipaji kuisha.

"Hers anasema nauza mechi kun pass moja nilimpa Mayele aongeze magoli mbele ya kipa lakini Mayele alikosa hapo Hers akaanza kusema kuwa nauza mechi"

"Nilimtafuta GSM aje kutafuta suluhu lakini hakupokea simu zangu lakini aliposikia sakata Hili ndiyo akaanza kunitafuta na Mimi sikupokea simu yake"

"Nilikutana Hers akasema kuwa anataka nirudi Yanga nilikataa basi akaniambia niende CAS"

"Hers anadharau kubwa sana na Msolwa alikua ni mkarimu sana"

"Watu hawajiulizi ni kwa nini Fei hajaondoka katika kipindi kile Cha Yanga ngumu lakini nimeondoka kipindi hiki kizuri".

"Mimi nina matatizo na Raisi wa club Sina Tatizo na club Ila hers ndiyo Raisi wa club ndiyo Nina tatizo nae"

"Mpaka Sasa hela haijatosha Ila nashukuru Watanzania wameshanichangia kiasi cha shilingi milioni tisa (9)

"Mimi Nina rafiki na ndugu na wengine wapo humo humo ndani ya klabu ya yanga ndiyo walinichangia kurudisha pesa ili nivunje mkataba."

"Naitakia kila la heri Yanga katika fainali yake huko Algeria na nitaiombea Dua mungu ifanye vizuri"

"Mimi nimeongea yote lakini nafsi yangu haitaki kurudi kabisa Yanga sc"
Mliokuwa mnamtetea nadhani Leo mmeona kiwango chake cha akili.
Kwenye Kiswahili kuna kitu kinaitwa Misimu. Misemo ya kuvuma na kupotea. Msemo wa "kuchagua Andazi" umevuma baada ya Wimbo wa Roma "NIPENI MAUA YANGU". Wakati wimbo huo unatoka tayari Feisal alishagoma kucheza maana wimbo ni wa March 2023. Aliyelinganisha Watu na Andazi toka Yanga ni Ally Kamwe. Leo anasema moja ya sababu ya kuvunja mkataba ni mama yake kulinganishwa na Andazi?
 
Mama alinunua sukari kilo 100
Na unga kilo 100.
Tuwe tunakula ugali na sukari maana maisha yalikuwa magumu sana.
Na hata nilipojaribu kumpigia kaseke anitumie japo ela kidogo aliniambia yeye anakula ugali na chumvi.
Kweli hali ilikuwa ngumu sana kwangu.
Nimevunja mkataba na yanga kwa kuwa mama hana mafuta ya kujipaka huwa anajipaka mafuta ya kula.
 
Sitatoa coment ya maana mpaka mahojiano na ya Feisal na Clouds yatakapo isha ila mpaka hapo mahojiano yalipo fik.

Engineer Hersi ni TAPELI na ni mtu mbaya sana kwa alicho mfanyia mchezaji na kwa namana inavyo onekana huenda kuna wachezaji wengine wanayapitia haya kimya kimya hawaja taka kujitokeza tu.

Alitumia udhaifu wa Fei kuto kujua kingereza na kutokua na wakala wala mwanasheria kumkandamiza hii ni mbaya sana.
Kuna jamaa anaitwa MBUMBUMBU MPUMBAVU
 
Back
Top Bottom